mama D
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 19,981
- 35,581
- Thread starter
- #41
Hii picha inaonyesha ni kiasi gani na kwa kiwango gani binadamu anaweza kukosa akili na maarifa. Kumwinamia na kumuabudi kiumbe kama wewe ni ukosefu mkubwa sana wa maarifa na akili.
Stuuuped indeed!!
Usilaumu, linaweza kuwa igizo lenye malipo ya kufaa