Mfalme Ogu wa Bashani: Mnefili pekee aliyepona kwenye Gharika la Nuhu

Mfalme Ogu wa Bashani: Mnefili pekee aliyepona kwenye Gharika la Nuhu

nakupata mkuu, inahitaji tafakari ya neno na kuomba Mungu atusaidie.
Mfano Ukisoma 1Nyakati 1:1 inaonyesha kuwa HENOKO ni mtu wa saba. tunaweza kusema Yuda kusema mtu wa saba aliitolea hapa.
"1/Adam, na 2/ Seth, na 3/ Enosh; na 4/ Kenani na 5/ Mahalaleli, na 6/ Yaredi na 7/HENOKO.
ukweli hadi kufikia henoko kulikuwa na maelfu ya watu tayari wameshazaliwa.
amesema ni mtu wa saba kutoka adam, hajasema mtu wa saba kuzaliwa tangu adam. Yawezekana alimaanisha kizazi cha saba "seventh generation''.

baadhi ya commentators wanasema hivyo.

(((((((( Je kma definition ya biblia kwa MTU ni hii kivp basi Ogu atatambulika kma mtu if at all watoto wengine wa adam akiwemo cain hawakutambulika kma WATU?? ))))) sijaelewa hapa kiongozi.
1.Nimeelewa kuwa ni kizazi ndio nasema kwanini wahesabu kizazi cha SETH na sio Cain au watoto wengine wa Adam??? Why itumike MTU wa saba ilihali adam alizaa kizazi tofauti na cha Seth hivo bado hakimfanyi Enoch kuwa wa 7 au 8 sababu inaonekana wazi kabisa biblia imekitambua kizazi cha SETH pekee kuwa ndio WATU kuendana na mstari huu

Je kma definition ya biblia kwa MTU ni hii kivp basi Ogu atatambulika kma mtu if at all watoto wengine wa adam akiwemo cain hawakutambulika kma WATU??

2.Hapa nliuliza kama biblia inatambua MTU kama ni uzao wa SETH je si ina maana Ogu anatambulika kma mnyama ivo kuna uwezekano na yeye basi alipona kwenye gharika kwa kuwa Nuhu alimchukua kama moja ya MNYAMA hivyo kwa maneno ya YUDA tunaweza conclude kuwa waliopona kwenye gharika ni WATU NANE (waliotoka kwa seth) na wanyama kadhaa walipona kwenye safina (Uzao wa Cain kma Ogu na wengineo kma mke wa Ham n.k) kumbuka watoto pia hawakuhesabiwa hapa!!!

Umenipata hapo nachouliza??
 
Nuh jina lake kamili ni Nuh Lamech Methusela.......mwisho linaishia na Adam. Historia katika dini haikumtaja huyo mtu anaeitwa UJ BIN ANAQ. Kwa sababu hakuwepo. Historia inasema kwamba miaka 142 baada ya kufariki Adam, watu waliishi katika amani na upendo katika kumpokea Mungu na maandiko yake. Miongoni mwao walikuwepo watu wema sana ambao walikuwa mabingwa katika kumtii Mungu na kuwafanyia watu hisani. Miongoni mwao ni Wadd, Suwa, Yaghurt, Yauoq na Nasraa. Hawa ilikuwa ni watu wema sana. Baada ya kufariki waliobaki walitengeneza statues kwa ajili ya kumbukumbu ya kuwatukuza hawa (kama tunavyofanya leo kujenga minara ya kumbukumbu kama askari monument nk) huzuni kubwa ilitawala baada ya kuondoka watu hawa na ni shetani aliewashauri watu waliobaki kujenga hizi statues na kuanza kuzitukuza baada ya kumtukuza Mungu wa pekee, ndipo hapo Mungu alipompeleka Nuhu kuwarejesha watu wale kwenye mstari wa kumtukuza Mungu pekee. Nuhu alifanya kazi ya kuwaelimisha watu kwa muda wa miaka 950, usiku na mchana bila ya kuchoka. Mpaka hapo watawala hawakuwa wamemuelewa kabisa. Ni wachache miongoni mwa masikini na wenye matatizo ndio walimuelewa na kumfata. Ndipo hapo Nuhu alipoomba kwa Mungu amueweke mbali na wasioamini miongoni mwa watu wa mji ule ili wasije kuwaletea matatizo wachache waliaomini. Mungu akamletea ujumbe kuwa anapaswa kutengeneza Meli (ark), kwa kusaidiana na Malaika wa Mungu Nuhu akatengeneza meli mpaka kukamilika. Kumbuka Nuhu alitengeneza meli hii nje kabisa ya mji na mbali kabisa na usawa wa bahari ndio hapo waliokuwa hawamuamini wakawa wanacheka sana kwamba jamaa sasa kawa kichaa. Wakawa wanamuuliza ni vipi itafika baharini ama itavutwa na upepo? kutokea hapo Mungu alimpa ishara kwamba utakapoona jikoni kwake kunafurika maji mfano wa chem chem, basi huo ni mda wa wewe na waliokufuata kuondoka na kukimbilia meli. Nuhu alibeba wanyama kwa pea (male and female) na akabeba chakula cha kutosha. Wa kwanza kukataa kumfata Nuh ni mke wake jina lake aliitwa Wahila, huyu Wahila alifikia kumuita Nuhu mwendawazimu wa pili kukataa kumfata nuh ni mtoto wake aliitwa Kanaan na ndie aliesema kwamba mimi mafuriko ytapotokea nitapanda kwenye mlima na nitakuwa salama huyu aliishi maisha ya kibabe ingawa kila alipofika kwenye miliki ya baba yake alijifanya mtu mwema sana. Mvua ilinyesha kwa siku 40, kila ufa uliopo katika ardhi ulitoa maji, kina cha bahari kiliongezeka sasa ardhi ilikuwa kama sponji lililoshiba maji.... Gharika ikaanzia hata bible imeweka wazi kwamba kina cha maji kiliongezeka kufikia mita kumi na tano zaidi ya mlima mrefu. Hakuna hata mmoja aliesalimika. Meli lile lilikaa katika maji kwa miezi kadhaa mpaka likafika maeneo ya mbali (Turkey) Kumbuka Nuh aliishi maeneo ya Iraq na Iran. Hakuna mtu alieitwa Uj bin Anaq
 
1.Nimeelewa kuwa ni kizazi ndio nasema kwanini wahesabu kizazi cha SETH na sio Cain au watoto wengine wa Adam??? Why itumike MTU wa saba ilihali adam alizaa kizazi tofauti na cha Seth hivo bado hakimfanyi Enoch kuwa wa 7 au 8 sababu inaonekana wazi kabisa biblia imekitambua kizazi cha SETH pekee kuwa ndio WATU kuendana na mstari huu

Je kma definition ya biblia kwa MTU ni hii kivp basi Ogu atatambulika kma mtu if at all watoto wengine wa adam akiwemo cain hawakutambulika kma WATU??

2.Hapa nliuliza kama biblia inatambua MTU kama ni uzao wa SETH je si ina maana Ogu anatambulika kma mnyama ivo kuna uwezekano na yeye basi alipona kwenye gharika kwa kuwa Nuhu alimchukua kama moja ya MNYAMA hivyo kwa maneno ya YUDA tunaweza conclude kuwa waliopona kwenye gharika ni WATU NANE (waliotoka kwa seth) na wanyama kadhaa walipona kwenye safina (Uzao wa Cain kma Ogu na wengineo kma mke wa Ham n.k) kumbuka watoto pia hawakuhesabiwa hapa!!!

Umenipata hapo nachouliza??
nimekusoma mkuu.
sidhani kama kurukwa kwa baadhi ya watu katika geneology ilimaanisha hawakuhesabiwa kama wanadamu.
Definition ya mtu iko clear.
Mwanzo 2,3
na akasema wazaane na kuongezeka.
Nuhu hakufanya mambo kwa utashi wake aliongozwa na Mungu na alifuata maelekezo tu.
kwa hiyo nadhalia inatia shaka kuaminika. (Bibilia inawatambua wanefili kama WATU WENYE nguvu, sio WANYAMA kwa msingi wa bibilia nashindwa kuona huyo OG alichomokaje) japo ni nzuri kwa kufikirisha.

pia mkuu, tukumbuke Nuhu aliwaambia wale jamaa kuwa Mungu ndiye Kaufunga mlango . Sidhani kama Mungu awe msahaulifu afungie mamluki mle safinani akidhani ni mnyama. Mungu alisimamia mchakato wote kwa ukaribu.
 
1. Ila mkuu biblia iliandikwa kwa context ya ajabu kabisa ukisoma Yuda anasema ENOCH ni mtu wa saba baada ya ADAM ikimaanisha Cain hakuhesabiwa wala watoto wengine wa Adam hawakuhesabiwa ila mtu akisoma tu kwa juu juu hawezi kuona kma kuna mkanganyiko kwenye biblia kuwa kivp Enock ni mtu wa saba ilihali kimahesabu ni mtu wa 12???

Hivyo hivyo hata Biblia inaweza kuwa haikumtambua Og kama MTU hivyo inawezekana alikuwa classified kama mnyama na labda alikuwa mmoja wa wanyama wawili wawili walioingizwa kwenye Safina ya Nuhu if at all nadharia ile ya pili kuwa alikuwa anamsaidia Nuhu kujenga na kuiongoza safina majini itakuwa applied hapa

Je kma definition ya biblia kwa MTU ni hii kivp basi Ogu atatambulika kma mtu if at all watoto wengine wa adam akiwemo cain hawakutambulika kma WATU??

Uficho wa Ogu yawezekana ni kwa sababu ya asili yake na rangi yake ndio maana katika sehemu zote alizoandikwa hawakuonesha uzao wake na yawezekana ni miongoni mwa mtu ambae hakutokana na uzao wa wanefili.
Kuna mengi ya huyu mtu yamendikwa sehemu nyingi sana si biblia tu hata Quran inamtambua ila kote huko hakuna alieandika kuhusu uzao wake zaidi ya kuonesha alikotawala na hadi kifo chake.

Yawezekana kupona kwake katika garika kuna sababu lakini hakuna anaeijua na hata wajuao hawajawahi kuiweka wazi
Usisahau kuwa Ogu ni mmoja tu aliezungumziwa kila sehemu na sifa zake ni zilezile

Kuna kitu hakipo sawa ndio maana utaona kulitumika nguvu kubwa kuhusu Goliath ili tuamini ndie alikuwa jitu kubwa la kutisha japo hakufanya maajabu kama ya Ogu

Kwanini Ogu awe mweusi katikati ya wayahudi na wanaislarael kiujumla?

Lakini napata wazo tofauti yawezekana mungu alimtumia kumsaidia Nuhu kujenga ile safina na kwa ukubwa wa mwili wake asingelitosha kukaa kwa safina ile hivyo njia pekee ilikuwa ni kutomuua mtu yule akiwa nje ya safina.
Lakini kwa sababu kadhaa walioandika hawakujua au waliamua tuamini garika iliua viumbe wote nje ya safina

Nimewaza tu kwa tafakuri kulingana na nilioyasoma kuhusu mfalme Ogu.

Historia yetu isio na nguvu inasema ni mtu wa hapa kwetu na baadhi ya nyayo zake zipo kule Tabora na Kongo lakini je alikuwa anaenda wapi? Na kwanini ziwe Kongo ambako inasemekana alikuwa anachukua miti imara kwa ajili ya kumpelekea Nuhu?

Na vipi ikiwa Ogu alipona kwa sababu ni miongoni mwa watu waliokubali kusaidiana na Nuhu kujenga Safina na wengine kukataa?itakwaje ikiwa hiyo ndio sababu Ogu kupona garika ile?

Nimejaribu kuwaza kwa tafakuri tu.
 
Sasa kwa ukubwa huo wa wanefili, waliwezaje kugegeda hao wanawake wa enzi hizo kwa hiyo mipododo na vipapuchi vidogo?
Zamani mwanamke hakuwa anahesabu katikati ya kundi, ukisikia Jamaa kalisha wanaume 200 usizani ni wanaume pekee kuna hadi wanawake ndani yake!..
Kama Adam alikuwa giant unaachaje fikiria Eva hakuwa giant!?.
 
Nuh jina lake kamili ni Nuh Lamech Methusela.......mwisho linaishia na Adam. Historia katika dini haikumtaja huyo mtu anaeitwa UJ BIN ANAQ. Kwa sababu hakuwepo. Historia inasema kwamba miaka 142 baada ya kufariki Adam, watu waliishi katika amani na upendo katika kumpokea Mungu na maandiko yake. Miongoni mwao walikuwepo watu wema sana ambao walikuwa mabingwa katika kumtii Mungu na kuwafanyia watu hisani. Miongoni mwao ni Wadd, Suwa, Yaghurt, Yauoq na Nasraa. Hawa ilikuwa ni watu wema sana. Baada ya kufariki waliobaki walitengeneza statues kwa ajili ya kumbukumbu ya kuwatukuza hawa (kama tunavyofanya leo kujenga minara ya kumbukumbu kama askari monument nk) huzuni kubwa ilitawala baada ya kuondoka watu hawa na ni shetani aliewashauri watu waliobaki kujenga hizi statues na kuanza kuzitukuza baada ya kumtukuza Mungu wa pekee, ndipo hapo Mungu alipompeleka Nuhu kuwarejesha watu wale kwenye mstari wa kumtukuza Mungu pekee. Nuhu alifanya kazi ya kuwaelimisha watu kwa muda wa miaka 950, usiku na mchana bila ya kuchoka. Mpaka hapo watawala hawakuwa wamemuelewa kabisa. Ni wachache miongoni mwa masikini na wenye matatizo ndio walimuelewa na kumfata. Ndipo hapo Nuhu alipoomba kwa Mungu amueweke mbali na wasioamini miongoni mwa watu wa mji ule ili wasije kuwaletea matatizo wachache waliaomini. Mungu akamletea ujumbe kuwa anapaswa kutengeneza Meli (ark), kwa kusaidiana na Malaika wa Mungu Nuhu akatengeneza meli mpaka kukamilika. Kumbuka Nuhu alitengeneza meli hii nje kabisa ya mji na mbali kabisa na usawa wa bahari ndio hapo waliokuwa hawamuamini wakawa wanacheka sana kwamba jamaa sasa kawa kichaa. Wakawa wanamuuliza ni vipi itafika baharini ama itavutwa na upepo? kutokea hapo Mungu alimpa ishara kwamba utakapoona jikoni kwake kunafurika maji mfano wa chem chem, basi huo ni mda wa wewe na waliokufuata kuondoka na kukimbilia meli. Nuhu alibeba wanyama kwa pea (male and female) na akabeba chakula cha kutosha. Wa kwanza kukataa kumfata Nuh ni mke wake jina lake aliitwa Wahila, huyu Wahila alifikia kumuita Nuhu mwendawazimu wa pili kukataa kumfata nuh ni mtoto wake aliitwa Kanaan na ndie aliesema kwamba mimi mafuriko ytapotokea nitapanda kwenye mlima na nitakuwa salama huyu aliishi maisha ya kibabe ingawa kila alipofika kwenye miliki ya baba yake alijifanya mtu mwema sana. Mvua ilinyesha kwa siku 40, kila ufa uliopo katika ardhi ulitoa maji, kina cha bahari kiliongezeka sasa ardhi ilikuwa kama sponji lililoshiba maji.... Gharika ikaanzia hata bible imeweka wazi kwamba kina cha maji kiliongezeka kufikia mita kumi na tano zaidi ya mlima mrefu. Hakuna hata mmoja aliesalimika. Meli lile lilikaa katika maji kwa miezi kadhaa mpaka likafika maeneo ya mbali (Turkey) Kumbuka Nuh aliishi maeneo ya Iraq na Iran. Hakuna mtu alieitwa Uj bin Anaq
Nashkuru kwa maelezo yako mkuu ila mbona wasomi nguli na waandishi wakubwa kwenye historia ya waislam kama kina Abu ishak ahmad Al thalabi na Muhammad ibn jarir Al tarabi wamekubali kisa hiki kwenye machapisho yao ya kale au ndio kusema wamepotosha pia ilihali maandiko yao mbalimbali yanakubaliwa na waislam na kusomwa dunia nzima!!!

Anyway Uj bin anaq hayupo kwenye quran ila biblia na vitabu vya kidini za wayahudi kma torah talmud na tanakh vinatambua uwepo wa Uj bin anaq ndio maana tunajengea hoja sana kutokea pande hizo sababu kwenye quran haimtaji ila waandishi wa kiislam credible ndio wanamtaja!!!

Kuhusu Canaan mkuu hapo napinga sababu canaan kihistoria alikuwepo baada ya gharika unless quran ndio inafundisha hivo siwezi kupinga maana wanaweza kuwepo wawili ila all in all nashkuru kwa kutupa msimamo wa Quran kuhusiana na mfalme Ogu ubarikiwe sana
 
nimekusoma mkuu.
sidhani kama kurukwa kwa baadhi ya watu katika geneology ilimaanisha hawakuhesabiwa kama wanadamu.
Definition ya mtu iko clear.
Mwanzo 2,3
na akasema wazaane na kuongezeka.
Nuhu hakufanya mambo kwa utashi wake aliongozwa na Mungu na alifuata maelekezo tu.
kwa hiyo nadhalia inatia shaka kuaminika. (Bibilia inawatambua wanefili kama WATU WENYE nguvu, sio WANYAMA kwa msingi wa bibilia nashindwa kuona huyo OG alichomokaje) japo ni nzuri kwa kufikirisha.

pia mkuu, tukumbuke Nuhu aliwaambia wale jamaa kuwa Mungu ndiye Kaufunga mlango . Sidhani kama Mungu awe msahaulifu afungie mamluki mle safinani akidhani ni mnyama. Mungu alisimamia mchakato wote kwa ukaribu.
Inawezekana Mungu aliruhusu kwa maksudi yake kama ambavyo anajua shetani ni muovu ila bado baada ya gharika tunaona bado aliendelea kuudanganya ulimwengu ndio sembuse mnefili???

Kama hii ni hoja kuwa Mungu sio msahaulifu hadi AMUACHE mamluki humo ndani...... Embu tusaidie kama malaika walioasi wamefungwa wote je hawa mapepo wametokea wapi if at all walishafungwa wote au Mungu pia hapa ni msahaulifu??

Yuda 1
6 Na malaika wasioilinda enzi yao wenyewe, lakini wakayaacha makao yao yaliyowahusu, amewaweka katika vifungo vya milele chini ya giza kwa hukumu ya siku ile kuu

2 petro: 2
4 Kwa maana ikiwa Mungu hakuwaachilia malaika waliokosa, bali aliwatupa shimoni, akawatia katika vifungo vya giza, walindwe hata ije hukumu;

Tusaidiane hapo
 
Uficho wa Ogu yawezekana ni kwa sababu ya asili yake na rangi yake ndio maana katika sehemu zote alizoandikwa hawakuonesha uzao wake na yawezekana ni miongoni mwa mtu ambae hakutokana na uzao wa wanefili.
Kuna mengi ya huyu mtu yamendikwa sehemu nyingi sana si biblia tu hata Quran inamtambua ila kote huko hakuna alieandika kuhusu uzao wake zaidi ya kuonesha alikotawala na hadi kifo chake.

Yawezekana kupona kwake katika garika kuna sababu lakini hakuna anaeijua na hata wajuao hawajawahi kuiweka wazi
Usisahau kuwa Ogu ni mmoja tu aliezungumziwa kila sehemu na sifa zake ni zilezile

Kuna kitu hakipo sawa ndio maana utaona kulitumika nguvu kubwa kuhusu Goliath ili tuamini ndie alikuwa jitu kubwa la kutisha japo hakufanya maajabu kama ya Ogu

Kwanini Ogu awe mweusi katikati ya wayahudi na wanaislarael kiujumla?

Lakini napata wazo tofauti yawezekana mungu alimtumia kumsaidia Nuhu kujenga ile safina na kwa ukubwa wa mwili wake asingelitosha kukaa kwa safina ile hivyo njia pekee ilikuwa ni kutomuua mtu yule akiwa nje ya safina.
Lakini kwa sababu kadhaa walioandika hawakujua au waliamua tuamini garika iliua viumbe wote nje ya safina

Nimewaza tu kwa tafakuri kulingana na nilioyasoma kuhusu mfalme Ogu.

Historia yetu isio na nguvu inasema ni mtu wa hapa kwetu na baadhi ya nyayo zake zipo kule Tabora na Kongo lakini je alikuwa anaenda wapi? Na kwanini ziwe Kongo ambako inasemekana alikuwa anachukua miti imara kwa ajili ya kumpelekea Nuhu?

Na vipi ikiwa Ogu alipona kwa sababu ni miongoni mwa watu waliokubali kusaidiana na Nuhu kujenga Safina na wengine kukataa?itakwaje ikiwa hiyo ndio sababu Ogu kupona garika ile?

Nimejaribu kuwaza kwa tafakuri tu.
Mkuu umewaza vyema kabisa naiona logic hapa.... Huenda Ogu aliachwa asife kwenye gharika kwa sababu ndio alikuwa msaidizi mkubwa kwenye kujenga safina sababu najiuliza yafuatao

safina ya urefu wote ule na ukubwa Nuhu angeijenga mwenyewe??

Wale wanyama wakubwa kama tembo au dinasour hivi mtu kma mmi na ww kweli tunaweza enda wabeba kutoka porin hadi kwenye safina??

Umezungukwa na wanefili hivi wasingetaka kulivunjilia mbali lile safina kipindi wanatapa tapa kujiokoa na gharika??

Mashariki ya kati hata kishitoria tu ilikuwa eneo la jangwa sana je hyo miti ya mbao lazima itolewe mbali sana je Nuhu angeweza pekee kubeba mbao zote hizo za kujengea safina kubwa kma ile ya Nuhu ya kutosha wanyama wote!!

Nkiwaza haya yote napata picha kuwa logic yako ni sahihi huenda kwa msaada wake huu Mungu aliamua kumspare kifo cha gharika ndio maana akaendelea kuishi hata mvua ilipochachamaa

Ahsante great thinker kwa kunipanua fikra
 
Inawezekana Mungu aliruhusu kwa maksudi yake kama ambavyo anajua shetani ni muovu ila bado baada ya gharika tunaona bado aliendelea kuudanganya ulimwengu ndio sembuse mnefili???

Kama hii ni hoja kuwa Mungu sio msahaulifu hadi AMUACHE mamluki humo ndani...... Embu tusaidie kama malaika walioasi wamefungwa wote je hawa mapepo wametokea wapi if at all walishafungwa wote au Mungu pia hapa ni msahaulifu??

Yuda 1
6 Na malaika wasioilinda enzi yao wenyewe, lakini wakayaacha makao yao yaliyowahusu, amewaweka katika vifungo vya milele chini ya giza kwa hukumu ya siku ile kuu

2 petro: 2
4 Kwa maana ikiwa Mungu hakuwaachilia malaika waliokosa, bali aliwatupa shimoni, akawatia katika vifungo vya giza, walindwe hata ije hukumu;

Tusaidiane hapo
nikiangalia tafakari ya maandiko inaeleza Adhabu ya Ghalika ilikuwa ni kwa ajili ya wanadamu.
na ilichochewa na mmommonyoko wa maadili uliopitiliza na Mungu akasema wazi ' nitamwangamiza mwanadamu'
shetani na malaika zake hawakuwa sehemu ya adhabu kama ilivyokuwa sodoma na gomora.
Tunaambiwa wamewekwa akiba kwa ajili ya Moto wa hukumu ile ya milele. Hata mapepo yenyewe yanajua ndicho yalicholalamika Yalipokutana na yesu "Mbona umekuja kututesa kabla ya Muda wetu"???.

kuhusu swali hapo. Tunapata nafasi ya kufikiri ni kifungo kipi alichomaanisha Mungu?
kama kuanzia Mwanzo hadi Ufunuo tunawaona wakifanya kazi. Hii inatupa fursa ya kujifunza kumbe kifungo anachosema Mungu wenda sio physical restrictions yawezekana ni katika uwezo wao. Yawezekana kama wangepewa uwezo wao wote walioondoka nao mbinguni hali ingekuwa tete.

ndio maana maandiko yanasema Shetani na malaika wake ni KAMA SIMBA AUNGURUMAYE akitafuta mtu ammeze (
1 peter 5:8). sio simba lkn ni kama simba. hivyo kifungo chake ambacho hakijafafanuliwa kinampa mwanya wa haya ambayo anayafanya.

maoni mkuu.
 
Nashkuru kwa maelezo yako mkuu ila mbona wasomi nguli na waandishi wakubwa kwenye historia ya waislam kama kina Abu ishak ahmad Al thalabi na Muhammad ibn jarir Al tarabi wamekubali kisa hiki kwenye machapisho yao ya kale au ndio kusema wamepotosha pia ilihali maandiko yao mbalimbali yanakubaliwa na waislam na kusomwa dunia nzima!!!

Anyway Uj bin anaq hayupo kwenye quran ila biblia na vitabu vya kidini za wayahudi kma torah talmud na tanakh vinatambua uwepo wa Uj bin anaq ndio maana tunajengea hoja sana kutokea pande hizo sababu kwenye quran haimtaji ila waandishi wa kiislam credible ndio wanamtaja!!!

Kuhusu Canaan mkuu hapo napinga sababu canaan kihistoria alikuwepo baada ya gharika unless quran ndio inafundisha hivo siwezi kupinga maana wanaweza kuwepo wawili ila all in all nashkuru kwa kutupa msimamo wa Quran kuhusiana na mfalme Ogu ubarikiwe sana

Kaka zitto junior muandishi yoyote wa kiislamu atakaeandika kuhusu uwepo wa mtu yoyote aliesalimika na gharika ya Noah tafauti na wale waliokuwa kwenye ark hao sio waislam na wanapotosha. Unaweza kumtaja mtu kwa jina la kiislam lakini asiwe muislam pali ni mtu anaetumiwa na watu fulani kwa maslahi yao kama alivyokuwa Salman Rushdi. Sikutaka kunasibisha maelezo yangu na Quran lakini katika Quran Allah anasimulia.

O my son! embark with us and be not with the unbelievers’. The son replied: ‘I will betake myself to some mountain, it will save me from the flood’. And Noah said: ‘This day nothing can save you from what God has decreed, for only those on whom He has Mercy will be saved’. And the waves came between them and the son was among the drowned ones.” — Holy Qur’an, 11:42-43
 
Kaka zitto junior muandishi yoyote wa kiislamu atakaeandika kuhusu uwepo wa mtu yoyote aliesalimika na gharika ya Noah tafauti na wale waliokuwa kwenye ark hao sio waislam na wanapotosha. Unaweza kumtaja mtu kwa jina la kiislam lakini asiwe muislam pali ni mtu anaetumiwa na watu fulani kwa maslahi yao kama alivyokuwa Salman Rushdi. Sikutaka kunasibisha maelezo yangu na Quran lakini katika Quran Allah anasimulia.

O my son! embark with us and be not with the unbelievers’. The son replied: ‘I will betake myself to some mountain, it will save me from the flood’. And Noah said: ‘This day nothing can save you from what God has decreed, for only those on whom He has Mercy will be saved’. And the waves came between them and the son was among the drowned ones.” — Holy Qur’an, 11:42-43
Okay mkuu kama hiyo ni hoja kwanini basi vitabu vya hao waandishi wawili vinasomwa na masheikh na wanavitumia sana kwenye machapisho yao ilihali ni wapotoshaji???

Anyway msimamo wa quran ni upi mkuu kuhusu number ya watu waliopona gharika..... Je mke wa Nuhu aliyekataa kupanda safina aliishia wapi au nuhu alikuwa na mke zaidi ya mmoja???
 
nikiangalia tafakari ya maandiko inaeleza Adhabu ya Ghalika ilikuwa ni kwa ajili ya wanadamu.
na ilichochewa na mmommonyoko wa maadili uliopitiliza na Mungu akasema wazi ' nitamwangamiza mwanadamu'
shetani na malaika zake hawakuwa sehemu ya adhabu kama ilivyokuwa sodoma na gomora.
Tunaambiwa wamewekwa akiba kwa ajili ya Moto wa hukumu ile ya milele. Hata mapepo yenyewe yanajua ndicho yalicholalamika Yalipokutana na yesu "Mbona umekuja kututesa kabla ya Muda wetu"???.

kuhusu swali hapo. Tunapata nafasi ya kufikiri ni kifungo kipi alichomaanisha Mungu?
kama kuanzia Mwanzo hadi Ufunuo tunawaona wakifanya kazi. Hii inatupa fursa ya kujifunza kumbe kifungo anachosema Mungu wenda sio physical restrictions yawezekana ni katika uwezo wao. Yawezekana kama wangepewa uwezo wao wote walioondoka nao mbinguni hali ingekuwa tete.

ndio maana maandiko yanasema Shetani na malaika wake ni KAMA SIMBA AUNGURUMAYE akitafuta mtu ammeze (
1 peter 5:8). sio simba lkn ni kama simba. hivyo kifungo chake ambacho hakijafafanuliwa kinampa mwanya wa haya ambayo anayafanya.

maoni mkuu.
Aseee nmekuelewa sana kwa haya maelezo yako mkuu ...... wewe ni mmoja ya watu makini sana humu, kwenye kila post yako natoka na madini ubarikiwe sana

Kweli kuna haja ya kutafiti kifungo ni cha aina gani maana bado tunaona mapepo wanazunguka.... Mshana Jr pita huku utusuaidie hapa
 
Okay mkuu kama hiyo ni hoja kwanini basi vitabu vya hao waandishi wawili vinasomwa na masheikh na wanavitumia sana kwenye machapisho yao ilihali ni wapotoshaji???

Anyway msimamo wa quran ni upi mkuu kuhusu number ya watu waliopona gharika..... Je mke wa Nuhu aliyekataa kupanda safina aliishia wapi au nuhu alikuwa na mke zaidi ya mmoja???

Brother zitto junior Quran haikuweka bayana namba ya watu waliokuwemo kwenye Safina la Noah. Ingawa inasemekana ni 80, wengine wanasema 72. Quran haikuweka wazi. Quran vile vile haikuweka wazi hatima ya Wahila mke wa Noah. Haikuwekwa wazi pia kama Noah alikuwa na mke mwengine ama vipi ingawa wengine wanasema alikuwa pia na mke mdogo aliekuwa anaitwa Naamah aka naima
 
Brother zitto junior Quran haikuweka bayana namba ya watu waliokuwemo kwenye Safina la Noah. Ingawa inasemekana ni 80, wengine wanasema 72. Quran haikuweka wazi. Quran vile vile haikuweka wazi hatima ya Wahila mke wa Noah. Haikuwekwa wazi pia kama Noah alikuwa na mke mwengine ama vipi ingawa wengine wanasema alikuwa pia na mke mdogo aliekuwa anaitwa Naamah aka naima
Waislamu na kubadilishwa tena. Hapa anajulikana kwa Kiarabu kama ‘Uj bin Unuq / ‘Anaq عوج بن عنق. Ushahidi uko kwa Al Tabari aliyeandika ya kwamba maiti ya Udj ilikuwa kama daraja juu ya mto Naili, pia wengine.

Hii inaeza kuwa ni uongo?
 
Mkuu Kudo900 katika kusoma kwangu historia kote sijawahi kukutana na jina hilo kama ni mtu aliekuwepo enzi na Noah wacha umaarufu wake aliokuwa nao. Ni mtazamo tu katika kukoleza hii thread yetu ili kuchochea mjadala zaidi. Nuhu alimuomba bwana Mungu amuweke mbali na wale wasiomuamini na ndio maana wasio muamini wote walienda na maji si mwanawe wala mwengine yyte aliebaki, inagwa Nuhu baadae alijutia sala yake hii maana mawazo ya mtoto wake yalimtesa sana miaka mingi baada ya gharika kuu. Ndio maana Mungu baadae alikuja kumwambia Nuhu kuwa yule hakuwa miongoni mwako na wala Mungu hakusema kuwa hakuwa mtoto wako kama wengi walivyokuja kuamini.
 
Mkuu Kudo900 katika kusoma kwangu historia kote sijawahi kukutana na jina hilo kama ni mtu aliekuwepo enzi na Noah wacha umaarufu wake aliokuwa nao. Ni mtazamo tu katika kukoleza hii thread yetu ili kuchochea mjadala zaidi. Nuhu alimuomba bwana Mungu amuweke mbali na wale wasiomuamini na ndio maana wasio muamini wote walienda na maji si mwanawe wala mwengine yyte aliebaki, inagwa Nuhu baadae alijutia sala yake hii maana mawazo ya mtoto wake yalimtesa sana miaka mingi baada ya gharika kuu. Ndio maana Mungu baadae alikuja kumwambia Nuhu kuwa yule hakuwa miongoni mwako na wala Mungu hakusema kuwa hakuwa mtoto wako kama wengi wa
livyokuja kuamini.

Sawa maana najua huwa tunatofautiana kutafuta jambo flani kulingana na vyanzo tunavyoamini.

Sasa kwa kuwa hujawahi kusoma ila hapa bwana [HASHTAG]#Zitto[/HASHTAG] junior,amefanya umesoma,hakuna shida tuendelee kuelimishana
 
Back
Top Bottom