Mfalme wa Morocco - Kweli alistahili heshima ya Rais wetu Muadilifu Magufuli?

Mkuu, usifikiri kila mtu anajua kuwa hiyo ni picha ya jani. Mwingine kavutiwa tu na mpangilio wa hizo rangi. Yawezekana pia hajawahi kuona hiyo bangi inakuwaje
Naona unamtetea mwenzio
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Mkuu, usifikiri kila mtu anajua kuwa hiyo ni picha ya jani. Mwingine kavutiwa tu na mpangilio wa hizo rangi. Yawezekana pia hajawahi kuona hiyo bangi inakuwaje
Mkuu, usifikiri kila mtu anajua kuwa hiyo ni picha ya jani. Mwingine kavutiwa tu na mpangilio wa hizo rangi. Yawezekana pia hajawahi kuona hiyo bangi inakuwaje
Haha umeamua kuongea chohote ili mradi pesa yako iiingie
 
Haa! Nakumbuka kikwete naye alipiga picha na lijamaa limoja lenye jicho moja na tattoo za kutosha tuliambiwa linatoka familia ya mfalme gani ya mfalme
Mullah Omar wa afghanistani?

huyu naye alikuwa na jicho moja
 
Msaada kwa mtu mwenye whatsap's namba ya JPM anitumie Tafadhali......

Hii picha inahitaji mkulu aione
 
Acha ushamba nduguu yangu...mfalume gani huyo awe hana walinzi....hapa nikudharau nchi nyingine hata kama hupendi watu wajengewe miskiti kwa ibada na wew mtumishi wa shetani basi acha kashfa...nyau wew
 
Waislam wasio wanafiki hawatamuunga mkono kwenye ujenzi wa msikiti au kuswali huko kwani watachukulia ni haram...ila wale wa ubwabwa watampongeza sana.

Tusubiri tuone...huyu jamaa si wa mchezomchezo.
 
Acha ushamba nduguu yangu...mfalume gani huyo awe hana walinzi....hapa nikudharau nchi nyingine hata kama hupendi watu wajengewe miskiti kwa ibada na wew mtumishi wa shetani basi acha kashfa...nyau wew
 
Hapana umeenda mbali, jamaa ameuliza tu huyu ni wa kujenga Msikiti halal?
 
Acha ushamba nduguu yangu...mfalume gani huyo awe hana walinzi....hapa nikudharau nchi nyingine hata kama hupendi watu wajengewe miskiti kwa ibada na wew mtumishi wa shetani basi acha kashfa...nyau wew
 
Hapo nlikuwa namjibu dada lizabon alipoleta picha za donald trump wakat hazina uhusiano
Swal lako ni la msingi sana sijui kama litajibiwa humu ndani. Anyway... BANIANI MBAYA KIATU CHAKE DAWA.

Hapana umeenda mbali, jamaa ameuliza tu huyu ni wa kujenga Msikiti halal?
 
Ungenyamaza tu. Hujui na umekariri.jamaa ndo alivyo na hizo ni picha zake halisi. Unadhan kama ingekuwa ni photoshop aliyefanya hivyo anashindwa kulinganisha kichwa na mwili?hiyo ni picha halisi.mfalme ni msela sana


Photoshop..kichwa kikubwa kuliko mwili
 
Hapo nlikuwa namjibu dada lizabon alipoleta picha za donald trump wakat hazina uhusiano
Swal lako ni la msingi sana sijui kama litajibiwa humu ndani. Anyway... BANIANI MBAYA KIATU CHAKE DAWA.
Hiz ekselensiii, Honorable Mohammed 6th

Mheshimiwa...Mtukufuu...Mfalme wa 6 wa Morocco.....[emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…