Mfalme Zumaridi, Mama huyu ni nani na kwanini Serikali imemuacha tu?

Mfalme Zumaridi, Mama huyu ni nani na kwanini Serikali imemuacha tu?

Hakuna siku nitarudi kisali kanisan katoriki ni bora nisiende kusali maana siwezi kwenda kumuabudu shetani live na akili zangu ,Kusali njia ya mslaba(wakati wa kwalesima),Rosali takatifu. Sitarudi never ever
Wewe sio Mkatoliki kabisa.Kuandika kwa shida "Kwalesma".
 
Hakuna siku nitarudi kisali kanisan katoriki ni bora nisiende kusali maana siwezi kwenda kumuabudu shetani live na akili zangu ,Kusali njia ya mslaba(wakati wa kwalesima),Rosali takatifu. Sitarudi never ever
Rosali.Aibu kaa kimya.
 
Jamani nawasalimia wote kwa kila mtu Na imani yake.

Kule jijini Mwanza kumeibuka mwanamama mmoja anajiita Mfalme Zumaridi na ana kanisa au sijui niseme nini, maeneo ya Nyegezi...
Video ya zaidi ya saa moja, unachoangalia hakieleweki? Sina muda huo!
 
Lucifer katika ubora wake. Hawa mahawayuni changanya akina gwajima kakobe mzee wa upako nk Hawa wote ni agents wa shetani
Alipaswa awe amelipishwa kodi ya kutosha vunja madhbahu jela inamhusu kwa upotoshaji
 
Salamu wana jamvi, corona ipo na inaua ,nyungu inapandisha mapepo tu.
Moja kwa moja niende kwenye mada

Anaitwa Diana Richard Bundala,au waumini wake wanapenda kumuita mungu chini ya jua,mfalme wa dunia.

Juzi kanisa lake lenye waumini zaidi ya elfu mbili lililopo maeneo ya Iseni Mwanza,lilifungiwa na serikali kutoa huduma za kiroho kwa kwenda kinyume na misingi ya kiimani.

Diana anadai kwamba yeye ni mungu chini ya jua,na pia ni mfalme wa dunia yote.

Diana anadai kuwa yeye ametumwa na Mungu kuja kuukomboa ulimwengu baaada ya Yesu kristu.

Yaani Mungu baada ya kumtuma Yesu hapa duniani na kuona bado matendo maovu yanaendelea,ndio akaamua eti sasa amtume yeye

Diana anadai yeye kapewa mamlaka ya kimungu hapa duniani,hivyo kila akionekana inabidi asujudiwe(na waumini wake wamekuwa wakimsujudia kila anapoonekana)

Diana bundala anadai kuwa na yeye hapa duniani anasurubiwa kwa dhambi za wanadamu kama alivyosurubiwa Yesu kristo.

Anasema yeye anasurubiwa kwa kusemwa vibaya, kutukanwa na hata kufungiwa huduma yake na serikali.yote hayo ni kwa sababu ya dhambi za wanadamu.

Diana anadai kuwa kwakuwa yeye ndiye mungu wa hapa duniani,basi yeye ndiye anasamehe dhambi...hivyo wanadamu wote waende kwake kusamehewa dhambi.

Diana Bundala anadai kuwa marehemu wengi wenye majina makubwa waliofariki wapo kwake.

Anadai Marehemu Kanumba yupo kwake,marehemu Ruge yupo kwake na wengine wengi!!!anadai siku akiamua kuwatoa basi atawatoa.
FB_IMG_1614057932274.jpg
View attachment 1709595

 
Hahaahaa vituko havitaisha duniani daa , yaani hiyo pisi ndo ina mambo hivyo na ushawishi wa kuteka akili za nyumbu 2000 halafu tena mwanza hivi wasukuma wa hapo mjini mnakwama wapi?

Kuna ile pisi inaitwa zumaridi malkia wa nini sijui nayo inatoka hukohuko mwanza daaah!! Mabaharia wa huko kazi kwenu kuleni kimasihara huyo,tena sugua kweli kweli aache ujinga mbona dawa yao ndogo hao viumbe aaaghhhhh mnatuaibisha bwana!

Nadanganya wadau?
 
Waafrika tulio wengi bado ni uncivilized!!

Hata hapa Dar kuna wapiga dili wapo wengi mno wanaotumia jina la Yesu kujitajirisha.

Kwa hali ilivyo ngumu kwa sasa njia nyepesi ya kutoka kimaisha ni kufungua kanisa, waumini hutakosa, cha msingi uwe mzuri katika kupanga matukio na bla bla za hapa na pale.
 
Ila serikali imekosea kuwafungia, si imani yao, tumeanza kuingiliana kwenye imani zetu!? Mbona Gwajima aliweka hadi video akifufua mtu lakini sikuona kumsumbua?

Ila kingine nimegundua kuwa watanzania tuna ka mwelekeo kakufuata watu wenye magonjwa ya akili. Watu kama Babu wa Loliondo, huyu naye nk
 
Mungu gani huyo ana nyege na kuwaka tamaa?
 
Back
Top Bottom