Mfalme Zumaridi kama umeshindwa kuongoza kanisa, pisha mchungaji mwingine

Mfalme Zumaridi kama umeshindwa kuongoza kanisa, pisha mchungaji mwingine

Nikadhani imekuaje makanisa yote huko Uyole iweje ukasali mwanza?
Ila baada ya kuskiliza mziki mzito na fujo za waimba kwaya kweli zumaridi ufalme wake tumempa ila katuchoka waumini
 
Muweka hazina wa kanisa alishasema kama hatuuwezi muziki wa kanisa hili basi tuhamie kanisa jirani

Hapa tunahitaji tu biblia mpya

Vinginevyo wasiweke ugumu kutoa vyeti vya uhamiaji ili wengine wafanye mpango wa kuhamia kwenye makanisa mengine yanayojali waumini wa kila aina
Huhitaji cheti chochote kutoka kanisa moja kuhamia kanisa jingine lolote la jirani, wewe ni kwenda tuu, ukifika unajitambulisha tuu na kushiriki ibada.
P
 
Mfano mimi mwenzenu nimeisha hamia kwenye kanisa la jirani na napiga ibada kama kawa!.
P
Bado uko Kurunzinza mkuu?
Ukivuka upande wa pili kulia unijulishe nitakuunga na yale mambo pendwa kwako..ile rangi pendwa na ngoshaz😆
 
Duh....
Hapana Mfalme Zumaridi aache visingizio sasa. Kama ameshindwa kuongoza kanisa si aseme tu.

Anashindwaje kuwakaripia wapiga vyombo kwa kuongeza sauti hadi inakuwa kero kwa waumini?

Sisi ndio tunatoa sadaka, lakini hatuoni sadaka zetu zinafanya kazi gani.

Yeye kila siku yuko kwenye makanisa mengine kushuhudia ibada za upako na anaacha kanisa lake likiendeshwa kihuni.
Wakristo mna chokochoko sana, mmeshazoea mfumo kristo na utawala wa Kikatili ndio roho zenu kwatu kabisa.

Naona hapa tatizo ni dini yake, angeitwa Elizabeth kila siku mko naye parokiani ndio mngejisikia raha mustarehe.
 
Yote kwa yote ni heri zumaridi kuliko kulola....kuna waumini tuna furaha tu, pamoja na yote
Unishindi Mimi, tupambane kwa nguvu zote na mfumo kristo, inahitajika uwe mtu mzima kuelewa hili hata ukiwa mkristo unatakiwa kuupinga kwa nguvu zote mfumo kristo, ni mfumo wa kishenzi kabisa usiojali utu wa watu.
 
Wakristo mna chokochoko sana, mmeshazoea mfumo kristo na utawala wa Kikatili ndio roho zenu kwatu kabisa.

Naona hapa tatizo ni dini yake, angeitwa Elizabeth kila siku mko naye parokiani ndio mngejisikia raha mustarehe.
Matola, huu uzi umeandikwa na @bujibuji au umeàndikwa na Wakristo?
 
Muweka hazina wa kanisa alishasema kama hatuuwezi muziki wa kanisa hili basi tuhamie kanisa jirani

Hapa tunahitaji tu biblia mpya

Vinginevyo wasiweke ugumu kutoa vyeti vya uhamiaji ili wengine wafanye mpango wa kuhamia kwenye makanisa mengine yanayojali waumini wa kila aina
Kanisa litabaki halina kondoo hata mmoja, wao wenyewe wanalijua hilo
 
Unishindi Mimi, tupambane kwa nguvu zote na mfumo kristo, inahitajika uwe mtu mzima kuelewa hili hata ukiwa mkristo unatakiwa kuupinga kwa nguvu zote mfumo kristo, ni mfumo wa kishenzi kabisa usiojali utu wa watu.

Mfalme Zumaridi mbona anaongoza kanisa letu vizuri tuu!. Mlitaka afanye nini zaidi ya hiki anachofanya.

Sii kweli, kanisa letu la Mfalme Zumaridi tumezoea sauti kubwa na wala sio kero kwa waumini, ila ni kero kwa wasioamini.

Sadaka inatolewa kwa Mungu, waumini watiifu hawapaswi kujiuliza sadaka inafanyia nini, kwasababu Mungu mwenyewe hushuka usiku na kuitwaa sadaka yake.

Mfalme Zumaridi ni Mfalme wa kimataifa anahubiri mataifa mbalimbali huku kanisa letu likizidi kuimarika.
P
Umenena vyema ndugu shemasi.
 
Matola, huu uzi umeandikwa na @bujibuji au umeàndikwa na Wakristo?
Mfumo kristo umewalevya, Mimi ni mkristo tena mkatoliki pure.

Anapotawala Mkristo tena uzuri wote watatu walikuwa wakatoliki na wote wameshakufa huwa mambo ni tofauti na wanaongoza kwa roho mbaya.

Ila akiingia mwislamu na kwa dhati kabisa wameonesha wana utu na ubinadamu lakini mashambulizi ndio hulipuka na waraka mbalimbali za kichungaji hutolewa kwenye awamu hizo.

Kwa damage iliyofanywa na Mkatoliki mwenzetu hii nchi IPO kwenye mikono Salama na iko chini ya Rais sahihi kwa wakati sahihi.

Huu mfumo Kristo ni Sumu unapaswa kupigwa vita na kila anayeipenda nchi hii.
 
Sababu mpo kwenye kitengo cha kuhesabu sadaka na kuratibu misaada ya wafadhili wa kanisa. Sisi tunazungumzia waumini wote kwa ujumla.
Kama ambavyo nanyie mlikua kwenye kitengo cha kutupa watu nje ya kabisa kisa tu hawakuimba mapambio
 
Duh....
Hapana Mfalme Zumaridi aache visingizio sasa. Kama ameshindwa kuongoza kanisa si aseme tu.

Anashindwaje kuwakaripia wapiga vyombo kwa kuongeza sauti hadi inakuwa kero kwa waumini?

Sisi ndio tunatoa sadaka, lakini hatuoni sadaka zetu zinafanya kazi gani.

Yeye kila siku yuko kwenye makanisa mengine kushuhudia ibada za upako na anaacha kanisa lake likiendeshwa kihuni.
Vp kama ndo mkataba wao unavosema? "Tutamtoa sadaka mfalme aliepo, afu we tutakukabidhi kiti kwa masharti nafuu ya kutokaa kanisani kwako ili sisi wahuni tuongoze kanisa "
Hii ni kwa manufaa yetu na wewe ila si kwa waumin.
 
Mchungaji Yohana.. alikuwa na matatizo yake.. ila mchungaji yohana alikuwa hapend watu wa chini kuumia..

Ila huyu zamaradi mhhhh...
Kwahiyo unambeba mgongoni mmachinga halafu unamchinja tajiri teh teh
 
Back
Top Bottom