Mfalme Zumaridi, Mama huyu ni nani na kwanini Serikali imemuacha tu?

Mfalme Zumaridi, Mama huyu ni nani na kwanini Serikali imemuacha tu?

Hahaahaa vituko havitaisha duniani daa , yaani hiyo pisi ndo ina mambo hivyo na ushawishi wa kuteka akili za nyumbu 2000 halafu tena mwanza hivi wasukuma wa hapo mjini mnakwama wapi? Kuna ile pisi inaitwa zumaridi malkia wa nini sijui nayo inatoka hukohuko mwanza daaa
Mabaharia wa huko kazi kwenu kuleni kimasihara huyo,tena sugua kweli kweli aache ujinga mbona dawa yao ndogo hao viumbe aaaghhhhh mnatuaibisha bwana!


Nadanganya wadau?
...Tatizo wakiona tu kifaa cheupe, hawa Ndugu zetu wanachanyikiwa !![emoji23][emoji23][emoji23]
 
Siku akija nabii wa kweli atatiwa hatiani kama walivyofanya wayahudi
 
IMG-20220227-WA0481.jpg
 
wanamuita mungu zumaridi.............ni mjanja mjanjaa tu, maana ukiwakuta wafuwasi wake ndo utajua amewashika. kuna gari ya mtumishi wake imeandikwa zumaridi ni mungu
Mungu huwa anakata gogo?
 
Back
Top Bottom