Mfalme wa Morocco - Kweli alistahili heshima ya Rais wetu Muadilifu Magufuli?

Upuuzi mtupu ,OLE WAKE ALIYETENGENEZA HIYO PHOTOSHOP,atajuta kuzaliwa
 
Sio photo shop hiyo
 
lizaboni kakimbia??????????????? alikuja kumtetea ameona picha zaidi zimetumwa yeye na dr simba wameamua kukimbia. elimu elimu elimu. jamaa anapromote matumizi ya bhangi. then anataka awajengee msikiti. huo msikiti is haramu? au baniani mbaya kiatu chake dawa?
 
nimejaribu ku gugo kuhusu huyo mfalme na vacations zake, then siishangai hiyo picha. Ina weza kuwa ya kweli.
 
Sidhani kama adhabu kali zinatolewa kwa watu kama hawa. Tunatumia vibaya vyombo vyetu vya habari.Sijui watu wengine wamatumia vyombo vya habari wakiwa tayari ubongo umeshavurugika?Huyu nadhani ana agenda ya siri iliyomtuma kufanya kitendo cha kipuuzi kama hiki.Afundishwe mipaka yake.
 



mbona yupo hivyohivyo jaribu kumtafuta kwenye mitandaoo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…