Hii ndiyo picha ya Amelia Basso (Dark lady) mbayo nimekutana nayo mtandaoni na kwenye sources mbalimbali
Hii pia wale wanodai kuwa vitabu vyake viliktaliwa kuwa published kisa ni black wanatumia hii picha.
Ila wanachokubariana wote ni kwamba yeye ndiye mwandishi.
Kwamba familia yake ilihamia Uingereza kutokea Morocco ambapo wazazi wake wana origin ya Italy, Jews na morocco.
Swali la kujiuliza ni hili, je wazazi wenye origin ya hivyo wanaweza kuzaa mtoto mweusi hivyo?
Na Amelia alipofika Uingereza aliwahi kufanya kazi kwenye kitengo cha mahakama kitu ambacho kwa mtu mweusi ingekuqa ngumu.
Pia alishiriki katika michezo ya kuigiza jambo ambalo pia kwa mweusi ingekuqa ngumu.
Ila ni kweli Amelia alikuwa somehow dark na ndiyo maana ana a.k.a ya the dark lady.
Kuhusu uandishi wake wa hivyo vitabu hakuna mwenye hakika wa asilimia mia kwa maana hizo rumours ht hazijaanza siku nyingi, zimeanza mwaka 2015 bada ya mtu flani kupost kwenye mtandao akidai kuna ushahidi unaoonyesha kuwa yeye ndiye mwandishi.
Ila mpaka sasa kuna zaidi ya watu 66, ambao wanasemekana kuwa ni waandishi na kati yo hakuna mwenye ushahidi wa kujitoshereza, hivyo shakespeare bado anabaki kuchukuliwa ndiye mwandishi halisi mpaka sasa.