pumzihaiuzwi
JF-Expert Member
- Mar 27, 2015
- 3,273
- 3,083
South Africa imerudisha taji....Barani Afrika nchi inayoongoza ni Nigeria...
Kumbe unamfahamu halafu unajitoa ufahamu?Hahaha,
Jamaa anapenda kula bata kihuni huni kama si mfalme.
Kuna siku alikuwa anakula bata kwenye boat lake baharini kati ya Hispania na Morocco, wanajeshi wa Hispania wakamfuatilia kutaka kumkamata wakifikiri kwamba ni uuza madawa ya kulevya anataka kuyapitisha kuyapeleka Hispania (Ufukwe huo ni maarufu kwa shughuli hizo). Walipomkaribia akawaambia "Mnanijua mimi ni nani? Mnanijua mimi ni nani?"
Alikuwa amevaa mikofia kofia na miwani yake haonekani vizuri. Alivyovua miwani na kofia wakamjua na kumuomba msamaha. Akampigia simu Mfalme wa Uhispania, mfalme wa Uhispania akamtumia salamu rasmi za kumuomba radhi.
Mi nikasema mfalme mzima anatanua bila hata ya mawasiliano na vyombo vya usalama vya nchi jirani kwamba mfalme atakuwa anga hizi leo? Kama wale wanajeshi wa Uhispania wangesema wafanye uhuni na kuwauilia mbali hawa wafanya biashara ya madawa ya kulevya kwa kuwapiga risasi? Si mfalme angeweza kuuawa?
Nimeangalia video zake jamaa anajichanganya na watu Magufuli anasingiziwa, yaani ni binge la security risk.
Lakini wananchi wake wanampenda sanak wa sababu kaleta mabadiliko angalau katika hilo, baba yake King Hassan alikuwa mtu conservative sana, si mtu wa kujichanganya sana na watu.
Kwa hiyo wa Morocco wanampenda sana.
Ona hapa kama Michael Jackson fulani at his prime
Hapana, simfahamu.Kumbe unamfahamu halafu unajitoa ufahamu?
Hio picha imetengenezwa tena na Mwanfunzi asiyejua vzuri ndio maana unaona hakuna uhusiano kati ya Miguu na eneo la kiwiliwili mpaka kichwani. Itz Photoshop material. Tujifunze kuheshimu viongoz wa mataifa ya wenzetu.
hahahhaahahahaInawezekana kabisa sina akili lakini wewe ni hauna uelewa hata kidogo. GDP ya Morocco ni about $100billion, GDP ya Tanzania ni about $50billion. Upo hapo? Barani Afrika nchi inayoongoza ni Nigeria. Morocco ni ya tano ikitanguliwa na Nigeria, South Africa, Egypt, na Algeria, upo? Morocco imeipita Angola kwa kiasi kidogo sana, baada ya Angola ni Tanzania tukiwa ni wa saba, upo? Tunajitapa kwamba hatuhitaji misaada, mwisho wa siku tunakimbilia misaada ya nchi inayofanana na Angola kiuchumi.
Kuona na kupata maelezo ya ulichokiona ni vitu viwili tofauti. Ufahamu hutokana na kupata maekezo/taarifa ya ulichokiona. Wewe umefamamishwa kuhusu mfalme wa morocco kupitia vyanzo tofauti, hivyo unamfahamu. Nami nimemfahamu japo kidogo baada ya ujio wake nchini. Nikazidi kumfahamu kupitia vyanzo mbalinbali vya habari.Hapana, simfahamu.
Namuona kwenye mitandao tu, hata sijakutana naye.
Wewe unamfahamu?
Ni kweli, ukiichunguza vema utagundua udanganyifu katika tashwira ya picha hiyo.Hio picha imetengenezwa tena na Mwanfunzi asiyejua vzuri ndio maana unaona hakuna uhusiano kati ya Miguu na eneo la kiwiliwili mpaka kichwani. Itz Photoshop material. Tujifunze kuheshimu viongoz wa mataifa ya wenzetu.
Japo utawala huu siupendi lakini picha hii ina kasoro mie mara ya kwanza nilijua hana mguu mmoja.Tuwe wakweli wanduguHio picha imetengenezwa tena na Mwanfunzi asiyejua vzuri ndio maana unaona hakuna uhusiano kati ya Miguu na eneo la kiwiliwili mpaka kichwani. Itz Photoshop material. Tujifunze kuheshimu viongoz wa mataifa ya wenzetu.