Mfalme Zumaridi, Mama huyu ni nani na kwanini Serikali imemuacha tu?

...Tatizo wakiona tu kifaa cheupe, hawa Ndugu zetu wanachanyikiwa !![emoji23][emoji23][emoji23]
 
Siku akija nabii wa kweli atatiwa hatiani kama walivyofanya wayahudi
 
wanamuita mungu zumaridi.............ni mjanja mjanjaa tu, maana ukiwakuta wafuwasi wake ndo utajua amewashika. kuna gari ya mtumishi wake imeandikwa zumaridi ni mungu
Mungu huwa anakata gogo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…