Mjamaa1
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 7,596
- 6,023
Endelea kunywa mtoriYote kwa yote ni heri zumaridi kuliko kulola....kuna waumini tuna furaha tu, pamoja na yote
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Endelea kunywa mtoriYote kwa yote ni heri zumaridi kuliko kulola....kuna waumini tuna furaha tu, pamoja na yote
Tcra iko kimya Tigo wakipandisha bei vifurushiSasa mimi nawezaje kuwaambia kwaya wapunguze sauti ya vyombo?
Kuna kamati za usimamizi lakini ni kama zimelala.
Kamati ya mawasiliano ndio imelala kabisaaaaaa, nasikia ile kwaya nyingine leo imepandisha tena sauti ya muziki wao
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] mpaka hapa nimeshafunguliwa niseme tu HaleluyaaaaKuna kanisa lipo hapo upande wa Kaskazini, na mengine mawili tunapakana nayo upande wa kusini, jamani, yaani Biblia zao nzuri sana, Askofu ukizingua unawekwa kushoto mapema kabisaaaaaa.
Biblia zao ziliwaweka pembeni wale maaskofu waasisi wa mataifa hayo
Kulola alikuwa mbabe sana, asiye na utuYote kwa yote ni heri zumaridi kuliko kulola....kuna waumini tuna furaha tu, pamoja na yote
Uzi nyatunyatuHa ha si mchezo
Kuna kanisa lipo hapo upande wa Kaskazini, na mengine mawili tunapakana nayo upande wa kusini, jamani, yaani Biblia zao nzuri sana, Askofu ukizingua unawekwa kushoto mapema kabisaaaaaa.
Biblia zao ziliwaweka pembeni wale maaskofu waasisi wa mataifa hayo
Biblia - katibaKuna kanisa lipo hapo upande wa Kaskazini, na mengine mawili tunapakana nayo upande wa kusini, jamani, yaani Biblia zao nzuri sana, Askofu ukizingua unawekwa kushoto mapema kabisaaaaaa.
Biblia zao ziliwaweka pembeni wale maaskofu waasisi wa mataifa hayo
Mnato au mpwelepweto?Gilesi una matatizo
KabisaYote kwa yote ni heri zumaridi kuliko kulola....kuna waumini tuna furaha tu, pamoja na yote
Tatizo Makerubi.Duh....
Hapana Mfalme Zumaridi aache visingizio sasa. Kama ameshindwa kuongoza kanisa si aseme tu.
Anashindwaje kuwakaripia wapiga vyombo kwa kuongeza sauti hadi inakuwa kero kwa waumini?
Sisi ndio tunatoa sadaka, lakini hatuoni sadaka zetu zinafanya kazi gani.
Yeye kila siku yuko kwenye makanisa mengine kushuhudia ibada za upako na anaacha kanisa lake likiendeshwa kihuni.
Hapana bhana mi siko kwenye hayo mambo. Giles si mwanamke? Ama?Nakuona mfuasi wa [emoji304][emoji2524][emoji304]
Hatari sana aiseeDah, hili kanisa linapoelekea sio kabisa
😂😂😂 umeiandika kitalaam sana, kidogo nitoke kapaDuh....
Hapana Mfalme Zumaridi aache visingizio sasa. Kama ameshindwa kuongoza kanisa si aseme tu.
Anashindwaje kuwakaripia wapiga vyombo kwa kuongeza sauti hadi inakuwa kero kwa waumini?
Sisi ndio tunatoa sadaka, lakini hatuoni sadaka zetu zinafanya kazi gani.
Yeye kila siku yuko kwenye makanisa mengine kushuhudia ibada za upako na anaacha kanisa lake likiendeshwa kihuni.
Makerubi tunaenda kwa kuyumbayumba na kujiangusha ili kumfurahisha mfalmeTatizo Makerubi.