Mfalme wa Morocco - Kweli alistahili heshima ya Rais wetu Muadilifu Magufuli?

Mfalme wa Morocco - Kweli alistahili heshima ya Rais wetu Muadilifu Magufuli?

Sasa kwani yeye ana tofauti gani na Wenyeji wake Zanzibar na Tanzania?Acha unyanyapaa mkuu .JF pls tulinde heshima ya Jamii hii. Wachochezi kama Mchambuzi sidhani kama wanastahili kuendelea kuwa wanachama hapa.
Angepiga picha na wanawake wa Rombo ulikogombea ubunge ukapata kura sita ungeweka hii comment yako ya matusi tena kwenye photoshopped pic? Pathetic!
 
Mwenzake wa Thailand

thai-crown-prince-2-0.jpg
 
Sahihisha mkuu hiyo sio ktu ya Meru bali kitu ya Oldonyosambu. We acha tu. Mkuu kaitangaza kikweli kweli hapo. Nadhani mh Msukuma atawasilisha hoja binafsi bunge lijalo kuwa tuifanye zao letu la biashara na sasa tuna soko.
Morocco?
 
Vitu vingine ni kukosa heshima kwa viongozi,

Nini maana ya kutengeneza picha hii?

Dhumuni au lengo ni lipi? Heshima ni jambo la msingi sana katika maisha.
 
Mwenzenu alikuja kutalii Zanzibar nyie mnakimbilia kuomba kujengewa msikiti mambo ndo nyerere alikuwa hapendagi kabisa "ABWAGAYE ZANI, ZANI HUBWAGWA KWAKE"
 
Tamaduni zinatofautiana. Haramu kwako halali kwa wengine... Mfano sie Wakristo tunaopiga pork, wenzetu wa Imani nyingine wanaweza kutuona hatuna maadili wakati sie tunaona poa tu... Pia wenzetu kuoa wake wane wao wanaweza kuona poa tu wakati sie Wakristo tunaona ni uhuni tu uliohalalishwa...
Je kina masaburi walikuwa wahuni?
Maana jp musukuma amesema anaowajua ni 5
 
View attachment 425812

Mfalme akiwa katika starehe zake Zanzibar. Kama Taifa, tunajivunia nini Rais wetu kupokea mgeni wa aina hii? Tukisema hii ni aibu (alama ya bangi kifuani) kwa taasisi ya Rais, tutaitwa wachochezi?

@Ritz,@msemajiukweli,Lizaboni, @nguruvi3,Mag3
Ogopa Mungu kijana.
Mfalme wa Nchi anaweza kuvaa kipuuzi namna hii?
Au unadhani kupewa cheo cha UFALME ni kama balozi wa nyumba 10?

Mnaleta picha za kitoto kutukanisha watu na heshma zao?

Moderator please remove this post.
Au hamisha kwenye Jukwaa la vichekesho please.
 
Mchambuzi,
Wewe shida yako nini? Huyu hakuwa mgeni wako baali wa JPM.Wakti Rais anaomba fedha ya KUWAJENGEA MSIKITI na oUWANJA WA MPIRA mbona mlishangilia?????

Hakuna cha bure hapa na kwa maana hiyo Mfalme naye anastahili kupata malipo kama haya ya kutembelea Zenj na kustareheshwa na watoto wa Kingazija! Mbona hakuna matata kabisa!
Mh aliona makanzu makubwa akajua mfalme ni muislamu mzuri sana akaomba msikiti kumbe mfalme ni mtu wa matanuzi na totoz sana
Chezea zenj wewe
Utamezwa
 
Mtukufu mgeni wake anavaa fulana inayotukuza bangi ikizingatiwa uzito wa ugeni uliowekwa na ikulu na aina ya ahadi zilizotolewa?

Sitashangaa kama MODs watapigiwa simu na kurugenzi ya ikulu au Lumumba kufunga huu Uzi. Hii ni aibu kubwa and such a setback kwa nguvu yote iliyotumika.
Wewe ndiye unatia aibu. Chunguza kwanza hizo picha kabla ya kulalama. Picha zimepigwa eneo moja kwa mavazi totauti na kwa siku moja. Je alikuwa akibadilisha nguo humo humo dukani?

Na huyo ni kiongozi wa nchi je anaweza kukatiza mitaa bila ulinzi? Unakumbuka ulinzi wake Dar ulivyokuwa? Hata kama anapenda totoz kwa wadhifa wake anaweza kujianika hivyo kwa utandawazi wa sasa?

Umedanganywa, umedanganyika na photoshop na wewe unalalama. Lazima ni 1 ya 4 wewe.
 
Wewe ndiye unatia aibu. Chunguza kwanza hizo picha kabla ya kulalama. Picha zimepigwa eneo moja kwa mavazi totauti na kwa siku moja. Je alikuwa akibadilisha nguo humo humo dukani?

Na huyo ni kiongozi wa nchi je anaweza kukatiza mitaa bila ulinzi? Unakumbuka ulinzi wake Dar ulivyokuwa? Hata kama anapenda totoz kwa wadhifa wake anaweza kujianika hivyo kwa utandawazi wa sasa?

Umedanganywa, umedanganyika na photoshop na wewe unalalama. Lazima ni 1 ya 4 wewe.
Hoja yetu ni kwamba hii ni aibu kwa taasisi ya urais, nchi. Hakuna vyama wala itikadi hapa. Otherwise Cyber crime ipo, waende mahakamani tukutane huko. Mfalme aliyepokewa kwa mbwembe ni mtukuzaji bangi, ushahidi upo.
 
Hoja yetu ni kwamba hii ni aibu kwa taasisi ya urais, nchi. Hakuna vyama wala itikadi hapa. Otherwise Cyber crime ipo, waende mahakamani tukutane huko. Mfalme aliyepokewa kwa mbwembe ni mtukuzaji bangi, ushahidi upo.
''USHAHIDI TUNAO'' Hii umenikumbusha ya Lowasa kwamba ni fisadi papa na ushahidi mnao. Badala yake ushahidi hamkuutoa na kwa sasa mnasema ni raisi ya mioyo yenu.
[emoji23] [emoji23] [emoji85] [emoji85] [emoji87] [emoji87]
 
View attachment 425812

Mfalme akiwa katika starehe zake Zanzibar. Kama Taifa, tunajivunia nini Rais wetu kupokea mgeni wa aina hii? Tukisema hii ni aibu (alama ya bangi kifuani) kwa taasisi ya Rais, tutaitwa wachochezi?

@Ritz,@msemajiukweli,Lizaboni, @nguruvi3,Mag3
Hizo converse nimezielewa, kifupi mfalme anajua kutupia vitu vya kijanja
 
Back
Top Bottom