Mfalme wa Jordan amwambia Trump yuko tayari kuchukua Wakimbizi 2000 wa Palestine, Tanzania tuchangamkie fursa hiyo Ili kukuza Urafiki na Marekani!

Sasa si wafanye mkuu tuone? Kama Putin kanywea haswa
Kanywea vipi wakati leo gas ulaya bei imepanda maradufu na putin rafiki yake ni trump kwa sababu anamcontrol ndio maana nato na european union hawamtaki trumo anaharibu mipango yao,
Hakuna msaada wowote wa maana mzungu atakupa usiokuwa na high cost of return, ndio maana nchi kama libya wazungu waliona ni adui na atawaamsha waafrika wengine
 
Tanzania tunaweza kukubali offer ya Rais Trump wa Marekani ya kuwahifadhi Wakimbizi wa Palestine

Mwenzetu King Abdullah amekubali kupokea Wakimbizi Watoto 2000 kutoka Palestine

Ahsanteni 🐼
Unawajua Wapalestina wewe? Waarabu wenzao wanawakataa unafikri wajinga? Labda waende Zanzibar huku Tanganyika hatuwataki kabisa.
 
Tanzania tuwachukue Wapalestina angalu 500,000 kwa kuanzia na tuwape uraia. watatuinua ktk sekta ya biashara.
 
Hakuna Mpalestina atayekubali kuja kuishi bongo kwanini asiwapeleke US kule hakuna wa kukataa kwenda.
 
Tanzania tunaweza kukubali offer ya Rais Trump wa Marekani ya kuwahifadhi Wakimbizi wa Palestine

Mwenzetu King Abdullah amekubali kupokea Wakimbizi Watoto 2000 kutoka Palestine

Ahsanteni 🐼
Acha wachukuane wao Kwa wao. Wale viumbe na kazi ngumu kuishi nao!! Ni hatari sana
 
Tanazania wachukue wapalestina ila wa kike tu wenye umri kati ya 18yrs na 25. Waje wawamwage uswahilini.

Tumechoka kunusa uvundo we weaving na mawig. At least na sisi tufeel ladha halisi ya nywele ya singa.
Ha ha haa. Una akili nzuri sana
 
Kwaiyo hapo Marekani anaenda kuwaomba Wapalestina wahame au nayeye anaenda kupiga mabomu?
Wapalestina wengi wanataka kuondoka Gaza kutokana na mateao wanayoyapitia, lakini Hamas wanawazuia, na ukionekana unakimbia, wanakuua, maana wanawatumia hao kama shield.

Hii offer wapalestina wengi watafurahia maana pale Gaza wanaishi kama mateka wa magaidi ya Hamas.

Lakini kuwaleta wapalestina nchini, labda kufanyike uchunguzi wa hali ya juu sana, mtu kwa mtu, familia kwa familia. Wale wenye itikadi za kuamini kuwa ili ufike aheri ni lazima uue au ulajilipue uue watu wa imani nyingine, hao kamwe usiwakaribishe, utajuta. Kwao wakati wote wanatafuta watu wa kuwaua ili waipate ahera waliyoahidiwa.
 
Mzee ilo swala la kisema wapalestina wengi wako tayari kutoka Gaza liondoe, pale walipo wanapigania uhuru wa Taifa lao kama walivyokapambana wakina Kinjeketile dhidi ya Wajerumani! Wanapambania haki ya Taifa!

Usichokijua ni kuwa hakuna watu wanaua wenzao kama wazayuni, nakukumbusha kuwa ata Marehemu malkia Elizabeth 2 hakuwahi kukanyaga ardhi ya Israel ata siku moja, unajua kwanini? Aliamini kuwa myahudi yeyote ata awe mtoto mdogo eidha ni gaidi au ana chembechembe za ugaidi cos anajua miaka ya 1920 kuelekea 1945 jinsi wayahudi wakivyawaua Waingereza kwa kujitoa muhanga ata wanadiplomasia wa uingereza waliaua na wayahudi.
 
Mbona Putin hamvimbii Trump?
 
Hakika ww ni kubwa jinga
 
Wale jamaa wanazaana sana, ukiwachukua buku 3 baada ya miaka 50 washafika million kumi - wanaanza kudai katiba iwatambue.
 
Kwaiyo hapo Marekani anaenda kuwaomba Wapalestina wahame au nayeye anaenda kupiga mabomu?
Kwa mujibu wake anasema anataka kuinunua palestina na mchochezi wa hili ni bwana netanyau… ndomana uachiaji wa mateka Hamas wamesitisha baada ya iyo kauli.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…