Mfalme Zumaridi ni nani haswa?

Sema ni shangazi flani hivi yaani na mkorogo umemkubali 😊
 
Hahahahaa anakatika huyo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Nasoma ndio. Ninapoomba uthibitisho ni kwa faida ya wote hata wale wasiosoma
Na hiyo ni Elimu muhimu kwa jamii
basi washauri pia wakasome biblia vipo vifungu vingi utapata huo uthibitisho
 
Kwahyo hana tofaut na askofu ila ni kwamba yeye hajawa formal tu. Hahahha
 
Kapigwa kachakaaaa[emoji1787] urembo wote kwishney babuj[emoji1787] sema mie nimempenda sana! Nani alisema nabii hakubaliki kwao? Nataman nimuulize mtaji alipata wap? Anaitwa baba halaf anapata mimba hapo tu ndiyo kaniudhi!! Angejiita mama tu kwan mama ndiyo mlezi wa wana!!! Sa cjui na yeye ana boss wake au yeye ndiyo top manyota???
 
Duu adi ‘jongoo limepanda mtungi’ hili lijimama litakuwa litamu kweli kweli….,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…