Mfano CHADEMA imeshinda na kimekuwa chama tawala hapa nchini, unadhani nini kitabadilika?

Mfano CHADEMA imeshinda na kimekuwa chama tawala hapa nchini, unadhani nini kitabadilika?

New ID l

JF-Expert Member
Joined
Apr 3, 2017
Posts
248
Reaction score
480
Huwa nawashangaa sana baadhi ya watanzania kutanuka mishipa ya shingo kwa kutaka CCM ipigwe chini na kikae chama kingine madarakani.

Ni upuuzi, ujinga na ukosefu wa akili.

Watu ni walewale, nchi ni hiihii kama ulikuwa hujui!

Acha kupoteza muda na kushabikia ulaji wa wenzako. Hao wote ni kitu kimoja, nje maadui ndani familia moja.

Halafu kama huna mzazi au ndugu aliye na nyadhifa yoyote Serikalini, wewe takataka tu hapa nchini.

Wacha kuwapigia debe wasiokujua, kwa kufanya hivyo ni kuzitengenezea ulaji familia zao!

(wana macho 👀 lakini hawaoni, wana masikio👂 lakini hawasikii )
 
Hatuwezi fanyia kazi ndoto za alinacha
 
Utashuhudia yafuatayo; katiba mpya itakayothamini wajibu wa kisheria, elimu bora sio uchafu huu, serikali ya only 15 departments, mikoa 20 tu, wilaya zisizozidi 100, (serikali ndogo yenye ufanisi wa hali ya juu)key positions kuweka autocratics personnel ili ufanisi uwepo, pls tembelea 🇿🇲 uone jinsi president H&H anavyoisuka nchi, utapenda na rate ya ZWK against Tshs ni 1zwk=130tshs, 1zwk=17usd, 1zwk =1zar!!!
 
Nchi itapata university Teaching Hospital
 
Utashuhudia yafuatayo;katiba mpya itakayothamini wajibu wa kisheria, elimu bora sio uchafu huu, serikali ya only 15 departments, mikoa 20 tu ,wilaya zisizozidi 100,(serikali ndogo yenye ufanisi wa hali ya juu)key positions kuweka autocratics personnel ili ufanisi uwepo, pls tembelea 🇿🇲 uone jinsi president H&H anavyoisuka nchi, utapenda na rate ya ZWK against Tshs ni 1zwk=130tshs,1zwk=17usd, 1zwk =1zar!!!
Wakati huo wewe ukiwa kama nani hapo
 
Ubaguzi utakuwa mbele moshi litakuwa jiji wachaga watajazana kila kona

Binafsi nishaapa kwa mugu chadema akiingia madarakani naacha kazi nakuwa jambazi kama Al shabab siwezi ongoza na wabaguzi
 
Huwa nawashangaa sana baadhi ya watanzania kutanuka mishipa ya shingo kwa kutaka CCM ipigwe chini na kikae chama kingine madarakani!

Ni upuuzi, ujinga na ukosefu wa akili.

Watu ni walewale, nchi ni hiihii kama ulikuwa hujui!

Acha kupoteza muda na kushabikia ulaji wa wenzako. Hao wote ni kitu kimoja, nje maadui ndani familia moja.

Halafu kama huna mzazi au ndugu aliye na nyadhifa yoyote s
Serikalini, wewe takataka tu hapa nchini.

Wacha kuwapigia debe wasiokujua, kwa kufanya hivyo ni kuzitengenezea ulaji familia zao!

( wanamacho 👀 lakini hawaoni, wana masikio👂 lakini hawasikii )
Hakuna lolote.

Hasa hasa wataanza kuilaumu ccm kuwa imeharibu nchi.
Watatumia kauli ya meko ya kuwa tuwaache wainyooshe nchi
 
Huwa nawashangaa sana baadhi ya watanzania kutanuka mishipa ya shingo kwa kutaka CCM ipigwe chini na kikae chama kingine madarakani!

Ni upuuzi, ujinga na ukosefu wa akili.

Watu ni walewale, nchi ni hiihii kama ulikuwa hujui!

Acha kupoteza muda na kushabikia ulaji wa wenzako. Hao wote ni kitu kimoja, nje maadui ndani familia moja.

Halafu kama huna mzazi au ndugu aliye na nyadhifa yoyote s
Serikalini, wewe takataka tu hapa nchini.

Wacha kuwapigia debe wasiokujua, kwa kufanya hivyo ni kuzitengenezea ulaji familia zao!

( wanamacho 👀 lakini hawaoni, wana masikio👂 lakini hawasikii )
Kiuhalisia, hawana la maana hata wakishika nchi, dalili zinaonesha na wao ni wa madili tu huenda zaidi ya ccm. Wataanza kujenga ofisi maana hawana, kutumia v8 maana hawana, ndg zao waonekane nao ni watu mbele ya watu. Huwezi kuupinga wizi wa Lowersir kiasi kile halafu baadae ukaja kumsimamisha huyo huyo mwizi eti mgombea urais kupitia chama chako halafu tukuelewe eti una dhamira ya dhati ya kuiongoza nchi. HAPANA.
 
Hakuna lolote.

Hasa hasa wataanza kuilaumu ccm kuwa imeharibu nchi.
Watatumia kauli ya meko ya kuwa tuwaache wainyooshe nchi
Hata alipoondoka mpita njia, wenyeji walianza kumlaumu mpita njia kuwa miradi mingi ni miradi hasara!
 
Back
Top Bottom