Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HaswaaAnafaa kwa matumizi ya kibinadamu
Ngoja shunie aje kulike hii commentAna miuno huyo...
Minginyu minginyu...
mauno kwakweli hata mimi yamenishawishi😀Mauno yake umeyaona hapo juu?
kudadadadeki mkuu..mimi mwenyewe kuna time huwa naskuti nawazaaaa kama wewe...ila basi naona nishaamini muda mrefu sana acha tu niendeleeBinadamu hasa Waafrika baada ya Kuona Dini walizomo haziwakomboi na Matatizo yao hayatatuliki bali wanapewa Matumaini tu. Sasa Walioona Fursa zinazopigwa huko na Makanisa Makubwa na Madhehebu makubwa wakaamua kuanzisha Makanisa yao pia
Lengo likiwa ni Lile lile Kuchuma Mali kutoka Kwa Watu wenye Shida.
Kumbuka
1. Sadaka haendi Kwa Mungu ingawa umeaminishwa hivyo
2. Mungu hakupi wala kukunyima Riziki ingawa umeaminishwa hivyo
3. Mungu hana mtume wala nabii ingawa Umeaminishwa hivyo
4. Mungu hamjaribu binadamu. Binadamu anajaribiwa na Binadamu mwenzake au viumbe wengine visivyo mwanadamu
Kwahiyo Makanisa ya Sasa Yanatumia mianya hiyo Kukupakua vizuri pesa zako
ukataman kama ungekuwa umewainamia kwa nyuma na wewe 😂😂😂😂😂watu wanajua kuinama bhanaaaa!! 🤣🤣🤣🤣
Mfalme zumaridi..nguvu ya mungu chini ya jua...Tapeli tu uyo anashukiwa na majini tu achomoke sasa police na huyo roho wake kwanza Mungu gani anaitwa Zumaradi kama sio uchawi
Wew ni mwana jadi mzuri sana nimependa comment yakoBinadamu hasa Waafrika baada ya Kuona Dini walizomo haziwakomboi na Matatizo yao hayatatuliki bali wanapewa Matumaini tu. Sasa Walioona Fursa zinazopigwa huko na Makanisa Makubwa na Madhehebu makubwa wakaamua kuanzisha Makanisa yao pia
Lengo likiwa ni Lile lile Kuchuma Mali kutoka Kwa Watu wenye Shida.
Kumbuka
1. Sadaka haendi Kwa Mungu ingawa umeaminishwa hivyo
2. Mungu hakupi wala kukunyima Riziki ingawa umeaminishwa hivyo
3. Mungu hana mtume wala nabii ingawa Umeaminishwa hivyo
4. Mungu hamjaribu binadamu. Binadamu anajaribiwa na Binadamu mwenzake au viumbe wengine visivyo mwanadamu
Kwahiyo Makanisa ya Sasa Yanatumia mianya hiyo Kukupakua vizuri pesa zako
Anacheza kimalaya sana mpk mimi sikuvumilia kuendelea kutazama video yake akicheza.mauno kwakweli hata mimi yamenishawishi😀
Sasa kwan unadhan huyo kwel ni mtumishi wa Mungu huyo??huyo ni tapel tuuAnacheza kimalaya sana mpk mimi sikuvumilia kuendelea kutazama video yake akicheza.
Wasukuma watu basiAnawadanganya wasukuma wenzie mkuu. Yaan ndo tukubar utafit wa ugari unadumaza akili
Wewe ni tajiri?Msichokijua nikwamba, kama mnataka kupiga hela, mwanza kunafaa sana,
maskini niwengi sana na wanataka wafanikiwe kwa njia ya maombezi!!
Hawanania ya kufanya kazi
Wefungua kanisa tu[emoji23][emoji23]
Umeonaeee ????? 😆😆😆😆😅😅😅ukataman kama ungekuwa umewainamia kwa nyuma na wewe 😂