Umnyooshe nani kwa mfano?Huoni we ndo umenyooshwa hadi unakuja kulia lia hapa!Fanyia biashara kazi uliyosomea kwani lazima ulazimishe biashara ya dawa?Tatizo mnaona maisha rahisi rahisihospitali hatutafungua, tutaendelea kuwanyoosha wafamasia hadi mtia adabu.