Hamis Juma
JF-Expert Member
- Nov 4, 2011
- 2,229
- 2,272
Nilisoma mahali kuhusu hawa wahenga, wakina Shakespeare, Leonardo Da Vinci na wengineo, wanasema pamoja na kuwa maswaga lakini walijishirikisha kwenye secret societies ambazo zilikuwa against Church. Ni watu ambao waliufahamu ukweli lakini ilibidi wanyamaze tu, kwasababu miaka hiyo ukipingana na kanisa hukumu yako ni kifo. Lakini hawa watu walielezea kuhusu wanachofahamu na wanachofikiria kupitia kazi zao. Ni watambuzi wachache sana walijua maana halisi ya ujumbe uliowakilishwa kisanaa na watu hawa.
Leonardo Da Vinci ni hatari sana ana secrets nyingiNilisoma mahali kuhusu hawa wahenga, wakina Shakespeare, Leonardo Da Vinci na wengineo, wanasema pamoja na kuwa maswaga lakini walijishirikisha kwenye secret societies ambazo zilikuwa against Church. Ni watu ambao waliufahamu ukweli lakini ilibidi wanyamaze tu, kwasababu miaka hiyo ukipingana na kanisa hukumu yako ni kifo. Lakini hawa watu walielezea kuhusu wanachofahamu na wanachofikiria kupitia kazi zao. Ni watambuzi wachache sana walijua maana halisi ya ujumbe uliowakilishwa kisanaa na watu hawa.
Ni kweli kabisa.Kuhusu uandishi tuulize tunaoandika riwaya ndiyo tunaweza kukudadavulia.
Mtu kufikia kuandika asichokuwa na elimu nacho si tatizo, utafiti anaoufanya kwenye kazi yake ndiyo bumpelekea aonekane mjuzi upande huo.
Hivyo Shakespeare kujua mambo mengi ni kutokana na utafiti anaoufanya kabla ya kuandika, kuuliza watu na hata kusoma baadhi ya maandiko ya kitaaluma nayo ni njia nzuri kwake ya kuandaa kitu kilicho bora.
Hivyo sababu iliyotajwa hapo na wasomi haina mashiko kabisa, si kwamba hakutunga.
Uandishi wa aina hiyo unakuta mtu anatafiti kitu nusu mwaka, unategemea akija kukitoa kilingane na yule anayekiburuza tu kichwani
Mkuu jama alikuwa anatumia misamiati mingi sana katika uandishi wake, pia alikuwa ana ufahamu mkubwa sana wa vitu vingi ambavyo mtu wa kawaida ni ngumu sana kujua hasa kipindi hicho 1500-1600 information access haikuwa rahisi kama sasa hivi ambapo unaweza zama google unaweza fanya research ukajua sehemu mbalimbali hata ambazo hujafika.Kuhusu uandishi tuulize tunaoandika riwaya ndiyo tunaweza kukudadavulia.
Mtu kufikia kuandika asichokuwa na elimu nacho si tatizo, utafiti anaoufanya kwenye kazi yake ndiyo bumpelekea aonekane mjuzi upande huo.
Hivyo Shakespeare kujua mambo mengi ni kutokana na utafiti anaoufanya kabla ya kuandika, kuuliza watu na hata kusoma baadhi ya maandiko ya kitaaluma nayo ni njia nzuri kwake ya kuandaa kitu kilicho bora.
Hivyo sababu iliyotajwa hapo na wasomi haina mashiko kabisa, si kwamba hakutunga.
Uandishi wa aina hiyo unakuta mtu anatafiti kitu nusu mwaka, unategemea akija kukitoa kilingane na yule anayekiburuza tu kichwani
Mkuu hebu kasome vitabu vyake, fanya research kidogo kuhusu jamaa mpaka wamempa number 1, na bado kuna mabishano kama ni kweli yeye ndiye kaandika hayo ujue kuna sababu.Ni kweli kabisa.
Uwezo na umahiri wa kuandika fasihi/hadithi/riwaya hauna connection ya moja kwa moja na elimu kubwa.
Reference; Shabaan Robert
Unajua ngeri...???utaniazima mkuu[emoji23] [emoji23]
Bado naamini alikuwa mjuzi na mwenye kipaji. Si kila msomi aliyebobea angeweza kuandika. Lah tungekuwa na wanazuoni wengi wenye maelfu ya vitabu kama vya Shakespere.Mkuu hebu kasome vitabu vyake, fanya research kidogo kuhusu jamaa mpaka wamempa number 1, na bado kuna mabishano kama ni kweli yeye ndiye kaandika hayo ujue kuna sababu.
Kuna waandishi wengi wa enzi zake na enzi za sasa lakini he stands among the rest
Mkuu naomba kujua majina ya vtabu ivyoNilisoma vitano katika vitabu vyake nikiwa o-level,
Kipindi hicho sikuwa naingia darasani japo nipo shule kila siku, walimu watano walinifukuza sababu niliwajibu majibu yenye ukweli na ukakasi...
Nilipofika chuo nikasoma viwili tu, Hardley Chase akawa kaniathiri na riwaya zake
Hardley nimesoma vitabu vyake kadhaa ni mkali sana halafu zile sio plays kama shakespeare.Nilisoma vitano katika vitabu vyake nikiwa o-level,
Kipindi hicho sikuwa naingia darasani japo nipo shule kila siku, walimu watano walinifukuza sababu niliwajibu majibu yenye ukweli na ukakasi...
Nilipofika chuo nikasoma viwili tu, Hardley Chase akawa kaniathiri na riwaya zake
ivo ivo tu[emoji23] [emoji23]Unajua ngeri...???
Mmhh! Njoo nikufundishe aisei..ivo ivo tu[emoji23] [emoji23]
Itafute mkuu Jhuyu alikua kachanganya rangi..
Kama hutajali weka Picha za Amelia..
Kwenye Henry VIKuna kitabu chake kimoja alisema "ukitaka maendeleo kwenye jamii uue kwanza wanasheria wote"
Absolutely...Kwenye Henry VI
The first thing we do, let's kill all the lawyers.
Ulisemwa na Dick the butcher.
Lakini lengo alikuwa anamaanisha waondoa watu ambao wanafikra huru mostly wana sheria ili waweza kufanikisha utawala wao.
Hivyo ndivyo nilielewa mimi
Anakaa na wataalam wa hivyo vitu wanamsaidia mengi, umaarufu wake anapokuja kutaka ufafanuzi wa mambo kwa mtaalamu anapata tu.Mkuu jama alikuwa anatumia misamiati mingi sana katika uandishi wake, pia alikuwa ana ufahamu mkubwa sana wa vitu vingi ambavyo mtu wa kawaida ni ngumu sana kujua hasa kipindi hicho 1500-1600 information access haikuwa rahisi kama sasa hivi ambapo unaweza zama google unaweza fanya research ukajua sehemu mbalimbali hata ambazo hujafika.
"Let me have men about me that are fat,
Sleek-headed men and such as sleep a-nights.
Yond Cassius has a lean and hungry look,
He thinks too much; such men are dangerous."
Huo mfano niliokuwekea ni Ceaser alikuwa anamwambia Antony, ukisoma juu juu utaona kama maneno tu.
Lakini hebu fikiria Ceaser anamwambia Antony kwamba anataka watu walioshina ndiyo wawe karibu naye siyo watu wembamba, watu wembamba ni watu wasioridhika, huwaza sana, wako ambitious na ukisoma psychology imekuwa proved to be true. Hivyo utagundua Shakespeare alikuwa anafahamu psychology.
Njoo kwenye sheria, ukisoma The Merchant of Venance utaona kuwa William alikuwa anajua sana sheria.
Matumizi na mpangilio wa misamiati na maneno.
Mzungumzaji wa kawaida wa Kingereza anajua misamiati 10,000-20,000 lakini yeye inakadiriwa alikuwa anajua misamiati 66,000+. Hivyo utaona jamaa hakuwa mwandishi wa kawaida na ndiyo maana wanazuoni wanashangaa iweje mtu wa kawaida kama yeye aandike vitu kama vile wakati hata hakuwahi kusafiri wala hakuwa na elimu kubwa.
Tofautisha wakati alioishi yeye na wakati tunaoishi sisi, mtu anaweza google mitaa ya London akakuandikia story kama vile aliwahi kufika kumbe wapi.