Mfalme Zumaridi kama umeshindwa kuongoza kanisa, pisha mchungaji mwingine

Mfalme Zumaridi kama umeshindwa kuongoza kanisa, pisha mchungaji mwingine

Duh....
Hapana Mfalme Zumaridi aache visingizio sasa. Kama ameshindwa kuongoza kanisa si aseme tu.

Anashindwaje kuwakaripia wapiga vyombo kwa kuongeza sauti hadi inakuwa kero kwa waumini?

Sisi ndio tunatoa sadaka, lakini hatuoni sadaka zetu zinafanya kazi gani.

Yeye kila siku yuko kwenye makanisa mengine kushuhudia ibada za upako na anaacha kanisa lake likiendeshwa kihuni.
Kwani aliachiwa lini mkuu?
 
Kanisa likikosa usimamizi hao wapiga vyombo wataanza kuwala waimba kwaya [emoji23][emoji23][emoji23], katibu wa kanisa na mchungaji msaidizi hawakupewa handover ya kuendelea na vipindi vya ibada..?
 
Kanisa likikosa usimamizi hao wapiga vyombo wataanza kuwala waimba kwaya [emoji23][emoji23][emoji23], katibu wa kanisa na mchungaji msaidizi hawakupewa handover ya kuendelea na vipindi vya ibada..?
Ngapi ngapi huko?
 
Duh....
Hapana Mfalme Zumaridi aache visingizio sasa. Kama ameshindwa kuongoza kanisa si aseme tu.

Anashindwaje kuwakaripia wapiga vyombo kwa kuongeza sauti hadi inakuwa kero kwa waumini?

Sisi ndio tunatoa sadaka, lakini hatuoni sadaka zetu zinafanya kazi gani.

Yeye kila siku yuko kwenye makanisa mengine kushuhudia ibada za upako na anaacha kanisa lake likiendeshwa kihuni.
Si uhame kanisa bro!
Hukumsikia mpiga vyombo mojawapo alisema kama mnakereka na sauti ya mdundo anapiga uhamie kanisa la jirani.
 
Back
Top Bottom