Mfahanu Williams Shakespeare na utata wa kazi zake

Mfahanu Williams Shakespeare na utata wa kazi zake

Macbeth alipoletewa taarifa kuwa mkewe kafariki wakati yuko vitani napenda alivyosema
"she should have died after the battle when there would be time to mourn properly; she should have waited for me, seeing that my death is so near; she would have died at sometime, either now or later; she should have died after the battle for now, with her gone, I know I shall not win."

Na Ceaser alivyosema "Cowards die many times before their deaths; The valiant never taste of death but once. Of all the wonders that I yet have heard, It seems to me most strange that men should fear, Seeing that death, a necessary end, Will come when it will come."
" IT WILL COME WHEN IT WILL COME". Nishaichukua hiyo, Imependeza
 
Ahsante sana mkuu nimeongeza kitu hapa..

Huu mkanganyiko ndo shida sasa duuh..Labda walimfichia ukweli wazungu..
bc5092047e7415f8692ee544dcd32c82.jpg

72fca6d3211c6a8b611685d45b5088c5.jpg

Hii ndiyo picha ya Amelia Basso (Dark lady) mbayo nimekutana nayo mtandaoni na kwenye sources mbalimbali
ba674bfdbaec561ec0ce68b195f32a5d.jpg

Hii pia wale wanodai kuwa vitabu vyake viliktaliwa kuwa published kisa ni black wanatumia hii picha.
Ila wanachokubariana wote ni kwamba yeye ndiye mwandishi.
Kwamba familia yake ilihamia Uingereza kutokea Morocco ambapo wazazi wake wana origin ya Italy, Jews na morocco.
Swali la kujiuliza ni hili, je wazazi wenye origin ya hivyo wanaweza kuzaa mtoto mweusi hivyo?
Na Amelia alipofika Uingereza aliwahi kufanya kazi kwenye kitengo cha mahakama kitu ambacho kwa mtu mweusi ingekuqa ngumu.
Pia alishiriki katika michezo ya kuigiza jambo ambalo pia kwa mweusi ingekuqa ngumu.
Ila ni kweli Amelia alikuwa somehow dark na ndiyo maana ana a.k.a ya the dark lady.
Kuhusu uandishi wake wa hivyo vitabu hakuna mwenye hakika wa asilimia mia kwa maana hizo rumours ht hazijaanza siku nyingi, zimeanza mwaka 2015 bada ya mtu flani kupost kwenye mtandao akidai kuna ushahidi unaoonyesha kuwa yeye ndiye mwandishi.
Ila mpaka sasa kuna zaidi ya watu 66, ambao wanasemekana kuwa ni waandishi na kati yo hakuna mwenye ushahidi wa kujitoshereza, hivyo shakespeare bado anabaki kuchukuliwa ndiye mwandishi halisi mpaka sasa.
 
Mkuu Umesoma Riwaya za Kevin Mponda..?
Riwaya kama Ufukwe wa madagascar, Mtutu wa bunduki, Tai kwenye mzoga nk..*?

Jamaa anavyoo elezea Barabara na mitaa ya nchi mbalimbali utadhani upo unacheki muvi..Nimepanga nimpigie simu siku moja nimuulize akitaka kuandika Riwaya zake hua anaanza kutembelea nchi na kujifunza lugha ya nchi hiyo au..
Mkuu jama alikuwa anatumia misamiati mingi sana katika uandishi wake, pia alikuwa ana ufahamu mkubwa sana wa vitu vingi ambavyo mtu wa kawaida ni ngumu sana kujua hasa kipindi hicho 1500-1600 information access haikuwa rahisi kama sasa hivi ambapo unaweza zama google unaweza fanya research ukajua sehemu mbalimbali hata ambazo hujafika.
"Let me have men about me that are fat,
Sleek-headed men and such as sleep a-nights.
Yond Cassius has a lean and hungry look,
He thinks too much; such men are dangerous."
Huo mfano niliokuwekea ni Ceaser alikuwa anamwambia Antony, ukisoma juu juu utaona kama maneno tu.
Lakini hebu fikiria Ceaser anamwambia Antony kwamba anataka watu walioshina ndiyo wawe karibu naye siyo watu wembamba, watu wembamba ni watu wasioridhika, huwaza sana, wako ambitious na ukisoma psychology imekuwa proved to be true. Hivyo utagundua Shakespeare alikuwa anafahamu psychology.
Njoo kwenye sheria, ukisoma The Merchant of Venance utaona kuwa William alikuwa anajua sana sheria.
Matumizi na mpangilio wa misamiati na maneno.
Mzungumzaji wa kawaida wa Kingereza anajua misamiati 10,000-20,000 lakini yeye inakadiriwa alikuwa anajua misamiati 66,000+. Hivyo utaona jamaa hakuwa mwandishi wa kawaida na ndiyo maana wanazuoni wanashangaa iweje mtu wa kawaida kama yeye aandike vitu kama vile wakati hata hakuwahi kusafiri wala hakuwa na elimu kubwa.
Tofautisha wakati alioishi yeye na wakati tunaoishi sisi, mtu anaweza google mitaa ya London akakuandikia story kama vile aliwahi kufika kumbe wapi.
 
Mkuu Umesoma Riwaya za Kevin Mponda..?
Riwaya kama Ufukwe wa madagascar, Mtutu wa bunduki, Tai kwenye mzoga nk..*?

Jamaa anavyoo elezea Barabara na mitaa ya nchi mbalimbali utadhani upo unacheki muvi..Nimepanga nimpigie simu siku moja nimuulize akitaka kuandika Riwaya zake hua anaanza kutembelea nchi na kujifunza lugha ya nchi hiyo au..
Hapana mkuu sijabahatika kusoma hivyo vitabu. Ila ujue walau siku hizi rahisi kidogo kuliko enzi hizo, maana unaweza jua barabara na mitaa ya London ukiwa kwako umekaa bila kutoka kwa kutumia Ovi maps au hata google maps.
We fikiria google inajua mitaa na barabara za dar kuliko hata wakazi wa dar.
Kuna siku jama aliniambia tukutane china restaurant posta nilikuwa hata sijui iko wapi nilichofanya nilitumia google map yani ilinielekeza kiasi kwamba nimefika ikaniambia your destination is on your right nageuka naipna kweli.
Siku nyingine kuna mdada flani aliniambia niende kwake mbezi akanitajia mtaa siufahanu ila akashate nami location whatsapp yani google map iliniongoza mpaka mlangoni kwake.
Sasa sijui enzi za hawa jamaa walikuwa wanafanyaje.
Kuna kipindi nilikuwa nasoma hadithi za shigongo kitambo early 2000's naye alikuwa anaeleza mitaa ya nchi mbalimbali sasa sijui ilikuwa kweli au alikuwa anatupiga kamba, ila niliacha soma hadithi zake baada ya kusoma za Hussein Twaha kama Mtuhumiwa, mkimbizi na msunguaji (Hii mdunguaji Hussein nahisi aliicopy kutoka kwenye movie ya sniper reloaded).
 
Swali linakuja hivi..Hawa waandishi wetu wa zamani waliwezaje kuandika mitaa na barabara za nchi mbalimbali..?
.......

Kama upo Interested na simulizi ngoja nikutag kwenye hizo hadithi za hadithi mponda maana hata humu zimo..!
Hapana mkuu sijabahatika kusoma hivyo vitabu. Ila ujue walau siku hizi rahisi kidogo kuliko enzi hizo, maana unaweza jua barabara na mitaa ya London ukiwa kwako umekaa bila kutoka kwa kutumia Ovi maps au hata google maps.
We fikiria google inajua mitaa na barabara za dar kuliko hata wakazi wa dar.
Kuna siku jama aliniambia tukutane china restaurant posta nilikuwa hata sijui iko wapi nilichofanya nilitumia google map yani ilinielekeza kiasi kwamba nimefika ikaniambia your destination is on your right nageuka naipna kweli.
Siku nyingine kuna mdada flani aliniambia niende kwake mbezi akanitajia mtaa siufahanu ila akashate nami location whatsapp yani google map iliniongoza mpaka mlangoni kwake.
Sasa sijui enzi za hawa jamaa walikuwa wanafanyaje.
Kuna kipindi nilikuwa nasoma hadithi za shigongo kitambo early 2000's naye alikuwa anaeleza mitaa ya nchi mbalimbali sasa sijui ilikuwa kweli au alikuwa anatupiga kamba, ila niliacha soma hadithi zake baada ya kusoma za Hussein Twaha kama Mtuhumiwa, mkimbizi na msunguaji (Hii mdunguaji Hussein nahisi aliicopy kutoka kwenye movie ya sniper reloaded).
 
Swali linakuja hivi..Hawa waandishi wetu wa zamani waliwezaje kuandika mitaa na barabara za nchi mbalimbali..?
.......

Kama upo Interested na simulizi ngoja nikutag kwenye hizo hadithi za hadithi mponda maana hata humu zimo..!
Hebu ntag nkasome mkuu namkumbuka mzee willy gamba
 
Zamani nilikua napenda sana kusoma vitabu hasa Novel za Sidney Sheldon ila siku hzi majukumu ya umama na familia vimenifanya nisahau kidogo. Ila huyo Shakespeare
 
Inasemekana kua Amelia Bassano ni mwanamke aliye andika kazi zote za Shakespear ila kutokana alikua ni mtu Mweusi Jina lake halikuandikwa..
Alifariki akiwa Masikini.

Ukiwa unajua Kuongea na kusoma English basi ujue Huyu mtu amechangia sana Kukua kwa kingereza (msamiati)..
Na huyo mwanamke ni wewe hapo I guees
 
Back
Top Bottom