Kama c kwel ilibidi akanushe Mara moja Sasa kukaa kimya inamanisha okay
Mungu hadhihakiwi kabisa. Ukisema umeacha ya duniani naye anakuondolea yote uliyopata duniani ili uanze na MUNGU upya.
Sasa jombaa kaona hali si hali arudi mule mule.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa mkuu hayo ni mawaxo yakoDini ya kweli utaijiua kwa matunda yake
Kama angekuwa anapata kitu huko alipoenda asingeona umuhimu wa kurudi kuho ambako alikuwa anakuita haramu
Kwa YESU kunalipa (watanielewa wale tu waliomchukulia kwa uzito)
Ni sawa unayosema ila unakumbuka aliuitaje huo mziki? Hadi akakataza watu wasipige kwenye vituo vya redio na tv! Kwamba watakuwa wanazidi kumkosea Allah!Hata yesu alikuwa anaruhusu wanafunzi wake wakavue samaki Coz bila kufanya kazi atakula juzuu?
Kumbuka ana familia, ndugu wanaomtegemea, sasa afanye nn na kipaji ambacho akiimba anajua atapata pesa
Mungu hadhihakiwi au njaa ndio haipaswi kudhihakiwa kwa kutumia vitisho vya dini?Mungu hadhihakiwi kabisa. Ukisema umeacha ya duniani naye anakuondolea yote uliyopata duniani ili uanze na MUNGU upya.
Sasa jombaa kaona hali si hali arudi mule mule.
Sent using Jamii Forums mobile app
We ni mgeni na wabongo?Ni sawa unayosema ila unakumbuka aliuitaje huo mziki? Hadi akakataza watu wasipige kwenye vituo vya redio na tv! Kwamba watakuwa wanazidi kumkosea Allah!
Sent using Jamii Forums mobile app