Mfalme Ogu wa Bashani: Mnefili pekee aliyepona kwenye Gharika la Nuhu

Mfalme Ogu wa Bashani: Mnefili pekee aliyepona kwenye Gharika la Nuhu

Joshua 10:13
13 Ndipo jua likasimama, na mwezi ukatulia,Hata hilo taifa lilipokuwa limekwisha jipatiliza juu ya adui zao.Hayo, je! Hayakuandikwa ndani ya kitabu cha Yashari? Basi jua likasimama kimya katikati ya mbingu, wala halikufanya haraka kuchwa kama muda wa siku nzima.

2 samueli 1:18
18 (kama ilivyoandikwa katika kitabu cha Yashari), akasema,Wana wa Yuda na wafundishwe haya,

Mkuu nakubaliana na ww kuwa vitajichanganya na biblia nzima ila je kwanni basi waandishi wa agano la kale walikuwa wanavitumia kujengea hoja why sasa hivi inakuwa kesi ??? Tusaidiane hapo mkuu maana najifunza mengi kupitia mjadala huu na watu makini

Cc Malcom Lumumba
nakupata mkuu.
asante kwa mistari. tatizo ni utata wa maandishi yaliyomo na uhalali kama kweli hivyo ndivyo halisi?

mfano.
ikiwa kikaibuka kitabu kinasema kuna watu walipona kwenye gharika ya nuhu.
Lkni hadithi za vitabu hivyo zikapingana moja kwa moja na Kauli ya Mungu Mwanzo kuwa hakupona mtu.
Pia Yesu naye akasema yale ambayo yalisemwa na Mungu ktk mwanzo akisisitiza hakuna mtu wa nje ya safina aliyetoroka.
huu mgogoro tunautatuaje hapo mkuu.
Malcom Lumumba

Pia tunajiuliza, mwanadamu anaweza kuficha kitu ambacho Mungu anataka kiwe wazi?(neno lake).
Je hao vatican waliovipata kwa nini wasivisambaze dunia nzima maana watakuwa wamefanya kazi ya Mungu kisambaza neno lake. maana kauli kuwa kuna vitabu vya ajabu sana, vyenye siri nyingi vimefichwa mahala watu wasijue nimeisikia kitambo lkn kauli hizo zinachanganya kwa sababu Ikiwa ni Vya Mungu. Huyo aliyevificha atakuwa na uwezo zaidi ya Mungu mwenye hivyo vitabu.

najaribu kutafakari kwa nia njema mkuu.
 
Nakubaliana kabisa na wewe Mkuu.
Tuseme kwamba The BIBLE IS INFALLIBLE AND INERRANT because it was written by men but authored by The Holy Spirit. Itabaki kuwa BIBLIA na wala haihitaji Marekebisho yoyote yale: Lakini yanpokuja mambo haya kuhusiana na mafundisho mbali mbali nashauri tuyasome na tuyasome sana ili tutambue uongo katika historia uko wapi na ukweli uko wapi....
asante mkuu, umesema kweli, nilimsikia kiongozi wangu mmoja wa dini anasema amechukua phd ya mythology, nikajifunza kuna vitu tunapaswa kujua nje ya Bibilia ili kuongeza uelewa pasipo kukana mamlaka ya bibilia.
Pia nadharia nyingi mkuu zitto junior amekuwa akiweka hapa haya mambo na kunifungua akili japo naleta changamoto za hapa na pale maana yanaweza kuchukuliwa na wengine kuwa ni kweli 100% na kujikuta wanapotoka. nakubaliana na wewe tuyachukulie katika viwango vya nadharia sio facts.

Ila story hizi kwa watu wasioimara zinaibua mashaka makubwa juu ya imani yao kwa neno la Mungu. na zao la mashaka ni uasi kwa mamlaka ya uungu na maneno yake.

nakumbuka hata Paulo alikuwa anayajua haya mafundisho hasa ya kigiriki na kuna sehemu anaquote baadhi ya mambo wanayoamini ili awaaminishe watu kwa Ukweli wa Mungu.
Lakini mkuu tunapojifunza mambo haya mazuri na ya kufikirisha ni vizuri kukumbuka pia maonyo ya Paulo kwa kijana Timotheo. 1timotheo 4 ili tuwe wanadini wanaojitambua na sio wanaochukuliwa na kila upepo wa mafundisho na hadithi za kale.
 
View attachment 758692
Mfalme OG anatajwa kwenye vitabu vya dini kuu tatu za mashariki ya kati i.e uislam,ukristo na uyahudi....

Inaelezwa alikuwa ni mfalme aliyetawala eneo la Canaan (palestina/israel ama jordan ya sasa )katika ulimwengu wa kale takriban miaka zaidi ya 6000 iliopita.... Na inaelezwa ndio mwanadamu aliyeishi zaidi kutokana na kuwa na mwili mkubwa sana aliishi zaidi ya miaka 3500!!! Alikuwa ni mfalme aliyeogopeka sana mashariki ya kati maana alikuwa jitu lenye nguvu na mrefu zaidi ya minazi kama anavyoelezwa na Nabii Amos

Amos 2:9
9 Lakini nalimwangamiza Mwamori mbele yao, ambaye urefu wake ulikuwa kama urefu wa mierezi, tena alikuwa na nguvu kama mialoni; lakini naliyaangamiza matunda yake toka juu, na mizizi yake toka chini.

Umaarufu wa Mfalme Ogu wa bashan umekuja baada ya historia kubainisha kwamba ndio binadam pekee aliyesalia kwenye gharika nje ya Nuhu na familia yake!!

JE ALIPONAJE GHARIKA

1. Nadharia ya kwanza inasema alikuwa mrefu sana kiasi kwamba maji ya gharika yalimfikia kiunoni!!!!

2. Nadharia ya pili inasema kuwa alikuwa na ukaribu sana na Nuhu hivyo alipewa kazi ya kuiangalia safina kwa nje kuhakikisha haigongi mwamba au mawe makubwa ambayo yangeweza kuipasua safina na hiyo ndio ikawa pona yake!!! Inadaiwa alijishikiza pembeni ya safina ya nuhu ivo hakubebwa na maji ya gharika. Nadharia hii ina mashiko sababu hata baada ya gharika tunaona safina hii ilitua palepale ilipokuwa kabla ya gharika yaani haikuenda mbali kabisa kitu ambacho hakiwezekana kama nguvu ya mafuriko ikizingatiwa lazima boti ingesukumwa maili kadhaa mbele. Kingine kwa akili ya kawaida tu dunia nzima izame alafu ww pekee uwe kwenye boti hivi wanaokufa watakuacha kweli?? Lazima wangetaka kuivamia boti waingia na ukizingatia yalikuwa majitu marefu yangeweza kuipasua pasua ila kwa uwepo wa OG walishindwa maana wangekutana na kipigo cha mbwa mwizi!!

3. Nadharia ya tatu inasema kipindi cha gharika Ogu alikuwa bado hajazaliwa ila mimba yake ilikuwa imeshatungwa na mama yake aliekuwa mke wa Ham hivyo ham asingeweza kumuacha nyuma ingawa inadaiwa mimba hiyo haikuwa ya Ham bali ya Malaika aliyeitwa shamael!! Hivyo damu ya wanefili ikaweza kuvuka gharika kwa staili hiyo kupitia mtoto aliyezaliwa yaani mflame ogu ama canaan ambae watoto wake kwenye biblia wanatajwa kma majitu makubwa ambayo yaliona wanadamu kma panzi!!! Mfano amori aruba anak hivi gilgal amoni yebusi n.k

4. Nadharia ya tatu inasema alienda milimani hivyo gharika haikumkuta. Biblia iko wazi kuwa maji yalifunika MILIMA mirefu kwa futi 15 kwenda juu ina maana kma hyu OG alikuwa na futi zaidi ya 13 pengine 28 kama inavyoelezwa kwenye biblia ina maana kama alipanda milima mrefu zaidi basi hakuweza kumalizwa na gharika!! Simple logic

Mwanzo 7
20 Maji yakapata nguvu, hata ikafunikwa milima kiasi cha mikono kumi na mitano.

Najua kufikia hapa wengi mtasema ni upotoshaji na kwamba ni stori za kijiweni ila hoja hii inapata mashiko kupitia biblia kuwa mfalme OGU alikuwa ndio mnefili pekee aliyepona gharika.

Kumbukumbu la torati 3:11
11 (Kwani aliyesalia katika mabaki ya Warefai ni Ogu pekee, mfalme wa Bashani; tazama, kitanda chake kilikuwa kitanda cha chuma; kitanda hicho je! Hakiko Raba kwa wana wa Amoni? Urefu wake ulikuwa ni mikono kenda, na upana wake mikono minne, kwa mfano wa mkono wa mtu).

hapa biblia inasema OG NI MREFAI ALIYESALIA tafsiri ya kiingereza inasema LAST OF THE REPHAIMS ikimaanisha ni mnefili pekee aliyesalia baada ya gharika!!!!

BAADA YA GHARIKA
Kupitia vitabu vya dini na kihistoria tunaelezwa kuwa baada ya gharika aliendelea kutawala maeneo ya mashariki ya kati eneo la bashan huko Canaan walipoishi majitu mengine kma wayebusi waamori waamaleki wagilgashite n.k na inasemekana aliishi miaka 3500!! Yaani alikuwepo toka kizazi cha adam hadi kipindi wana wa israel wanarudi canaan !!

MWISHO WAKE
Vitabu vya kidini na historia vinasema mfalme OG au UJ BIN ANAQ kiarabu.... Alipambana na waisraeli waliokuwa wametoka misri kuelekea canaan na katika vita hiyo inaelezwa mfalme Og aliweza kunyanyua mlima mzima!!!! Na kutaka kuutupa kwenye kambi ya waisraeli lakini Inadaiwa kwa bahati mbaya au nzuri mlima ukavunjika katikati hivyo ukamnyima balance akaangukiwa na kipande cha mlima hivo kuumia vibaya na ndipo musa akapata fursa ya kumchoma na mkuki na vita ikawa kma imemalizwa na wanajeshi wake kwa hofu wakakimbia huku na kule na waliobaki wakamalizwa na waisraeli

Kumbukumbu la torati 3
1 Ndipo tukageuka, tukakwea njia ya Bashani; na Ogu, mfalme wa Bashani, akatutokea juu yetu, yeye na watu wake wote, kuja kupigana huko Edrei.
2 BWANA akaniambia, Usimwogope; kwa kuwa nimemtia mkononi mwako, yeye na watu wake wote na nchi yake; nawe utamtenda mfano wa ulivyomtenda Sihoni, mfalme wa Waamori, aliyekuwa akikaa Heshboni.
3 Basi BWANA, Mungu wetu, akamtia mikononi mwetu na Ogu mfalme wa Bashani, na watu wake wote; tukampiga, asisaziwe cho chote.
4 Tukatwaa miji yake yote wakati huo; hapakuwa na mji tusiotwaa kwao miji sitini, nchi yote ya Argobu, ndio ufalme wa Ogu ulio katika Bashani.


NB:kwenye vitabu vya kiyahudi vinadai Mungu wao Israel yaani YHWH alishusha nzige/nyuki wakaula ule mlima kutokea katikati ndio ukagawanyika nusu ila najiuliza nyuki waule mlima ndani ya dakika??? Aseee!!!

Anyway hicho ndio kifo cha mfalme huyu aliyetikisa dunia kwa miaka yake na mpaka leo waisraeli wanatambua ushindi ule kma mkubwa kabisa kwenye historia ya taifa lao!! Hata amos na mfalme daudi huwa wanakikumbuka kisa hiko miaka zaidi ya 600 baadae!!!

Amos 2:9
9 Lakini nalimwangamiza Mwamori mbele yao, ambaye urefu wake ulikuwa kama urefu wa mierezi, tena alikuwa na nguvu kama mialoni; lakini naliyaangamiza matunda yake toka juu, na mizizi yake toka chini.

Zaburi 135:
10 Aliwapiga mataifa mengi,Akawaua wafalme wenye nguvu;
11 Sihoni, mfalme wa Waamori,Na Ogu, mfalme wa Bashani,Na falme zote za Kanaani


USHAHIDI WA KISAYANSI/KIHISTORIA

Rujm-El hiri or Circle of the rephaites
View attachment 758680
Hii inaelezwa ndio ilikuwa kasri au jumba la ibada la mfalme ogu na mpaka leo masalia yapo huko golan heights, syria (linakaliwa kimabavu na israel).... Mawe yaliyobaki kwa sasa ni zaidi ya 40,000 yamepangwa hadi futi 15 kwenda juu je kuna mtu wa miaka ile angeweza kupanga mawe mazito kwa urefu wa zaidi ya futi 50 kwa wakati huo kama hakua JITU la mfano wa OGU.

2. Karne ya 20 mwanzoni watafiti wa kijerumani waligundua makaburi makubwa ya mawe ambayo yanafanana na hesabu zilizopigwa kuhusu urefu wa mfalme ogu kwenye kitabu cha kumbukumbu la torati..... Kaburi hilo lilipatikana eneo la mto Jabbok, Bashan ambako ndipo mfalme ogu alifia. Na kwa hesabu zao kaburi hilo lina umri wa zaidi ya miaka 6000!!! Muda ambao ndio inasemekana og aliishi hapa duniani
View attachment 758687

3. Mfalme ogu pia alifanikiwa kuandika kitabu chenye sura 7 ambacho kilipatikana takriban miaka 1400 kabla ya kristo ila kilifichwa huko maktaba ya vatican kuaniza karne ya 5 ila baadae kilivujishwa je huu ni ushahidi mwingine kuwa JITU hili liliexist kweli na kuutesa ulimwengu!!!

Karibuni wanajukwaa kwa michango
Naomba kuwasilisha

View attachment 758716
P
 
View attachment 758692
Mfalme OG anatajwa kwenye vitabu vya dini kuu tatu za mashariki ya kati i.e uislam,ukristo na uyahudi....

Inaelezwa alikuwa ni mfalme aliyetawala eneo la Canaan (palestina/israel ama jordan ya sasa )katika ulimwengu wa kale takriban miaka zaidi ya 6000 iliopita.... Na inaelezwa ndio mwanadamu aliyeishi zaidi kutokana na kuwa na mwili mkubwa sana aliishi zaidi ya miaka 3500!!! Alikuwa ni mfalme aliyeogopeka sana mashariki ya kati maana alikuwa jitu lenye nguvu na mrefu zaidi ya minazi kama anavyoelezwa na Nabii Amos

Amos 2:9
9 Lakini nalimwangamiza Mwamori mbele yao, ambaye urefu wake ulikuwa kama urefu wa mierezi, tena alikuwa na nguvu kama mialoni; lakini naliyaangamiza matunda yake toka juu, na mizizi yake toka chini.

Umaarufu wa Mfalme Ogu wa bashan umekuja baada ya historia kubainisha kwamba ndio binadam pekee aliyesalia kwenye gharika nje ya Nuhu na familia yake!!

JE ALIPONAJE GHARIKA

1. Nadharia ya kwanza inasema alikuwa mrefu sana kiasi kwamba maji ya gharika yalimfikia kiunoni!!!!

2. Nadharia ya pili inasema kuwa alikuwa na ukaribu sana na Nuhu hivyo alipewa kazi ya kuiangalia safina kwa nje kuhakikisha haigongi mwamba au mawe makubwa ambayo yangeweza kuipasua safina na hiyo ndio ikawa pona yake!!! Inadaiwa alijishikiza pembeni ya safina ya nuhu ivo hakubebwa na maji ya gharika. Nadharia hii ina mashiko sababu hata baada ya gharika tunaona safina hii ilitua palepale ilipokuwa kabla ya gharika yaani haikuenda mbali kabisa kitu ambacho hakiwezekana kama nguvu ya mafuriko ikizingatiwa lazima boti ingesukumwa maili kadhaa mbele. Kingine kwa akili ya kawaida tu dunia nzima izame alafu ww pekee uwe kwenye boti hivi wanaokufa watakuacha kweli?? Lazima wangetaka kuivamia boti waingia na ukizingatia yalikuwa majitu marefu yangeweza kuipasua pasua ila kwa uwepo wa OG walishindwa maana wangekutana na kipigo cha mbwa mwizi!!

3. Nadharia ya tatu inasema kipindi cha gharika Ogu alikuwa bado hajazaliwa ila mimba yake ilikuwa imeshatungwa na mama yake aliekuwa mke wa Ham hivyo ham asingeweza kumuacha nyuma ingawa inadaiwa mimba hiyo haikuwa ya Ham bali ya Malaika aliyeitwa shamael!! Hivyo damu ya wanefili ikaweza kuvuka gharika kwa staili hiyo kupitia mtoto aliyezaliwa yaani mflame ogu ama canaan ambae watoto wake kwenye biblia wanatajwa kma majitu makubwa ambayo yaliona wanadamu kma panzi!!! Mfano amori aruba anak hivi gilgal amoni yebusi n.k

4. Nadharia ya tatu inasema alienda milimani hivyo gharika haikumkuta. Biblia iko wazi kuwa maji yalifunika MILIMA mirefu kwa futi 15 kwenda juu ina maana kma hyu OG alikuwa na futi zaidi ya 13 pengine 28 kama inavyoelezwa kwenye biblia ina maana kama alipanda milima mrefu zaidi basi hakuweza kumalizwa na gharika!! Simple logic

Mwanzo 7
20 Maji yakapata nguvu, hata ikafunikwa milima kiasi cha mikono kumi na mitano.

Najua kufikia hapa wengi mtasema ni upotoshaji na kwamba ni stori za kijiweni ila hoja hii inapata mashiko kupitia biblia kuwa mfalme OGU alikuwa ndio mnefili pekee aliyepona gharika.

Kumbukumbu la torati 3:11
11 (Kwani aliyesalia katika mabaki ya Warefai ni Ogu pekee, mfalme wa Bashani; tazama, kitanda chake kilikuwa kitanda cha chuma; kitanda hicho je! Hakiko Raba kwa wana wa Amoni? Urefu wake ulikuwa ni mikono kenda, na upana wake mikono minne, kwa mfano wa mkono wa mtu).

hapa biblia inasema OG NI MREFAI ALIYESALIA tafsiri ya kiingereza inasema LAST OF THE REPHAIMS ikimaanisha ni mnefili pekee aliyesalia baada ya gharika!!!!

BAADA YA GHARIKA
Kupitia vitabu vya dini na kihistoria tunaelezwa kuwa baada ya gharika aliendelea kutawala maeneo ya mashariki ya kati eneo la bashan huko Canaan walipoishi majitu mengine kma wayebusi waamori waamaleki wagilgashite n.k na inasemekana aliishi miaka 3500!! Yaani alikuwepo toka kizazi cha adam hadi kipindi wana wa israel wanarudi canaan !!

MWISHO WAKE
Vitabu vya kidini na historia vinasema mfalme OG au UJ BIN ANAQ kiarabu.... Alipambana na waisraeli waliokuwa wametoka misri kuelekea canaan na katika vita hiyo inaelezwa mfalme Og aliweza kunyanyua mlima mzima!!!! Na kutaka kuutupa kwenye kambi ya waisraeli lakini Inadaiwa kwa bahati mbaya au nzuri mlima ukavunjika katikati hivyo ukamnyima balance akaangukiwa na kipande cha mlima hivo kuumia vibaya na ndipo musa akapata fursa ya kumchoma na mkuki na vita ikawa kma imemalizwa na wanajeshi wake kwa hofu wakakimbia huku na kule na waliobaki wakamalizwa na waisraeli

Kumbukumbu la torati 3
1 Ndipo tukageuka, tukakwea njia ya Bashani; na Ogu, mfalme wa Bashani, akatutokea juu yetu, yeye na watu wake wote, kuja kupigana huko Edrei.
2 BWANA akaniambia, Usimwogope; kwa kuwa nimemtia mkononi mwako, yeye na watu wake wote na nchi yake; nawe utamtenda mfano wa ulivyomtenda Sihoni, mfalme wa Waamori, aliyekuwa akikaa Heshboni.
3 Basi BWANA, Mungu wetu, akamtia mikononi mwetu na Ogu mfalme wa Bashani, na watu wake wote; tukampiga, asisaziwe cho chote.
4 Tukatwaa miji yake yote wakati huo; hapakuwa na mji tusiotwaa kwao miji sitini, nchi yote ya Argobu, ndio ufalme wa Ogu ulio katika Bashani.


NB:kwenye vitabu vya kiyahudi vinadai Mungu wao Israel yaani YHWH alishusha nzige/nyuki wakaula ule mlima kutokea katikati ndio ukagawanyika nusu ila najiuliza nyuki waule mlima ndani ya dakika??? Aseee!!!

Anyway hicho ndio kifo cha mfalme huyu aliyetikisa dunia kwa miaka yake na mpaka leo waisraeli wanatambua ushindi ule kma mkubwa kabisa kwenye historia ya taifa lao!! Hata amos na mfalme daudi huwa wanakikumbuka kisa hiko miaka zaidi ya 600 baadae!!!

Amos 2:9
9 Lakini nalimwangamiza Mwamori mbele yao, ambaye urefu wake ulikuwa kama urefu wa mierezi, tena alikuwa na nguvu kama mialoni; lakini naliyaangamiza matunda yake toka juu, na mizizi yake toka chini.

Zaburi 135:
10 Aliwapiga mataifa mengi,Akawaua wafalme wenye nguvu;
11 Sihoni, mfalme wa Waamori,Na Ogu, mfalme wa Bashani,Na falme zote za Kanaani


USHAHIDI WA KISAYANSI/KIHISTORIA

Rujm-El hiri or Circle of the rephaites
View attachment 758680
Hii inaelezwa ndio ilikuwa kasri au jumba la ibada la mfalme ogu na mpaka leo masalia yapo huko golan heights, syria (linakaliwa kimabavu na israel).... Mawe yaliyobaki kwa sasa ni zaidi ya 40,000 yamepangwa hadi futi 15 kwenda juu je kuna mtu wa miaka ile angeweza kupanga mawe mazito kwa urefu wa zaidi ya futi 50 kwa wakati huo kama hakua JITU la mfano wa OGU.

2. Karne ya 20 mwanzoni watafiti wa kijerumani waligundua makaburi makubwa ya mawe ambayo yanafanana na hesabu zilizopigwa kuhusu urefu wa mfalme ogu kwenye kitabu cha kumbukumbu la torati..... Kaburi hilo lilipatikana eneo la mto Jabbok, Bashan ambako ndipo mfalme ogu alifia. Na kwa hesabu zao kaburi hilo lina umri wa zaidi ya miaka 6000!!! Muda ambao ndio inasemekana og aliishi hapa duniani
View attachment 758687

3. Mfalme ogu pia alifanikiwa kuandika kitabu chenye sura 7 ambacho kilipatikana takriban miaka 1400 kabla ya kristo ila kilifichwa huko maktaba ya vatican kuaniza karne ya 5 ila baadae kilivujishwa je huu ni ushahidi mwingine kuwa JITU hili liliexist kweli na kuutesa ulimwengu!!!

Karibuni wanajukwaa kwa michango
Naomba kuwasilisha

View attachment 758716
P
 
View attachment 758692
Mfalme OG anatajwa kwenye vitabu vya dini kuu tatu za mashariki ya kati i.e uislam,ukristo na uyahudi....

Inaelezwa alikuwa ni mfalme aliyetawala eneo la Canaan (palestina/israel ama jordan ya sasa )katika ulimwengu wa kale takriban miaka zaidi ya 6000 iliopita.... Na inaelezwa ndio mwanadamu aliyeishi zaidi kutokana na kuwa na mwili mkubwa sana aliishi zaidi ya miaka 3500!!! Alikuwa ni mfalme aliyeogopeka sana mashariki ya kati maana alikuwa jitu lenye nguvu na mrefu zaidi ya minazi kama anavyoelezwa na Nabii Amos

Amos 2:9
9 Lakini nalimwangamiza Mwamori mbele yao, ambaye urefu wake ulikuwa kama urefu wa mierezi, tena alikuwa na nguvu kama mialoni; lakini naliyaangamiza matunda yake toka juu, na mizizi yake toka chini.

Umaarufu wa Mfalme Ogu wa bashan umekuja baada ya historia kubainisha kwamba ndio binadam pekee aliyesalia kwenye gharika nje ya Nuhu na familia yake!!

JE ALIPONAJE GHARIKA

1. Nadharia ya kwanza inasema alikuwa mrefu sana kiasi kwamba maji ya gharika yalimfikia kiunoni!!!!

2. Nadharia ya pili inasema kuwa alikuwa na ukaribu sana na Nuhu hivyo alipewa kazi ya kuiangalia safina kwa nje kuhakikisha haigongi mwamba au mawe makubwa ambayo yangeweza kuipasua safina na hiyo ndio ikawa pona yake!!! Inadaiwa alijishikiza pembeni ya safina ya nuhu ivo hakubebwa na maji ya gharika. Nadharia hii ina mashiko sababu hata baada ya gharika tunaona safina hii ilitua palepale ilipokuwa kabla ya gharika yaani haikuenda mbali kabisa kitu ambacho hakiwezekana kama nguvu ya mafuriko ikizingatiwa lazima boti ingesukumwa maili kadhaa mbele. Kingine kwa akili ya kawaida tu dunia nzima izame alafu ww pekee uwe kwenye boti hivi wanaokufa watakuacha kweli?? Lazima wangetaka kuivamia boti waingia na ukizingatia yalikuwa majitu marefu yangeweza kuipasua pasua ila kwa uwepo wa OG walishindwa maana wangekutana na kipigo cha mbwa mwizi!!

3. Nadharia ya tatu inasema kipindi cha gharika Ogu alikuwa bado hajazaliwa ila mimba yake ilikuwa imeshatungwa na mama yake aliekuwa mke wa Ham hivyo ham asingeweza kumuacha nyuma ingawa inadaiwa mimba hiyo haikuwa ya Ham bali ya Malaika aliyeitwa shamael!! Hivyo damu ya wanefili ikaweza kuvuka gharika kwa staili hiyo kupitia mtoto aliyezaliwa yaani mflame ogu ama canaan ambae watoto wake kwenye biblia wanatajwa kma majitu makubwa ambayo yaliona wanadamu kma panzi!!! Mfano amori aruba anak hivi gilgal amoni yebusi n.k

4. Nadharia ya tatu inasema alienda milimani hivyo gharika haikumkuta. Biblia iko wazi kuwa maji yalifunika MILIMA mirefu kwa futi 15 kwenda juu ina maana kma hyu OG alikuwa na futi zaidi ya 13 pengine 28 kama inavyoelezwa kwenye biblia ina maana kama alipanda milima mrefu zaidi basi hakuweza kumalizwa na gharika!! Simple logic

Mwanzo 7
20 Maji yakapata nguvu, hata ikafunikwa milima kiasi cha mikono kumi na mitano.

Najua kufikia hapa wengi mtasema ni upotoshaji na kwamba ni stori za kijiweni ila hoja hii inapata mashiko kupitia biblia kuwa mfalme OGU alikuwa ndio mnefili pekee aliyepona gharika.

Kumbukumbu la torati 3:11
11 (Kwani aliyesalia katika mabaki ya Warefai ni Ogu pekee, mfalme wa Bashani; tazama, kitanda chake kilikuwa kitanda cha chuma; kitanda hicho je! Hakiko Raba kwa wana wa Amoni? Urefu wake ulikuwa ni mikono kenda, na upana wake mikono minne, kwa mfano wa mkono wa mtu).

hapa biblia inasema OG NI MREFAI ALIYESALIA tafsiri ya kiingereza inasema LAST OF THE REPHAIMS ikimaanisha ni mnefili pekee aliyesalia baada ya gharika!!!!

BAADA YA GHARIKA
Kupitia vitabu vya dini na kihistoria tunaelezwa kuwa baada ya gharika aliendelea kutawala maeneo ya mashariki ya kati eneo la bashan huko Canaan walipoishi majitu mengine kma wayebusi waamori waamaleki wagilgashite n.k na inasemekana aliishi miaka 3500!! Yaani alikuwepo toka kizazi cha adam hadi kipindi wana wa israel wanarudi canaan !!

MWISHO WAKE
Vitabu vya kidini na historia vinasema mfalme OG au UJ BIN ANAQ kiarabu.... Alipambana na waisraeli waliokuwa wametoka misri kuelekea canaan na katika vita hiyo inaelezwa mfalme Og aliweza kunyanyua mlima mzima!!!! Na kutaka kuutupa kwenye kambi ya waisraeli lakini Inadaiwa kwa bahati mbaya au nzuri mlima ukavunjika katikati hivyo ukamnyima balance akaangukiwa na kipande cha mlima hivo kuumia vibaya na ndipo musa akapata fursa ya kumchoma na mkuki na vita ikawa kma imemalizwa na wanajeshi wake kwa hofu wakakimbia huku na kule na waliobaki wakamalizwa na waisraeli

Kumbukumbu la torati 3
1 Ndipo tukageuka, tukakwea njia ya Bashani; na Ogu, mfalme wa Bashani, akatutokea juu yetu, yeye na watu wake wote, kuja kupigana huko Edrei.
2 BWANA akaniambia, Usimwogope; kwa kuwa nimemtia mkononi mwako, yeye na watu wake wote na nchi yake; nawe utamtenda mfano wa ulivyomtenda Sihoni, mfalme wa Waamori, aliyekuwa akikaa Heshboni.
3 Basi BWANA, Mungu wetu, akamtia mikononi mwetu na Ogu mfalme wa Bashani, na watu wake wote; tukampiga, asisaziwe cho chote.
4 Tukatwaa miji yake yote wakati huo; hapakuwa na mji tusiotwaa kwao miji sitini, nchi yote ya Argobu, ndio ufalme wa Ogu ulio katika Bashani.


NB:kwenye vitabu vya kiyahudi vinadai Mungu wao Israel yaani YHWH alishusha nzige/nyuki wakaula ule mlima kutokea katikati ndio ukagawanyika nusu ila najiuliza nyuki waule mlima ndani ya dakika??? Aseee!!!

Anyway hicho ndio kifo cha mfalme huyu aliyetikisa dunia kwa miaka yake na mpaka leo waisraeli wanatambua ushindi ule kma mkubwa kabisa kwenye historia ya taifa lao!! Hata amos na mfalme daudi huwa wanakikumbuka kisa hiko miaka zaidi ya 600 baadae!!!

Amos 2:9
9 Lakini nalimwangamiza Mwamori mbele yao, ambaye urefu wake ulikuwa kama urefu wa mierezi, tena alikuwa na nguvu kama mialoni; lakini naliyaangamiza matunda yake toka juu, na mizizi yake toka chini.

Zaburi 135:
10 Aliwapiga mataifa mengi,Akawaua wafalme wenye nguvu;
11 Sihoni, mfalme wa Waamori,Na Ogu, mfalme wa Bashani,Na falme zote za Kanaani


USHAHIDI WA KISAYANSI/KIHISTORIA

Rujm-El hiri or Circle of the rephaites
View attachment 758680
Hii inaelezwa ndio ilikuwa kasri au jumba la ibada la mfalme ogu na mpaka leo masalia yapo huko golan heights, syria (linakaliwa kimabavu na israel).... Mawe yaliyobaki kwa sasa ni zaidi ya 40,000 yamepangwa hadi futi 15 kwenda juu je kuna mtu wa miaka ile angeweza kupanga mawe mazito kwa urefu wa zaidi ya futi 50 kwa wakati huo kama hakua JITU la mfano wa OGU.

2. Karne ya 20 mwanzoni watafiti wa kijerumani waligundua makaburi makubwa ya mawe ambayo yanafanana na hesabu zilizopigwa kuhusu urefu wa mfalme ogu kwenye kitabu cha kumbukumbu la torati..... Kaburi hilo lilipatikana eneo la mto Jabbok, Bashan ambako ndipo mfalme ogu alifia. Na kwa hesabu zao kaburi hilo lina umri wa zaidi ya miaka 6000!!! Muda ambao ndio inasemekana og aliishi hapa duniani
View attachment 758687

3. Mfalme ogu pia alifanikiwa kuandika kitabu chenye sura 7 ambacho kilipatikana takriban miaka 1400 kabla ya kristo ila kilifichwa huko maktaba ya vatican kuaniza karne ya 5 ila baadae kilivujishwa je huu ni ushahidi mwingine kuwa JITU hili liliexist kweli na kuutesa ulimwengu!!!

Karibuni wanajukwaa kwa michango
Naomba kuwasilisha

View attachment 758716
P
 
nakupata mkuu.
asante kwa mistari. tatizo ni utata wa maandishi yaliyomo na uhalali kama kweli hivyo ndivyo halisi?

mfano.
ikiwa kikaibuka kitabu kinasema kuna watu walipona kwenye gharika ya nuhu.
Lkni hadithi za vitabu hivyo zikapingana moja kwa moja na Kauli ya Mungu Mwanzo kuwa hakupona mtu.
Pia Yesu naye akasema yale ambayo yalisemwa na Mungu ktk mwanzo akisisitiza hakuna mtu wa nje ya safina aliyetoroka.
huu mgogoro tunautatuaje hapo mkuu.
Malcom Lumumba

Pia tunajiuliza, mwanadamu anaweza kuficha kitu ambacho Mungu anataka kiwe wazi?(neno lake).
Je hao vatican waliovipata kwa nini wasivisambaze dunia nzima maana watakuwa wamefanya kazi ya Mungu kisambaza neno lake. maana kauli kuwa kuna vitabu vya ajabu sana, vyenye siri nyingi vimefichwa mahala watu wasijue nimeisikia kitambo lkn kauli hizo zinachanganya kwa sababu Ikiwa ni Vya Mungu. Huyo aliyevificha atakuwa na uwezo zaidi ya Mungu mwenye hivyo vitabu.

najaribu kutafakari kwa nia njema mkuu.
1. Ila mkuu biblia iliandikwa kwa context ya ajabu kabisa ukisoma Yuda anasema ENOCH ni mtu wa saba baada ya ADAM ikimaanisha Cain hakuhesabiwa wala watoto wengine wa Adam hawakuhesabiwa ila mtu akisoma tu kwa juu juu hawezi kuona kma kuna mkanganyiko kwenye biblia kuwa kivp Enock ni mtu wa saba ilihali kimahesabu ni mtu wa 12???

Hivyo hivyo hata Biblia inaweza kuwa haikumtambua Og kama MTU hivyo inawezekana alikuwa classified kama mnyama na labda alikuwa mmoja wa wanyama wawili wawili walioingizwa kwenye Safina ya Nuhu if at all nadharia ile ya pili kuwa alikuwa anamsaidia Nuhu kujenga na kuiongoza safina majini itakuwa applied hapa

Je kma definition ya biblia kwa MTU ni hii kivp basi Ogu atatambulika kma mtu if at all watoto wengine wa adam akiwemo cain hawakutambulika kma WATU??
 
Hivi kwanni mods mnatumia muda mrefu kumoderate thread za JF intelligence ilihali majukwaa mengine kma MMU watu wanaweka mada tu bila kuwa moderated tena mada za ajabu kabisa zikijadili vibamia na makalio!!!! Seriously hii inakatisha sana tamaa kufungua nyuzi humu na cjui kwanni malalamiko yetu hamfanyii kazi au kuna watu flani ndio wanaskilizwa tu humu wengine sisi commoners tunapotezewa tu

Maxence Melo Rider Reserved Innovator
it is very true..mimi kuna mada niliweka humu naona ikatumia muda mrefu kua moderated, nikaitoa nikaweka kwingine
 
Screenshot_2018-05-01-13-21-01.png
 
.
huu mgogoro tunautatuaje hapo mkuu.
Malcom Lumumba

Pia tunajiuliza, mwanadamu anaweza kuficha kitu ambacho Mungu anataka kiwe wazi?(neno lake).
Je hao vatican waliovipata kwa nini wasivisambaze dunia nzima maana watakuwa wamefanya kazi ya Mungu kisambaza neno lake. maana kauli kuwa kuna vitabu vya ajabu sana, vyenye siri nyingi vimefichwa mahala watu wasijue nimeisikia kitambo lkn kauli hizo zinachanganya kwa sababu Ikiwa ni Vya Mungu. Huyo aliyevificha atakuwa na uwezo zaidi ya Mungu mwenye hivyo vitabu.

najaribu kutafakari kwa nia njema mkuu.
Nasubiri pia maoni ya Malcom Lumumba kuhusu hii hoja yako nzito
 
alikua na utofauti gani na goliath?
Goliath hakuwa na jipya sana zaidi ya ukubwa wa mwili tu ambao hata kaka zake wale 4 walikuwa na ukubwa sawa na wake tu...... Yote kwa yote wote ni uzao wa kinefili hivyo goliath ni kama kitukuu cha Huyu OG

Ila kwa kuwalinganisha huyu mfalme ogu amemzidi mwili na maarifa maana aliweza kuacha nyaraka ila goliath hakuacha maandiko yeyote yale

Pili mfalme Ogu aliweza kusimamisha majiji 60 na kuyatawala kwa kipindi kirefu hii inaelezea pia alikuwa ni kiongozi haswaa maana kutawala miji yote hyo bila kupinduliwa wala vita za ajabu ajabu basi aliweza kuwadhibiti tofauti na goliath sikuoma kokote alikoonyeshwa kuwa ni kiongozi mzuri

Tatu ogu anasifika kwa ushujaa wake wa kupona kwenye gharika kitu ambacho kwa akili ya kawaida hakiwezekani wengine wote wafe ww upone ila goliath sikuona kwenye simulizi yeyote alifanya mambo ya kutisha ila alikuwa maarufu sababu ya size tu wala hakuna jipya

Hizo ni baadhi ya tofauti nikiwalinganisha ila huyu mfalme og inaoneokana alikuwa tishio zaidi dunia nzima ndio maana kuna mistari zaidi ya 20 ya manabii tofauti inazungumzia ushindi wa waisraeli dhidi ya OG na wanakumbuka kisa kile hadi leo na kipo kwenye vitabu vyao vya kiyahudi!! Tofauti na goliath sioni kokote akitajwa tajwa sana na manabii wa baadae
 
Goliath hakuwa na jipya sana zaidi ya ukubwa wa mwili tu ambao hata kaka zake wale 4 walikuwa na ukubwa sawa na wake tu...... Yote kwa yote wote ni uzao wa kinefili hivyo goliath ni kama kitukuu cha Huyu OG

Ila kwa kuwalinganisha huyu mfalme ogu amemzidi mwili na maarifa maana aliweza kuacha nyaraka ila goliath hakuacha maandiko yeyote yale

Pili mfalme Ogu aliweza kusimamisha majiji 60 na kuyatawala kwa kipindi kirefu hii inaelezea pia alikuwa ni kiongozi haswaa maana kutawala miji yote hyo bila kupinduliwa wala vita za ajabu ajabu basi aliweza kuwadhibiti tofauti na goliath sikuoma kokote alikoonyeshwa kuwa ni kiongozi mzuri

Tatu ogu anasifika kwa ushujaa wake wa kupona kwenye gharika kitu ambacho kwa akili ya kawaida hakiwezekani wengine wote wafe ww upone ila goliath sikuona kwenye simulizi yeyote alifanya mambo ya kutisha ila alikuwa maarufu sababu ya size tu wala hakuna jipya

Hizo ni baadhi ya tofauti nikiwalinganisha ila huyu mfalme og inaoneokana alikuwa tishio zaidi dunia nzima ndio maana kuna mistari zaidi ya 20 ya manabii tofauti inazungumzia ushindi wa waisraeli dhidi ya OG na wanakumbuka kisa kile hadi leo na kipo kwenye vitabu vyao vya kiyahudi!! Tofauti na goliath sioni kokote akitajwa tajwa sana na manabii wa baadae
dah aise
basi watakua walikua na maumbo makubwa sana najaribu ku imagine
 
1. Ila mkuu biblia iliandikwa kwa context ya ajabu kabisa ukisoma Yuda anasema ENOCH ni mtu wa saba baada ya ADAM ikimaanisha Cain hakuhesabiwa wala watoto wengine wa Adam hawakuhesabiwa ila mtu akisoma tu kwa juu juu hawezi kuona kma kuna mkanganyiko kwenye biblia kuwa kivp Enock ni mtu wa saba ilihali kimahesabu ni mtu wa 12???

Hivyo hivyo hata Biblia inaweza kuwa haikumtambua Og kama MTU hivyo inawezekana alikuwa classified kama mnyama na labda alikuwa mmoja wa wanyama wawili wawili walioingizwa kwenye Safina ya Nuhu if at all nadharia ile ya pili kuwa alikuwa anamsaidia Nuhu kujenga na kuiongoza safina majini itakuwa applied hapa

Je kma definition ya biblia kwa MTU ni hii kivp basi Ogu atatambulika kma mtu if at all watoto wengine wa adam akiwemo cain hawakutambulika kma WATU??
nakupata mkuu, inahitaji tafakari ya neno na kuomba Mungu atusaidie.
Mfano Ukisoma 1Nyakati 1:1 inaonyesha kuwa HENOKO ni mtu wa saba. tunaweza kusema Yuda kusema mtu wa saba aliitolea hapa.
"1/Adam, na 2/ Seth, na 3/ Enosh; na 4/ Kenani na 5/ Mahalaleli, na 6/ Yaredi na 7/HENOKO.
ukweli hadi kufikia henoko kulikuwa na maelfu ya watu tayari wameshazaliwa.
amesema ni mtu wa saba kutoka adam, hajasema mtu wa saba kuzaliwa tangu adam. Yawezekana alimaanisha kizazi cha saba "seventh generation''.

baadhi ya commentators wanasema hivyo.

((((((((Je kma definition ya biblia kwa MTU ni hii kivp basi Ogu atatambulika kma mtu if at all watoto wengine wa adam akiwemo cain hawakutambulika kma WATU??)))))) sijaelewa hapa kiongozi.
 
Fikiria linakugegeda itakuwaje na mty mwenyewe umezoea kibamia[emoji125][emoji125][emoji125][emoji3][emoji3][emoji3]
Dushe litakuwa linagonga kwenye vipaja kama chelewa![emoji2] [emoji2] [emoji2]
 
Back
Top Bottom