Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani aliachiwa lini mkuu?Duh....
Hapana Mfalme Zumaridi aache visingizio sasa. Kama ameshindwa kuongoza kanisa si aseme tu.
Anashindwaje kuwakaripia wapiga vyombo kwa kuongeza sauti hadi inakuwa kero kwa waumini?
Sisi ndio tunatoa sadaka, lakini hatuoni sadaka zetu zinafanya kazi gani.
Yeye kila siku yuko kwenye makanisa mengine kushuhudia ibada za upako na anaacha kanisa lake likiendeshwa kihuni.
Hii habari kuielewa inabidi utulize kichwaZumaridi nae anawafuasi dunia inambo hii
Anao kibao na minguo yao ya kijani, jingalao, Pascal Mayalla, johnthebaptist Bia yetu, FaizaFoxy na mijitu kibao ndio mifuasiZumaridi nae anawafuasi dunia inambo hii
YeahHapana bhana mi siko kwenye hayo mambo. Giles si mwanamke? Ama?
Zumaridi ameingia kwenye siasa tena..?Kama ccm hawafurahishwi na hali hii ya uchumi, upinzani hawafurahi na sisi tusiokuwa na vyama hatufarahii, je nini kifanyike?
Basi mimi ndio nitakuwa nimeangukia pua kabisa [emoji23]Kama ni fasihi imefeli....
Tunaita kufeli kwa mwandishi....
Maana hata mimi nimejibu kifasihi unaona tulivyokorogana?
Ngapi ngapi huko?Kanisa likikosa usimamizi hao wapiga vyombo wataanza kuwala waimba kwaya [emoji23][emoji23][emoji23], katibu wa kanisa na mchungaji msaidizi hawakupewa handover ya kuendelea na vipindi vya ibada..?
Zumaridi ni jini liko kila pahalaZumaridi ameingia kwenye siasa tena..?
Si uhame kanisa bro!Duh....
Hapana Mfalme Zumaridi aache visingizio sasa. Kama ameshindwa kuongoza kanisa si aseme tu.
Anashindwaje kuwakaripia wapiga vyombo kwa kuongeza sauti hadi inakuwa kero kwa waumini?
Sisi ndio tunatoa sadaka, lakini hatuoni sadaka zetu zinafanya kazi gani.
Yeye kila siku yuko kwenye makanisa mengine kushuhudia ibada za upako na anaacha kanisa lake likiendeshwa kihuni.
Baada ya Kulola kuondokaZumaridi ameingia kwenye siasa tena..?
Ahamie kwa Warundi!?[emoji23]Si uhame kanisa bro!
Hukumsikia mpiga vyombo mojawapo alisema kama mnakereka na sauti ya mdundo anapiga uhamie kanisa la jirani.
Tafsida hyo kaka hapo anaongelewa bi mkubwa ujue[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Maza wa nchiSijaelewa huu uzi unamaanisha nini, Mfalme Zumaridi yupo Gerezani karibu mwaka sasa..
Lina masharti magumu. Kanisa mnatambuana kwa urefu na ufupi wa puaSi uhame kanisa bro!
Hukumsikia mpiga vyombo mojawapo alisema kama mnakereka na sauti ya mdundo anapiga uhamie kanisa la jirani.
@Bujibuji Simba Nyamaume nooomaaaaWakulungwa wa jf noma sana[emoji119]
Fasihi lazima iwe controversial ndio maana hadi leo mdudu ndani ya kokwa la embe kaingiaje, kila mtu ana yafsiri hakeKama ni fasihi imefeli....
Tunaita kufeli kwa mwandishi....
Maana hata mimi nimejibu kifasihi unaona tulivyokorogana?
Mkuu kwenye ibada za kusifu na mapambio lazima sauti iwe kubwa...Anashindwaje kuwakaripia wapiga vyombo kwa kuongeza sauti hadi inakuwa kero kwa waumini?