Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zumaridi Huyu Anatukio KeshoKwani alitoka jela ? Kesi vipi
Tulivovurugwa acha tu.Patachimbika
Ni kweli ndipo ninapoabudu, Mungu wa Mfalme Zumaridi ndie Mungu wa kweli.Anao kibao na nguo yao ya kijani, jingalao, Pascal Mayalla, johnthebaptist Bia yetu, FaizaFoxy na watu kibao ndio wafuasi
Kaka mkubwa nimelipenda sana jawabu lako, dah.... Hili jibu lijengewe mnara, hukuhamaki wala hukakasirika, ukanata na biti.Ni kweli ndipo ninapoabudu, Mungu wa Mfalme Zumaridi ndie Mungu wa kweli.
Karibuni tuabudu.
P
Btoz sio kuku wala sio yai, ni mkia.Thinking great way.. [emoji1545][emoji1752] sasa nitakuuliza kuhusu BtoZ.. Hivi yeye ni yai au ni kuku
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Btoz sio kuku wala sio yai, ni mkia.
Hivi aliyepiga picha na Rihanna halafu hakupewa, baada ya kulalamika alipewa?
Sababu mpo kwenye kitengo cha kuhesabu sadaka na kuratibu misaada ya wafadhili wa kanisa. Sisi tunazungumzia waumini wote kwa ujumla.Yote kwa yote ni heri zumaridi kuliko kulola....kuna waumini tuna furaha tu, pamoja na yote
Hakupewa [emoji23]Btoz sio kuku wala sio yai, ni mkia.
Hivi aliyepiga picha na Rihanna halafu hakupewa, baada ya kulalamika alipewa?
Mfalme Zumaridi mbona anaongoza kanisa letu vizuri tuu!. Mlitaka afanye nini zaidi ya hiki anachofanya.Duh....
Hapana Mfalme Zumaridi aache visingizio sasa. Kama ameshindwa kuongoza kanisa si aseme tu.
Sii kweli, kanisa letu la Mfalme Zumaridi tumezoea sauti kubwa na wala sio kero kwa waumini, ila ni kero kwa wasioamini.Anashindwaje kuwakaripia wapiga vyombo kwa kuongeza sauti hadi inakuwa kero kwa waumini?
Sadaka inatolewa kwa Mungu, waumini watiifu hawapaswi kujiuliza sadaka inafanyia nini, kwasababu Mungu mwenyewe hushuka usiku na kuitwaa sadaka yake.Sisi ndio tunatoa sadaka, lakini hatuoni sadaka zetu zinafanya kazi gani.
Mfalme Zumaridi ni Mfalme wa kimataifa anahubiri mataifa mbalimbali huku kanisa letu likizidi kuimarika.Yeye kila siku yuko kwenye makanisa mengine kushuhudia ibada za upako na anaacha kanisa lake likiendeshwa kihuni.
Jiongeze mkuu....tunaenda China kwa mwaliko🤣🤣🤣Sijaelewa huu uzi unamaanisha nini, Mfalme Zumaridi yupo Gerezani karibu mwaka sasa..
Acha hizo kaka Ibada inayumba hata yale ya kubatizia yanasumbua na kibatari kinazima kila wakatiMfalme Zumaridi mbona anaongoza kanisa letu vizuri tuu!. Mlitaka afanye nini zaidi ya hiki anachofanya.
Sii kweli, kanisa letu la Mfalme Zumaridi tumezoea sauti kubwa na wala sio kero kwa waumini, ila ni kero kwa wasioamini.
Sadaka inatolewa kwa Mungu, waumini watiifu hawapaswi kujiuliza sadaka inafanyia nini, kwasababu Mungu mwenyewe hushuka usiku na kuitwaa sadaka yake.
Mfalme Zumaridi ni Mfalme wa kimataifa anahubiri mataifa mbalimbali huku kanisa letu likizidi kuimarika.
P
Vichwa vilishachoka jamaa yangu mambo mengi, mwanzoni sikuelewa kabisa..Jiongeze mkuu....tunaenda China kwa mwaliko🤣🤣🤣
Sasa we Shemasi au mwalimu wa watoto Sunday school baki kulia tu hakuna namna😢😢😢😢Acha hizo kaka Ibada inayumba hata yale ya kubatizia yansumbua na kibatari kinazima kila wakati
Muweka hazina wa kanisa alishasema kama hatuuwezi muziki wa kanisa hili basi tuhamie kanisa jiraniDuh....
Hapana Mfalme Zumaridi aache visingizio sasa. Kama ameshindwa kuongoza kanisa si aseme tu.
Anashindwaje kuwakaripia wapiga vyombo kwa kuongeza sauti hadi inakuwa kero kwa waumini?
Sisi ndio tunatoa sadaka, lakini hatuoni sadaka zetu zinafanya kazi gani.
Yeye kila siku yuko kwenye makanisa mengine kushuhudia ibada za upako na anaacha kanisa lake likiendeshwa kihuni.