Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
Hivi Buji kati ya yai na kuku nini kilianza!? Hapa btoz tumtoe [emoji23]Fasihi lazima iwe controversial ndio maana hadi leo mdudu ndani ya kokwa la embe kaingiaje, kila mtu ana yafsiri hake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi Buji kati ya yai na kuku nini kilianza!? Hapa btoz tumtoe [emoji23]Fasihi lazima iwe controversial ndio maana hadi leo mdudu ndani ya kokwa la embe kaingiaje, kila mtu ana yafsiri hake
Tatizo ni mashemasi.Kila mwaliko lazima aende? Si atume Wainjilisti wakamwakilishe?
Mbona Moses Kulola alikuwa hataki kusafiri kwenda kwenye makanisa mengine? Mfalme Zumaridi anashindwa nini?
Abaki hapa tufaidi naye mgao wa maji na umeme.
Labda atapata suluhisho ili ibada kanisani zinoge
Kama Adam na Eva waliumbwa na Mungu, basi Mungu hakuumba yai, aliumba kuku.Hivi Buji kati ya yai na kuku nini kilianza!? Hapa btoz tumtoe [emoji23]
Mchungaji Yohana.. alikuwa na matatizo yake.. ila mchungaji yohana alikuwa hapend watu wa chini kuumia..Yote kwa yote ni heri zumaridi kuliko kulola....kuna waumini tuna furaha tu, pamoja na yote
Kweli wewe shabiki wa mandonga...umetisha sana..nimebak nashangaa tuDini ni upumbavu nilipona TITO ana wafuasi
Katiba mpyaKama ccm hawafurahishwi na hali hii ya uchumi, upinzani hawafurahi na sisi tusiokuwa na vyama hatufarahii, je nini kifanyike?
Aiseee hii ndio maana halisi ya fasihi.Duh....
Hapana Mfalme Zumaridi aache visingizio sasa. Kama ameshindwa kuongoza kanisa si aseme tu.
Anashindwaje kuwakaripia wapiga vyombo kwa kuongeza sauti hadi inakuwa kero kwa waumini?
Sisi ndio tunatoa sadaka, lakini hatuoni sadaka zetu zinafanya kazi gani.
Yeye kila siku yuko kwenye makanisa mengine kushuhudia ibada za upako na anaacha kanisa lake likiendeshwa kihuni.
Mabwege wengi wanadhania katiba ni mali ya chama, ndio maana makada wa ccm wanadhani hii iliyopo no.katiba ya ccm, na katiba mpya ni ya chademaKatiba mpya
Sawa rey, kuna mdau pia alishanielewesha..Tafsida hyo kaka hapo anaongelewa bi mkubwa ujue[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Maza wa nchi
Chaka la kufisha udhaifuSiku hizi mashemasi wanasingizia kila kitu kwamba kimesababishwa na mgogoro wa yale makanisa mawili ya wenzetu kule duniani
Akili yake kama ndonga boyKweli wewe shabiki wa mandonga...umetisha sana..nimebak nashangaa tu
Tulidhani Moses Kulola hakutaka watu tuwe na hela, sasa awamu hii ya Zumaridi hela hakuna na vitu vinapanda bei kiholela, yee wala hajaliMchungaji Yohana.. alikuwa na matatizo yake.. ila mchungaji yohana alikuwa hapend watu wa chini kuumia..
Ila huyu zamaradi mhhhh...
PatachimbikaBangi iwe zao la taifa 🤣
Thinking great way.. [emoji1545][emoji1752] sasa nitakuuliza kuhusu BtoZ.. Hivi yeye ni yai au ni kukuKama Adam na Eva waliumbwa na Mungu, basi Mungu hakuumba yai, aliumba kuku.
Kama mtu alitoka kwa nyani, basi kuku alitoka kwa jamii ya fisi.