Mtengwa II
JF-Expert Member
- Mar 13, 2017
- 860
- 1,421
Baadhi ya mashairi yake hata uwe na dictionary ya namna gani hutoboi!! Hapa wengi hutumia neno la mbele au la nyuma kubuni maana ya neno la kati!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HAhaha napenda kusimulia ila mvivu wa kuandika yani nikiwa naanza andika ninakuwa nina lengo la kuandika kila kitu hata pages saba lakini mood unakata gafla so najikuta naamua kusummalize.Duuu Sikujua aiseee, sema ww unatabia ya kuleta vistory nusu nusu ungeandalia hata Topic yake..?
Uko sahihi mkuu sometimes inabidi usome paragraph nzima upate general meaning maana maneno mengine magumu kama ya prof lumumbaBaadhi ya mashairi yake hata uwe na dictionary ya namna gani hutoboi!! Hapa wengi hutumia neno la mbele au la nyuma kubuni maana ya neno la kati!!
Hahaaa nakuona umehama kwenye maadaMimi ni mwandishi mkubwa wa nyimbo kali hapa bongo mkuu.
Kwa wewe nitakuandikia kwa milion tatu kwa single moja na ngoma ita hit utapiga show za mchangani mpaka watu wanaichoka umetengeneza milion 50...
Hahaha wewe nikikuacha kwenye mada utanzingua maana una maneno mengi😀Hahaaa nakuona umehama kwenye maada
HAHAHAHAHAHHAHAHAHHAA niwache!Baadhi ya mashairi yake hata uwe na dictionary ya namna gani hutoboi!! Hapa wengi hutumia neno la mbele au la nyuma kubuni maana ya neno la kati!!
hapa mmenifanya niwaze !Uko sahihi mkuu sometimes inabidi usome paragraph nzima upate general meaning maana maneno mengine magumu kama ya prof lumumba
HAhaha napenda kusimulia ila mvivu wa kuandika yani nikiwa naanza andika ninakuwa nina lengo la kuandika kila kitu hata pages saba lakini mood unakata gafla so najikuta naamua kusummalize.
Watu wasingekuwa wanahurumia bundle ningekuwa naweza sauti wanasikiliza.
Mfano story ya true crime investigation niliikata yani nilikuwa nina mengi ya kuandika juu yake ila uvivu tu.
Mchangani utaliwa nn....au utarudisha vigodoro mjin?Mimi ni mwandishi mkubwa wa nyimbo kali hapa bongo mkuu.
Kwa wewe nitakuandikia kwa milion tatu kwa single moja na ngoma ita hit utapiga show za mchangani mpaka watu wanaichoka umetengeneza milion 50...
ahahahaha kwani ipo ya kiswahili sijawahi iona..hapa mmenifanya niwaze !
mapebari wa venice!
ukiisoma merchant of venice ngumuuu!
no wonder na Kiswahili yake kambarage si ajabu alituunganishia tu!
Weekend ntashusha story moja kule hilo nitajicommit kabsaNapenda sana hizi mambo ndo maana Jf intelligence nimeweka kambi ila now wamwagaji wa nondo hakuna..
Kuliwa tena?Mchangani utaliwa nn....au utarudisha vigodoro mjin?
Pamoja sana mkuu usiwazeHahaha wewe nikikuacha kwenye mada utanzingua maana una maneno mengi😀
Nakukubari sana salute mkuuPamoja sana mkuu usiwaze
Aliitafsiri Nyerere,ahahahaha kwani ipo ya kiswahili sijawahi iona..
Ila vistory vinavutia
Hii sijaskia mkuu walijuaje kama ni shoga wakati historia ya maisha yake ni tatizo hadi haijulikani hata mwaka wake halisi kwa 100% alizaliwa lini.
Hata jina lake hilo Shakespeare spelling zake zina utata