Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🤣🤣Mauno yake umeyaona hapo juu?
hahaha, nimeshindwa na nimelegeaUshamtamani mtumishi wa mungu. Shindwaaa
Wewe kati ya hayo lipi umeliamini katika harakati za kuaminishwaBinadamu hasa Waafrika baada ya Kuona Dini walizomo haziwakomboi na Matatizo yao hayatatuliki bali wanapewa Matumaini tu. Sasa Walioona Fursa zinazopigwa huko na Makanisa Makubwa na Madhehebu makubwa wakaamua kuanzisha Makanisa yao pia
Lengo likiwa ni Lile lile Kuchuma Mali kutoka Kwa Watu wenye Shida.
Kumbuka
1. Sadaka haendi Kwa Mungu ingawa umeaminishwa hivyo
2. Mungu hakupi wala kukunyima Riziki ingawa umeaminishwa hivyo
3. Mungu hana mtume wala nabii ingawa Umeaminishwa hivyo
4. Mungu hamjaribu binadamu. Binadamu anajaribiwa na Binadamu mwenzake au viumbe wengine visivyo mwanadamu
Kwahiyo Makanisa ya Sasa Yanatumia mianya hiyo Kukupakua vizuri pesa zako
😂😂😂😂😂noma sana, wameinama utam kweli kweli
Hii picha inaonyesha ni kiasi gani na kwa kiwango gani binadamu anaweza kukosa akili na maarifa. Kumwinamia na kumuabudi kiumbe kama wewe ni ukosefu mkubwa sana wa maarifa na akili.View attachment 2134086
naongezea
Mfalme mwenye maumbile ya kike 😜Kwani yeye ni nani!? Mfalme, mchungaji? Au padre?
row ya kulia, wa kwanza kutoka chini hapo, salaalee😂😂😂😂😂
🤣🤣🤣dronedrake Ukishatamani tuma na ya kutolea🤣🤣🤣🤣
Ni motivation speaker mwenye kipawa cha hali ya juu cha kushawishi so kupitia kipawa hicho kaweza kujipatia mamia ya waamini wake.Ni nani haswa huyu ZUMARIDI?
Na wanamwita Baba kabisa.Mfalme mwenye maumbile ya kike [emoji12]
Nimeona mkuu 😍😍😍😍row ya kulia, wa kwanza kutoka chini hapo, salaalee
au wewe huoni ?