Mfalme Suleiman (970-931BCE) ndie tajiri zaidi kuwahi kutokea duniani

Mfalme Suleiman (970-931BCE) ndie tajiri zaidi kuwahi kutokea duniani

Kama angekua na hela angekuwa na empire na si kingdom ndogo kama kibaha,


walikuwepo kina genghis khan;cyrus,hammurabi,nebkednezar ndo walikua na nguvu na empire kubwakubwa
 
Historia inasema msafara wake uliwahi kukanyaga Tanzania(mount Kilimanjaro) kuchukua dhahabu bcoz nyakati hizo madini mengi yalikua ya kuzoa tu, na isitoshe yeye alitumia mpaka majini kuchimba madini.
 
Na alikua mzee wa totozi balaa...

Alikua na wanawake wa kihalali 300 na vimada 700, hata "ukiwashugulikia" kila mmoja kwa siku hauwamalizi ndani ya mwaka mmoja
Nasikia hata hawa wahabeshi wa somalia, watusi wa ruanda na wa iraq wa Tanzania ni mbegu yake huyo jamaa baada ya kumgaragaza malkia wa ethiopia ( QUEEN OF SHEBA) alivyompelekea kiasi kikubwa cha dhahabu kutoka afrika kwa ajili ya kupamba hekalu alilokamilisha.
 
Issa ramadhani baada ya uchaguzi nilitegemea ungetimiza nadhiri ya kufa, hivyo lolote usemalo nachukulia unatania tuu
 
Utajiri wake aliweza kuongea mpaka na wadudu(insects) jee hao unao wataja walifanya hivyo?
kisayansi mdudu hana vocal ya kuweza kuongea,hi story ni sawa na yule jamaa alikua kapanda punda kisha eti akaona malaika kaziba njia,punda akagoma kwenda,jamaa akampiga mjeredi mpaka punda akauliza anapigwa kwa kosa gani,punda hawezi ongea kamwe,
 
kisayansi mdudu hana vocal ya kuweza kuongea,hi story ni sawa na yule jamaa alikua kapanda punda kisha eti akaona malaika kaziba njia,punda akagoma kwenda,jamaa akampiga mjeredi mpaka punda akauliza anapigwa kwa kosa gani,punda hawezi ongea kamwe,
We unaongelea sayansi ipi?
Ikiwa paka (cat)huko Tanga anaongea vipi miujiza kama hii isiwatokee manabii?
Well, hivi unajua ata kuku anaongea?but wewe huwezi kumuelewa anaongea nn.
 
Alikua na wanawake wa kihalali 300 na vimada 700, hata "ukiwashugulikia" kila mmoja kwa siku hauwamalizi ndani ya mwaka mmoja
Mkuu unaweza kuwamaliza, kwa siku unapiga hat trick totoz kila mmoja na bao lake
 
aliwezaje kuwahudumia kimwili wake 700 na bado ma concubine.
 
Hadithi ni hadith tu, tena bora za mababu uwongo wao una kiasi, ila hao wazee wa dini uwongo umepitiliza mkuu,

Oh Suleiman alikuwa na hekima, aliongea na majini, alikuwa tajiri sana, alikuwa na wake 700

Wote huu uwongo mtamu,
 
Hadithi ni hadith tu, tena bora za mababu uwongo wao una kiasi, ila hao wazee wa dini uwongo umepitiliza mkuu,

Oh Suleiman alikuwa na hekima, aliongea na majini, alikuwa tajiri sana, alikuwa na wake 700

Wote huu uwongo mtamu,

Ukweli wako ni upo? Huwezi kusema uongo wakat we hujathibitisha huo ukweli
 
Ndiye inasemekana aliasisi Iluminati ama iluminati ilikuwa originated katika ukoo wake, proof ya hiyo ni Solomon Seals, hizi ndo logo za Iluminati wanazotumia. Hapo ndo utagundua historia njema ya bangi na kwanini waliamua kuiharamisha bangi kwa manufaaa ya nani?
Humo utawakuta Sygenta, Bill Gates na project zao za GMO's. Godamn!!! My Dunia.
 
Back
Top Bottom