Mfalme wa Morocco - Kweli alistahili heshima ya Rais wetu Muadilifu Magufuli?

Picha inatafsiri nyingi vyovyote litakavyotafsiriwa hitimisho litabaki moja......
"uongozi na utawala ni vitu viwili tofauti"
 
Picha nzuri sana, mfalme kapiga pamba za USA BABY. [emoji631] [emoji631] [emoji631]
 
Huyu ndo anasubiriwa kujenga msikiti mkubwa Dar na uwanja wa mpira kule dodoma
 
Jamaa yuko vizuri hakuna haja ya kuwa mnafiki kama viongozi wa Kitanzania wanajifanya watakatifu kazi uzinzi na ufisadi jumapili utawaona makanisani. Sasa jamaa yeye anajichanganya na watu anapiga design zake za nguo na anavuta joint yake taratibu bila kumdhuru MTU yeyote watu hapa mnaanza kulalama.
 
Hivi ukiwa Mfalme, au Papa au Rais huna maisha yako ya kawaida? Hahahaha hapa wengi wetu tunaaamini dini ya mtu inawezakubadiri hata DNA yake!
Acha kumfananisha papa na vitu vya kijinga
 
Acheni kutumikia upuuzi, mfalme jana alikuwa club mercury Zanzibar inayomilikiwa na mjumbe wa baraza la wawakilishi jimbo la Tunguu, Mh Simai Mpakabasi akiwa amevaa fulana inayotukuza "bangi". Picha zipo kwenye cameras, mashahidi wapo, na pia CCTV za Mercury Club zina footage kama bado hamjaenda kuzitoa.

Alikuwa anakunywa "Ndovu" na kutoa tips za $100 kwa wahudumu.

Picha hii ya Bangi ni aibu kwa serikali yetu hasa ikizingatiwa heshima aliyopewa mgeni huyu na taasisi ya Urais pamoja na ahadi alizotoa kwa watanzania. Tuanze kujifunza sasa.

Vinginevyo kama ni Photoshop na uchochezi, nendeni mahakamani, si mna ile Sheria yenu ya mitandao?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…