Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HA
Hahahahaha yeyote aneupinga ukristo au uislamu uyo ni upinde
Uongozi wa "talawee" sijawahi kuusikia katika mafundisho ya Kiislaam, nielimishe.
Mama anaupiga mwingi Kimataifa.
Talawee( taraweeh) si kikundi ama organization. Talawee ni sara( sunnah).Uongozi wa "talawee" sijawahi kuusikia katika mafundisho ya Kiislaam, nielimishe.
Mama anaupiga mwingi Kimataifa.
Mfalme Abdullah wa pili wa Jordan amwaga darsa la "Nini Maana ya Kuwa Muislam" kwenye bunge la Ulaya kwa ufupi wenye kina.
Darsa hili ni fundisho na faida kwa Waislam na wasio Waislam. Tusikilize👇🏾
Tutaleta tafsiri ya Kiswahili baadae.
Mfano china, czech republic, sweden,Kama nchi ipi?
Mama anaupiga mwingi Kimataifa.
Shida hamuelewi mnakurupuka......... Acheni kutujazia nafasi kwenye mabanda ya nguruweTatizo la wakristo wengi wao ni mbumbumbu sana na ndio Hilo kundi linajitahidi kuukataa ukweli huku wakinadi dini za mababu zao..
*...wamekwisha kufuru wale wasemao Mungu ni watatu... *
Kwa kumfanya Allah kuwa mwenye mwana.
Hakuna vyeo hivyo unavyofikiria wewe Kiislaam. Unajidanganya.Talawee( taraweeh) si kikundi ama organization. Talawee ni sara( sunnah).
Inaanza na sara ya Insha na kumalizika na rakah kama 20 hivi.
So, huyo kiongozi anaeongeza hiyo sara(Taraweeh) ndiyo nimempa cheo cha talawee.
Baada ya S, Rashidie kuandika kile
Kitabu waislamu wakampa uongozi wa Talawee.
Smiles , you know the truth.Hakuna vyeo hivyo unavyofikiria wewe Kiislaam. Unajidanganya.
Aneongoza sala Kiislam anaitwa Imam, haijalishi sala ipi. Sasa sifahamu kwanini ujpachikie vyeo ambavyo havipo jatika Uislam? Unachofanya ni kejeli au kebehi kwa Waislam?
Nakushauri kitu usichokijuwa katika Uislam kiulize. Au wewe ni wale dini mpya ya kishetani, Lgbtq?
Mama anaupiga mwingi Kimataifa.
I am simply a realist not a mind reader. I can never ever read your mind or even try to.Smiles , you know the truth.
You're just looking for a strong force to free you from this dilemma.
Hapa nikiwa na Peter Obi ndani ya Natisha town.I am simply a realist not a mind reader. I can never ever read your mind or even try to.
Kuislam inaitwa dhana" na dhana Kiislam bu dhambi. Natumai umenielewa.
Kama una kitu kipo mawazoni mwako, kuwa muwazi tu, kwanini utake jutuingiza kwenye dhambi?
Video clip ya chini hapo ni Waislaam wakiwa Makkah jana 👇🏾 inapendeza sana.
View attachment 2662622
Mama anaupiga mwingi Kimataifa.
Kama una uwezo huo uza na wala hatuna haja ya kugawana. Zifakamie wewe tu.Hapa nikiwa na Peter Obi ndani ya Natisha town.
Au mnasemaje masela? Tuuze nchi tugawane mahela!!. 😊😊
Poland iliwahi kutoa kauli ya kushinikiza nchi za Africa kuitenga Urusi, huenda waafrica hawajasahau hili.Lile liwaziri lililoambatana na Ramaphosa Ukraine, porand walipozuia convey yao kwasababu ya ndege yao kuwa na silaha na baadhi yao kutokuwa na genuine documents likakimbilia kusema mnatubagua kwasababu tumetoka Africa.
Bure kabisa!!
Nakuhurumia sana, ingawa wewe hujihurumii.Mungu baba Mungu mwana Mungu roho ...
Hakuna mstari kwenye biblia usemao ukristo ni dini .. na ni dini ya haki
Uislamu siyo dini ya kwanza Afrika ludi shuleWaiam wengi duniani ni watu weusi, Uislam ndiyo dini ya kwanza Afrika.
Lbda ukiri kuwa wewe mtu mweusi unambagua mtu mweusi mwenzako kwa kuwa hauna mafundisho ya Kiislaam.
Uislam unasema mbora kati yetu ni mcha Mungu. Nenda msikiti wowote dunini utayaona hayo, wote bega kwa bega.
Sasa nenda kanisa la wazungu kama utaingia ndani wewe, utaitwa kibaka tu, na ukifanikiwa juruhusiwa kuingia, utakuwa backbencher tu.
Si unafahamu neno backbenchers lilianzia wapi? Au haufahamu? Kama hayo fahamu uliza.
Mama anaupiga mwingi Kimataifa.