Mfalme Zumaridi kama umeshindwa kuongoza kanisa, pisha mchungaji mwingine

Bujibuji Simba Nyamaume

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2009
Posts
76,107
Reaction score
160,001
Duh....
Hapana Mfalme Zumaridi aache visingizio sasa. Kama ameshindwa kuongoza kanisa si aseme tu.

Anashindwaje kuwakaripia wapiga vyombo kwa kuongeza sauti hadi inakuwa kero kwa waumini?

Sisi ndio tunatoa sadaka, lakini hatuoni sadaka zetu zinafanya kazi gani.

Yeye kila siku yuko kwenye makanisa mengine kushuhudia ibada za upako na anaacha kanisa lake likiendeshwa kihuni.
 
Kaka mkubwa unamtafuta nini Btoz!?[emoji23]
 
Mfalme ana mbwembwe sana.. ukickia wakati anatoa neno.. unaweza kuzan huyundio atatufikisha mbinguni..[emoji1787][emoji1787]
 
Sijaelewa huu uzi unamaanisha nini, Mfalme Zumaridi yupo Gerezani karibu mwaka sasa..
 
Kwani kashatoka lupango?
 
Lini mawewahi kuongoza kanisa..kanisa linawenyewe tangu kitambo yeye ni mchungaji kivuli tu.

Na yeye anatetea tumbo lake hapo halipo kupitia sadaka zenu waumini.

#MaendeleoHayanaChama
 
Kwani akipata mwaliko dhambi?
 
Lini mawewahi kuongoza kanisa..kanisa linawenyewe tangu kitambo yeye ni mchungaji kivuli tu.

Na yeye anatetea tumbo lake hapo halipo kupitia sadaka zenu waumini.

#MaendeleoHayanaChama
Basi hicho kivuli chenye kumiliki kanisa kijue wazi, ikifika January hali itakuwa mbaya sana
 
Kwani akipata mwaliko dhambi?
Kila mwaliko lazima aende? Si atume Wainjilisti wakamwakilishe?
Mbona Moses Kulola alikuwa hataki kusafiri kwenda kwenye makanisa mengine? Mfalme Zumaridi anashindwa nini?
Abaki hapa tufaidi naye mgao wa maji na umeme.
Labda atapata suluhisho ili ibada kanisani zinoge
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…