Mfalme Zumaridi ni nani haswa?

Mfalme Zumaridi ni nani haswa?

Nimeona picha mitandaoni inaelekea wamemnasa vibao
 
Binadamu hasa Waafrika baada ya Kuona Dini walizomo haziwakomboi na Matatizo yao hayatatuliki bali wanapewa Matumaini tu. Sasa Walioona Fursa zinazopigwa huko na Makanisa Makubwa na Madhehebu makubwa wakaamua kuanzisha Makanisa yao pia

Lengo likiwa ni Lile lile Kuchuma Mali kutoka Kwa Watu wenye Shida.

Kumbuka
1. Sadaka haendi Kwa Mungu ingawa umeaminishwa hivyo

2. Mungu hakupi wala kukunyima Riziki ingawa umeaminishwa hivyo

3. Mungu hana mtume wala nabii ingawa Umeaminishwa hivyo

4. Mungu hamjaribu binadamu. Binadamu anajaribiwa na Binadamu mwenzake au viumbe wengine visivyo mwanadamu


Kwahiyo Makanisa ya Sasa Yanatumia mianya hiyo Kukupakua vizuri pesa zako
kudadadadeki mkuu..mimi mwenyewe kuna time huwa naskuti nawazaaaa kama wewe...ila basi naona nishaamini muda mrefu sana acha tu niendelee
 
Huyu mtu adhibitiwe vinginevyo ya kibwetere yananukia
 
Tapeli tu uyo anashukiwa na majini tu achomoke sasa police na huyo roho wake kwanza Mungu gani anaitwa Zumaradi kama sio uchawi
Mfalme zumaridi..nguvu ya mungu chini ya jua...

#MaendeleoHayanaChama
 
Binadamu hasa Waafrika baada ya Kuona Dini walizomo haziwakomboi na Matatizo yao hayatatuliki bali wanapewa Matumaini tu. Sasa Walioona Fursa zinazopigwa huko na Makanisa Makubwa na Madhehebu makubwa wakaamua kuanzisha Makanisa yao pia

Lengo likiwa ni Lile lile Kuchuma Mali kutoka Kwa Watu wenye Shida.

Kumbuka
1. Sadaka haendi Kwa Mungu ingawa umeaminishwa hivyo

2. Mungu hakupi wala kukunyima Riziki ingawa umeaminishwa hivyo

3. Mungu hana mtume wala nabii ingawa Umeaminishwa hivyo

4. Mungu hamjaribu binadamu. Binadamu anajaribiwa na Binadamu mwenzake au viumbe wengine visivyo mwanadamu


Kwahiyo Makanisa ya Sasa Yanatumia mianya hiyo Kukupakua vizuri pesa zako
Wew ni mwana jadi mzuri sana nimependa comment yako
 
Msichokijua nikwamba, kama mnataka kupiga hela, mwanza kunafaa sana,

maskini niwengi sana na wanataka wafanikiwe kwa njia ya maombezi!!

Hawanania ya kufanya kazi

Wefungua kanisa tu[emoji23][emoji23]
Wewe ni tajiri?
 
Umasikini ni tatizo kubwa kuliko tulivyodhani. Hua unaondoa kabisa uwezo wa mtu wa kufikiri.
 
Back
Top Bottom