Mfalme Zumaridi ni nani haswa?

Mfalme Zumaridi ni nani haswa?

mama D

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2010
Posts
19,981
Reaction score
35,581
Kwa imani zetu wengi wetu tunaoishi duniani tunaongozwa na roho. Na hizo roho zipo za aina mbili; ile ya Mwenyezi Mungu muumbaji na mwenye mamlaka na ukuu juu ya wakuu wote, au roho mkuu wa giza shetani au ibilisi.

Tunaoishi duniani hatuwezi kukwepa ya dunia hii, lazima tutakutana nayo kwa kutaka au kutotaka. Leo nimekutana na habari za huyu mama anayeitwa MFALME ZUMARIDI zikisema amekamatwa na police kwa kuwaweka watu mateka.

Huyu ZUMARIDI ni nani haswa? Na anafanya nini na akiongozwa na roho yupi!?

Naambatanisha baadhi ya video zake




 
zuma.jpg

naongezea
 
Binadamu hasa Waafrika baada ya Kuona Dini walizomo haziwakomboi na Matatizo yao hayatatuliki bali wanapewa Matumaini tu. Sasa Walioona Fursa zinazopigwa huko na Makanisa Makubwa na Madhehebu makubwa wakaamua kuanzisha Makanisa yao pia

Lengo likiwa ni Lile lile Kuchuma Mali kutoka Kwa Watu wenye Shida.

Kumbuka
1. Sadaka haendi Kwa Mungu ingawa umeaminishwa hivyo

2. Mungu hakupi wala kukunyima Riziki ingawa umeaminishwa hivyo

3. Mungu hana mtume wala nabii ingawa Umeaminishwa hivyo

4. Mungu hamjaribu binadamu. Binadamu anajaribiwa na Binadamu mwenzake au viumbe wengine visivyo mwanadamu


Kwahiyo Makanisa ya Sasa Yanatumia mianya hiyo Kukupakua vizuri pesa zako
 
From media above naona anatoa burudani....,

Ila kama ana-brainwash watu wana-part na their hard earned cash sioni tofauti yake na so called viongozi wanao-depart na the same without even asking and no return on investment or even burudani....

To each his/her Own...
 
Back
Top Bottom