Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mh........
Endelea kidogo basi.
Utajiri wake ulikua ktk mambo gani. Vito vya thamani fedha au nini hasa...
kama kwa wanawake sawa,ila katika world record mansa kankan mussa wa mali ndio mwanadam aliyewahi kutokea duniani kuwa tajiri sana kuliko wote na hakuna mpaka sasa aliyewahi kuvunja record yake.google mkuu
Zamani hata watoto na wake walihesabika kuwa "mali" au utajiri,kwa hiyo kama alikuwa na Migoma halali 300,uongeze na michepuko 700,+watoto rundo!! Kweli alikuwa tajiri,ila ki siku hizi angeonekana Lofa tu.
Hapana huyo hamfikii Solomon ingia mtandaoni uone
dini na sayansi/history are two different things,ya mungu mpe mungu na ya kaisar mpe kaisar.katika world book of record ni mansa mussa na katika dini ni solomon
Aliitawala kati ya mwaka 1312-1337 na utajiri wake ulikadiriwa kufikia USD billion 400
kwa idadi ya wanawake hao si mpaka sasa bado uzao wake upo hai? Tuwatambue ni akina nan?
kama kwa wanawake sawa,ila katika world record mansa kankan mussa wa mali ndio mwanadam aliyewahi kutokea duniani kuwa tajiri sana kuliko wote na hakuna mpaka sasa aliyewahi kuvunja record yake.google mkuu