Doto Dotto
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 3,906
- 2,902
Huu uzi me umenivuruga aiseee!!!Mkuu,nimesoma mpaka mwili umesisimka!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huu uzi me umenivuruga aiseee!!!Mkuu,nimesoma mpaka mwili umesisimka!
Majini ni malaika waovu, ni waasi walifukuzwa mbinguni wakatupwa hapa dunianiHalafu msipende kuwafananisha malaika na majini jaman ni viumbe wawili tofauti kabisa jaman majini ni kama sisi tu wanadam baadhi ya sifa zao na zetu zinafanana
Mku nmekusoma pooooote lkn uliposema tu alikua tishio dunia nzima ndo ninapokataaga je alishawai kuja kupigana na wahehe, au akina Zwangendaba, mkuu siku utakapopata historia za nyumbani ndo utakapojua nasi tuna hadithi zetuGoliath hakuwa na jipya sana zaidi ya ukubwa wa mwili tu ambao hata kaka zake wale 4 walikuwa na ukubwa sawa na wake tu...... Yote kwa yote wote ni uzao wa kinefili hivyo goliath ni kama kitukuu cha Huyu OG
Ila kwa kuwalinganisha huyu mfalme ogu amemzidi mwili na maarifa maana aliweza kuacha nyaraka ila goliath hakuacha maandiko yeyote yale
Pili mfalme Ogu aliweza kusimamisha majiji 60 na kuyatawala kwa kipindi kirefu hii inaelezea pia alikuwa ni kiongozi haswaa maana kutawala miji yote hyo bila kupinduliwa wala vita za ajabu ajabu basi aliweza kuwadhibiti tofauti na goliath sikuoma kokote alikoonyeshwa kuwa ni kiongozi mzuri
Tatu ogu anasifika kwa ushujaa wake wa kupona kwenye gharika kitu ambacho kwa akili ya kawaida hakiwezekani wengine wote wafe ww upone ila goliath sikuona kwenye simulizi yeyote alifanya mambo ya kutisha ila alikuwa maarufu sababu ya size tu wala hakuna jipya
Hizo ni baadhi ya tofauti nikiwalinganisha ila huyu mfalme og inaoneokana alikuwa tishio zaidi dunia nzima ndio maana kuna mistari zaidi ya 20 ya manabii tofauti inazungumzia ushindi wa waisraeli dhidi ya OG na wanakumbuka kisa kile hadi leo na kipo kwenye vitabu vyao vya kiyahudi!! Tofauti na goliath sioni kokote akitajwa tajwa sana na manabii wa baadae
Possibility kuwa maji yalijaa mikono 15 zaidi ya mlima mrefu ikimaanisha huyu Ogu kma alikuwa na urefu wa zaidi ya futi 15 ina maana basi anaweza kuwa maji aliyazidi kimo kuendana na hoja hii ya MIKONO 15!!! Other factors remaining constant ingawa ni finyu kma unavyosema ila kwa msimamo huu wa biblia je haiwezekani??assumption kuwa jamaa alikuwepo:
turudi kwenye situation ya maji yaliyosemwa katika mwanzo.
kama ilivyovigumu kusimama kwenye mafuriko ya maji ya mto msimbazi. Atawezaje kusimama kwenye maji ambayo sio tu yanatoka juu bali ardhi ilikuwa pia ikitoa maji.
Pili lengo la Mungu lilikuwa ni kuwaangamiza wanadamu wote kwa staili ile, je atawezaje kiruhusu aina ya maangamizi ambayo yatampa fursa mmojawapo kutoroka?
Yale maji yalikuwa ni combination ya "Fountain of the deep" na "product ya Windows of heaven"
maelezo yako bado kama yanatoa nafasi finyu hau haipo kabisa kwa huyo kiumbe kuescape ikiwa unakubaliana na complications za yale mafuriko kama yanavyoelezwa hapo mwanzo.
Duu huyu ni abnormal imagine daraja la mkapa eti ndo maiti ilitumika kama daraja la MTO Nile,maajabuZitto junior
Hebu tuanzie hapa kwanza afu tuendelee naimani tutapata kitu
Ogu
BibliaJinaKumbukumbu la Torati
![]()
Ogu ni jina la mfalme wa Waamorialiyetawala sehemu za Bashani. Ogu anatajwa katika Biblia kwenye vitabuvya Hesabu 21 na Kumbukumbu la Torati 3, kwa kifupi pia katika Zaburi135:11 na 136:20. Inawezekana ya kwamba kutajwa kwa "Mwamori" katika Amosi 2:9 ni pia kuhusu Ogu.
Ogu katika Biblia
Katika vitabu vya Hesabu na Kumbukumbu la Torati anaonyeshwa kama mfalme ambaye aliyekataa ombi la Wanaisraeli la kupita katika nchi yake wakitokea Misri na kuelekea Kanaani. Ogu alikataa akakusanya jeshi lake na kuwashambulia Wanaisraeli. Karibu na mji wa Ederei (leo: Dar'a nchini Syria) alishindwa. Wanaisraeli waliteka nchi yake ikawa makazi ya kabila la Manase.
Ogu anakumbukwa katika masimulizi ya Biblia kama jitu akiwa na kitandachenye urefu wa mikono yaani dhiraa10 sawa na mita 4-5.
Katika masimulizi ya Wayahudi sifa hiyo iliendelea kuongezeka; katika Kitabu cha Amosi 2,9 anatajwa (bila kusema jina) kama "Mwamori" "nalimwangamiza Mwamori mbele yao, ambaye urefu wake ulikuwa kama urefu wa mierezi, tena alikuwa na nguvu kama mialoni".
Ogu katika mapokeo ya Kiyahudi
Wataalamu Wayahudi wa baadaye waliona ya kwamba vipimo vya Kumb. 3 kuhusu kitanda chake chenye urefu wa mikono yaani dhiraa 10, sawa na mita 4-5, vilihusu mkono wa hilo jitu lenyewe, hivyo walimwona mkubwa zaidi tena.
Kwenye kitabu Berakhot cha TalmudiOgu anasimuliwa ya kwamba aliweza kuinua mlima aliotaka kurusha dhidi ya Wanaisraeli, lakini Mungu alimzuia Katika kitabu cha Nidah katika Talmudi Ogu anasemekana ni mtu aliyeishi kabla ya gharika kuu ya Nuhu akiwa ni mmoja wa wale ambao walitunzwa.
Ogu nje ya Biblia
Kwa jumla habari haba zilizohifadhiwa juu ya Ogu ziko ndani ya Biblia. Nje yake jina la Ogu linaonekana kwenye kigae cha mwandiko wa kikabarikutoka mji wa Biblos
Ogu katika Uislamu
Masimulizi ya Kiyahudi yalipokewa na Waislamu na kubadilishwa tena. Hapa anajulikana kwa Kiarabu kama ‘Uj bin Unuq / ‘Anaq عوج بن عنق. Ushahidi uko kwa Al Tabari aliyeandika ya kwamba maiti ya Udj ilikuwa kama daraja juu ya mto Naili, pia wengine.
Kutoka mapokeo hayo ya Kiislamu jina lilifika pia katika hekaya za Waswahilikwa umbo la Unju bin Unuk
Kwa msaaada wa mtandao
Asalaam kudo
Naposema Dunia kwa context ya agano la kale ni mashariki ya kati pekee ndio ilikuwa dunia..... Enzi hizo watu waliishi maeneo ya mesopotamia hadi eridu mpaka misri basi na walikuwa hawazidi hata million 5 dunia nzima!!Mku nmekusoma pooooote lkn uliposema tu alikua tishio dunia nzima ndo ninapokataaga je alishawai kuja kupigana na wahehe, au akina Zwangendaba, mkuu siku utakapopata historia za nyumbani ndo utakapojua nasi tuna hadithi zetu
Inasemekana mkuu ndio mtu mmoja ila wazungu wanamuita OGU ila alikuwa mweusi ndio maana hata kwenye biblia anatajwa kuwa yupo kwenye uzao wa HAM ambao watoto wake walikuwa weusi mf mizraim phut cush n.k hivyo kuna ukweli kuwa UJ BIN ANAQ ama OG OF BASHAN ndio UNJ BIN UNUQ !!Nadhani huyu mfalme OGU ana undugu na UNJU bin UNUQ
Asante mkuu ila naomba Critically hebu dhania kama Afrika hii ya kwetu enzi hizo kulikua hakuna watu au ilikuaje, saa ingine nadhan biblia iliandikwa kwa mujibu wa watu wa mashariki ya kati miksa Misri. Labda nasi tuna historia yetu nyingine kabisa labda na Nuhu wetu au Ogu wetu ila kwa vile hatuna namna ya utunzaji kumbukumbu nso maana tunasemaga tu alikua hatari dunia nzima au aliipiga dunia nzima au alitawala dunia nzimaNaposema Dunia kwa context ya agano la kale ni mashariki ya kati pekee ndio ilikuwa dunia..... Enzi hizo watu waliishi maeneo ya mesopotamia hadi eridu mpaka misri basi na walikuwa hawazidi hata million 5 dunia nzima!!
Enzi za mfalme ogu afrika ilikuwa inaishia libya na misri tu hivyo hakukuwa bado na matishio huku afrika ingawa najua baadae afrika ilikuja kupata watu mashujaa ila all in all huyu Ogu alikuwa ni MWEUSI sababu anatambuliwa kma muamori ambaye ni jamii ya HAMITES ngozi nyeusi kabisa walioishi canaan/palestina-israel ya sasa takriban miaka 6000 iliopita hivyo ni ''mwenzetu'' huyo!!
Mie nadhani bado malaika huwa wanashuka aisee...rejea marehemu masogange...duuhhh...alikuwa kamili kila idara...sihaba malaika walitia nakshi kikatokea kitu kile....au hata shemela wetu kwa brother kiba...daah.Hawa wanefili ni matokeo ya malaika kuzaa na binadamu na inasemekana waliangamia na hawapo tena
Kwanini hawa malaika waliozaa na binadamu huwa hawashuki tena duniani na kuja kuzaa na mabinti wengine baada ya gharika hadi mpaka sasa?
Nini kimewazuia
Wee mkuu nimekuelewa vizuri aisee...ujuwe manefili walikuwepo kitambo...sasa wakawa tishio kwa wanadamu...so mungu kutubust akili na maarifa akawatuma malaika wazae na mabinti zetu ndio wakatokea vizazi vyenye akili za kuwazidi manefil....good idea.Kwanza kuna kitu hakileti ukweli katika Biblia maana hapa katika maandiko ya mwanzo kuna mkanganyiko inaonyesha WANEFILI WALIKUWEPO KABLA YA BINADAMU
1 Ikawa wanadamu walipoanza kuzidi usoni pa nchi na wana wa kike walizaliwa kwao,
Mwanzo 6 :1
2 wana wa Mungu waliwaona hao binti za wanadamu ya kuwa ni wazuri; wakajitwalia wake wo wote waliowachagua.
Mwanzo 6 :2
4 Nao Wanefili walikuwako duniani siku zile;tena ,baada ya hayo ,wana wa Mungu walipoingia kwa binti za binadamu,wakazaa nao wana;hao ndiyo waliokuwa watu hodari zamani ,watu wenye sifa.
Mwanzo 6 :4
Bhana mna boaMajini ni malaika waovu, ni waasi walifukuzwa mbinguni wakatupwa hapa duniani
Unamaanisha nini kusema hivi?Naposema Dunia kwa context ya agano la kale ni mashariki ya kati pekee ndio ilikuwa dunia..... Enzi hizo watu waliishi maeneo ya mesopotamia hadi eridu mpaka misri basi na walikuwa hawazidi hata million 5 dunia nzima!!
Enzi za mfalme ogu afrika ilikuwa inaishia libya na misri tu hivyo hakukuwa bado na matishio huku afrika ingawa najua baadae afrika ilikuja kupata watu mashujaa ila all in all huyu Ogu alikuwa ni MWEUSI sababu anatambuliwa kma muamori ambaye ni jamii ya HAMITES ngozi nyeusi kabisa walioishi canaan/palestina-israel ya sasa takriban miaka 6000 iliopita hivyo ni ''mwenzetu'' huyo!!
mkuu assumptions hizo inabidi na Uhusika wa Mungu kwenye hilo zoezi hilo uwe neglected.Possibility kuwa maji yalijaa mikono 15 zaidi ya mlima mrefu ikimaanisha huyu Ogu kma alikuwa na urefu wa zaidi ya futi 15 ina maana basi anaweza kuwa maji aliyazidi kimo kuendana na hoja hii ya MIKONO 15!!! Other factors remaining constant ingawa ni finyu kma unavyosema ila kwa msimamo huu wa biblia je haiwezekani??
Ukweli ndo huoBhana mna boa
Hakuna ukweli wowote hapo. Nakushauri tafuta vitaby vyengine usome then utaelewaUkweli ndo huo
Ok, hv majini yalitokeajeHakuna ukweli wowote hapo. Nakushauri tafuta vitaby vyengine usome then utaelewa