Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nasikia hata hawa wahabeshi wa somalia, watusi wa ruanda na wa iraq wa Tanzania ni mbegu yake huyo jamaa baada ya kumgaragaza malkia wa ethiopia ( QUEEN OF SHEBA) alivyompelekea kiasi kikubwa cha dhahabu kutoka afrika kwa ajili ya kupamba hekalu alilokamilisha.Na alikua mzee wa totozi balaa...
Alikua na wanawake wa kihalali 300 na vimada 700, hata "ukiwashugulikia" kila mmoja kwa siku hauwamalizi ndani ya mwaka mmoja
Utajiri wake aliweza kuongea mpaka na wadudu(insects) jee hao unao wataja walifanya hivyo?Kama angekua na hela angekuwa na empire na si kingdom ndogo kama kibaha,
walikuwepo kina genghis khan;cyrus,hammurabi,nebkednezar ndo walikua na nguvu na empire kubwakubwa
Utajiri wake aliweza kuongea mpaka na wadudu(insects) jee hao unao wataja walifanya hivyo?
kisayansi mdudu hana vocal ya kuweza kuongea,hi story ni sawa na yule jamaa alikua kapanda punda kisha eti akaona malaika kaziba njia,punda akagoma kwenda,jamaa akampiga mjeredi mpaka punda akauliza anapigwa kwa kosa gani,punda hawezi ongea kamwe,Utajiri wake aliweza kuongea mpaka na wadudu(insects) jee hao unao wataja walifanya hivyo?
... Utamu kolea.
We unaongelea sayansi ipi?kisayansi mdudu hana vocal ya kuweza kuongea,hi story ni sawa na yule jamaa alikua kapanda punda kisha eti akaona malaika kaziba njia,punda akagoma kwenda,jamaa akampiga mjeredi mpaka punda akauliza anapigwa kwa kosa gani,punda hawezi ongea kamwe,
Mkuu unaweza kuwamaliza, kwa siku unapiga hat trick totoz kila mmoja na bao lakeAlikua na wanawake wa kihalali 300 na vimada 700, hata "ukiwashugulikia" kila mmoja kwa siku hauwamalizi ndani ya mwaka mmoja
aliwezaje kuwahudumia kimwili wake 700 na bado ma concubine.
Ha haha mkuu ukifanya hizo lazima korodani ziingie ndani au kusinyaaMkuu unaweza kuwamaliza, kwa siku unapiga hat trick totoz kila mmoja na bao lake
Hadithi ni hadith tu, tena bora za mababu uwongo wao una kiasi, ila hao wazee wa dini uwongo umepitiliza mkuu,
Oh Suleiman alikuwa na hekima, aliongea na majini, alikuwa tajiri sana, alikuwa na wake 700
Wote huu uwongo mtamu,
Ukweli wako ni upo? Huwezi kusema uongo wakat we hujathibitisha huo ukweli
in religious point of view ninakubaliana na wewe bt in a scientific point of view huyo ni wakufirika na hayupo.
kilikua kibanda sio hekalu,kasome bible uone ukubwa hilo hekalu utashangaaSiyo myth,Newton alipata formula ya pai kutokana na hekalu lililojengwa na huyu mfalme
Si hadithi za mababu, bali ni vitabu vya dini mkuu(Qur'an)