Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa mimi nawezaje kuwaambia kwaya wapunguze sauti ya vyombo?
Kuna kamati za usimamizi lakini ni kama zimelala.
Kamati ya mawasiliano ndio imelala kabisaaaaaa, nasikia ile kwaya nyingine leo imepandisha tena sauti ya muziki wao
Aisee Buji tangulia Central kwa Pilato kwa mahojianoSasa mimi nawezaje kuwaambia kwaya wapunguze sauti ya vyombo?
Kuna kamati za usimamizi lakini ni kama zimelala.
Kamati ya mawasiliano ndio imelala kabisaaaaaa, nasikia ile kwaya nyingine leo imepandisha tena sauti ya muziki wao
Moses Kulola [emoji23][emoji23][emoji23]Kila mwaliko lazima aende? Si atume Wainjilisti wakamwakilishe?
Mbona Moses Kulola alikuwa hataki kusafiri kwenda kwenye makanisa mengine? Mfalme Zumaridi anashindwa nini?
Abaki hapa tufaidi naye mgao wa maji na umeme.
Labda atapata suluhisho ili ibada kanisani zinoge
Hahah haha msukumaMoses Kulola [emoji23][emoji23][emoji23]
Nimeelewa kinachomaanishwa.Itoe kwenye kanisa iweke katika picha ya siasa na uongozi wa nchi ya Cuba.
Ile Biblia ya Mwaka ule ilipoundwa kamati ya kuratibu injili ndio tatizo, inampa aliye pale juu madaraka makubwa mnooo inamfanya awe mungu mtuTatizo waumini hatujitambui tuna uwezo kabisa tmepewa na maandiko kumg'oa huyu mfalme wa mchongo.
Na weye ni muumini wake?Duh....
Hapana Mfalme Zumaridi aache visingizio sasa. Kama ameshindwa kuongoza kanisa si aseme tu.
Anashindwaje kuwakaripia wapiga vyombo kwa kuongeza sauti hadi inakuwa kero kwa waumini?
Sisi ndio tunatoa sadaka, lakini hatuoni sadaka zetu zinafanya kazi gani.
Yeye kila siku yuko kwenye makanisa mengine kushuhudia ibada za upako na anaacha kanisa lake likiendeshwa kihuni.
Mfalme Zumaridi! Yaani umeufanya ubongo wangu uzunguke hadi nasikia kizunguzungu bado sina uhakika kama hii Code nimeielewa. Ila pongezi sana kwako kwa uandishi unaofikirisha [emoji120][emoji120]Kila mwaliko lazima aende? Si atume Wainjilisti wakamwakilishe?
Mbona Moses Kulola alikuwa hataki kusafiri kwenda kwenye makanisa mengine? Mfalme Zumaridi anashindwa nini?
Abaki hapa tufaidi naye mgao wa maji na umeme.
Labda atapata suluhisho ili ibada kanisani zinoge
Karibu sanaMfalme Zumaridi! Yaani umeufanya ubongo wangu uzunguke hadi nasikia kizunguzungu bado sina uhakika kama hii Code nimeielewa. Ila pongezi sana kwako kwa uandishi unaofikirisha [emoji120][emoji120]
Kuna kanisa lipo hapo upande wa Kaskazini, na mengine mawili tunapakana nayo upande wa kusini, jamani, yaani Biblia zao nzuri sana, Askofu ukizingua unawekwa kushoto mapema kabisaaaaaa.Dah, hili kanisa linapoelekea sio kabisa
Ahsante sana, naendelea kuufuatilia huu uzi mpaka nieleweKaribu sana