Mfalme wa Morocco - Kweli alistahili heshima ya Rais wetu Muadilifu Magufuli?

Mfalme wa Morocco - Kweli alistahili heshima ya Rais wetu Muadilifu Magufuli?

Ndio maana Putin kapiga marufuku takataka za aina hii. Ni kosa kudhalilisha viongozi Kwa Photoshop Urusi.
 
Tamaduni zinatofautiana. Haramu kwako halali kwa wengine... Mfano sie Wakristo tunaopiga pork, wenzetu wa Imani nyingine wanaweza kutuona hatuna maadili wakati sie tunaona poa tu... Pia wenzetu kuoa wake wane wao wanaweza kuona poa tu wakati sie Wakristo tunaona ni uhuni tu uliohalalishwa...
mkuu unakosea sio wakristo wote wanapiga pork.. wakristo wengine pork ni haramu kubwa
 
FB_IMG_1477715422436.jpg
kama mtoa ahadi yuko hivi,tutaraji lolote?

ila nimefurahishwa na picha ya jani kwenye singilendi yake
IMG-20161029-WA0009.jpg
 
Hayo ni maisha yake binafsi. Usiingize na ahadi alizotoa
 
  • Thanks
Reactions: MC7
tisheti ina picha ya jani gani?naona kama muarobaini au fenethi? may be sitafelii
Mkuu, usifikiri kila mtu anajua kuwa hiyo ni picha ya jani. Mwingine kavutiwa tu na mpangilio wa hizo rangi. Yawezekana pia hajawahi kuona hiyo bangi inakuwaje
 
Back
Top Bottom