Mfano CHADEMA imeshinda na kimekuwa chama tawala hapa nchini, unadhani nini kitabadilika?

Mfano CHADEMA imeshinda na kimekuwa chama tawala hapa nchini, unadhani nini kitabadilika?

Huwa nawashangaa sana baadhi ya watanzania kutanuka mishipa ya shingo kwa kutaka CCM ipigwe chini na kikae chama kingine madarakani.

Ni upuuzi, ujinga na ukosefu wa akili.

Watu ni walewale, nchi ni hiihii kama ulikuwa hujui!

Acha kupoteza muda na kushabikia ulaji wa wenzako. Hao wote ni kitu kimoja, nje maadui ndani familia moja.

Halafu kama huna mzazi au ndugu aliye na nyadhifa yoyote Serikalini, wewe takataka tu hapa nchini.

Wacha kuwapigia debe wasiokujua, kwa kufanya hivyo ni kuzitengenezea ulaji familia zao!

(wana macho [emoji102] lakini hawaoni, wana masikio[emoji101] lakini hawasikii )
Walaji watabadilika, hilo nalo ni muhimu.
 
Huwa sielewi hili taifa lina watu wa aina gani. Elimu inapaswa kumtoa mtu kwenye ujinga na kumleta kwenye ufahamu, lakini elimu ya Tanzania onamtoa mtu kwenye fahamu ndogo alizozaliwa nazo na kuwa mpumbavu kabisa. Ni mpumbavu kwa sababu angekuwa mjinga angeelimika kwa kupata elimu. Asanteni
 
Kwani wakiwa wengi kuna shida gani? Unapowabana watu wajiingie kwenye ajira za serikali watatengeneza utajiri kupitia sekta binafsi. Matokeo yake serikali itakuwa watumwa wao.

Hili lilishajitokeza miaka ya 1800's na mwanzoni mwa 1900's. Serekali za Ulaya zilipiga marufuku Wayahudi wasiajiriwe serikali wala wasiwe na kazi zozote professional. Matokeo yake baada ya muda Wayahudi wakawa ndiyo wenye kushilikilia biashara zote kubwa za maana. Hiki ndiyo kitatokea unapobinya watu fulani wasiajiriwe serikalini.

Ni kama Wahindi au Waarab hapa Tz. Hawaajiriwi serikalini ila ndiyo wamiliki wa njia kuu za uchumi.
Nchi Ina makabila 120,wajae kabila moja ofisini uone sawa!!...unaugua!?
 
huwa nawaza hii, yani wapinzani wangepewa hata mwaka mmoja kushika nchi tuone ambacho wangefanya
 
Huwa nawashangaa sana baadhi ya watanzania kutanuka mishipa ya shingo kwa kutaka CCM ipigwe chini na kikae chama kingine madarakani.

Ni upuuzi, ujinga na ukosefu wa akili.

Watu ni walewale, nchi ni hiihii kama ulikuwa hujui!

Acha kupoteza muda na kushabikia ulaji wa wenzako. Hao wote ni kitu kimoja, nje maadui ndani familia moja.

Halafu kama huna mzazi au ndugu aliye na nyadhifa yoyote Serikalini, wewe takataka tu hapa nchini.

Wacha kuwapigia debe wasiokujua, kwa kufanya hivyo ni kuzitengenezea ulaji familia zao!

(wana macho 👀 lakini hawaoni, wana masikio👂 lakini hawasikii )

Mbona wewe mwenyewe umeshasema kitakachobadilika au haukuelewa ulichosema🤔🤔​

Hiki kitakuwa kimebadikika "....CHADEMA imeshinda na kimekuwa chama tawala hapa nchini,....."​

 
Binafsi ni mwana CCM
Nafikiri yafuatayo katika madaraka ya hawa wenzetu ijapo kuwa haiwezekani wao kutwaa nchi.
1. Kubadilika kwa mfumo wa elimu, kutakuwa na mifumo ya kisasa na rugha ya kiingereza mwanzoni wa utawala wao
2. Kushamiri kwa sekta ya biashara na mabenki na kilimo cha kisasa kitakacho wasahau sana wanyonge.
2. Mzunguko mkubwa wa fedha na kupanda kwa bei itakuwa wastani.
3. Kuwekwa kizuizini, kufutwa kazi kwa wakurugenzi na wataalamu wengi wa serikali. Utendaji kazi utakuwa wa mzuka mzuka.
4. Idara nyingi zitajaa watu kwa upended na sio professional
5. Ukanda.
6. Mabadiliko ya katiba na kupata katiba bora mwanzoni mwa mamlaka yao
7. Mabadiliko ya katiba na kutengeneza utawala wa kifalme baada ya miaka mnne.
8. Kuvunjika kwa Muungano
Tena waanze na no.8
 
Huwa sielewi hili taifa lina watu wa aina gani. Elimu inapaswa kumtoa mtu kwenye ujinga na kumleta kwenye ufahamu, lakini elimu ya Tanzania onamtoa mtu kwenye fahamu ndogo alizozaliwa nazo na kuwa mpumbavu kabisa. Ni mpumbavu kwa sababu angekuwa mjinga angeelimika kwa kupata elimu. Asanteni
Na tafiti zinaonyesha kuwa walimu wetu wanauelewa mdogo sana kuliko kada nyingine, mfano mwalimu hauwezi kumlinganisha na mwanasheria kwa uelewa wa mambo japo wote wana degree 1 au 2
 
Utashuhudia yafuatayo; katiba mpya itakayothamini wajibu wa kisheria, elimu bora sio uchafu huu, serikali ya only 15 departments, mikoa 20 tu, wilaya zisizozidi 100, (serikali ndogo yenye ufanisi wa hali ya juu)key positions kuweka autocratics personnel ili ufanisi uwepo, pls tembelea 🇿🇲 uone jinsi president H&H anavyoisuka nchi, utapenda na rate ya ZWK against Tshs ni 1zwk=130tshs, 1zwk=17usd, 1zwk =1zar!!

Huwa nawashangaa sana baadhi ya watanzania kutanuka mishipa ya shingo kwa kutaka CCM ipigwe chini na kikae chama kingine madarakani.

Ni upuuzi, ujinga na ukosefu wa akili.

Watu ni walewale, nchi ni hiihii kama ulikuwa hujui!

Acha kupoteza muda na kushabikia ulaji wa wenzako. Hao wote ni kitu kimoja, nje maadui ndani familia moja.

Halafu kama huna mzazi au ndugu aliye na nyadhifa yoyote Serikalini, wewe takataka tu hapa nchini.

Wacha kuwapigia debe wasiokujua, kwa kufanya hivyo ni kuzitengenezea ulaji familia zao!

(wana macho 👀 lakini hawaoni, wana masikio👂 lakini hawasikii )
Hawa jamaa ni wabunifu sn.
 
Huwa nawashangaa sana baadhi ya watanzania kutanuka mishipa ya shingo kwa kutaka CCM ipigwe chini na kikae chama kingine madarakani.

Ni upuuzi, ujinga na ukosefu wa akili.

Watu ni walewale, nchi ni hiihii kama ulikuwa hujui!

Acha kupoteza muda na kushabikia ulaji wa wenzako. Hao wote ni kitu kimoja, nje maadui ndani familia moja.

Halafu kama huna mzazi au ndugu aliye na nyadhifa yoyote Serikalini, wewe takataka tu hapa nchini.

Wacha kuwapigia debe wasiokujua, kwa kufanya hivyo ni kuzitengenezea ulaji familia zao!

(wana macho 👀 lakini hawaoni, wana masikio👂 lakini hawasikii )
Usitege watu ,ZAMBIA MABADILIKO YAO WAYAONAJE?
 
Kwani wakiwa wengi kuna shida gani? Unapowabana watu wajiingie kwenye ajira za serikali watatengeneza utajiri kupitia sekta binafsi. Matokeo yake serikali itakuwa watumwa wao.

Hili lilishajitokeza miaka ya 1800's na mwanzoni mwa 1900's. Serekali za Ulaya zilipiga marufuku Wayahudi wasiajiriwe serikali wala wasiwe na kazi zozote professional. Matokeo yake baada ya muda Wayahudi wakawa ndiyo wenye kushilikilia biashara zote kubwa za maana. Hiki ndiyo kitatokea unapobinya watu fulani wasiajiriwe serikalini.

Ni kama Wahindi au Waarab hapa Tz. Hawaajiriwi serikalini ila ndiyo wamiliki wa njia kuu za uchumi.
Umenena vyema ndg hata Nyerere mwanzo alijaribu Sana kuwatoa wachaga serikalini matokeo yake wakashika uchumi wa nchi Kwa kujikita kwenye biashara tatizo vijana wengi hawajui historia ya nchi hii wanafichwa mengi Sana Sanasana wanafundishwa kumsujudia beberu[emoji3]
 
Wote wale wale tu, wanapigania matumbo yao.
 
Huwa nawashangaa sana baadhi ya watanzania kutanuka mishipa ya shingo kwa kutaka CCM ipigwe chini na kikae chama kingine madarakani.

Ni upuuzi, ujinga na ukosefu wa akili.

Watu ni walewale, nchi ni hiihii kama ulikuwa hujui!

Acha kupoteza muda na kushabikia ulaji wa wenzako. Hao wote ni kitu kimoja, nje maadui ndani familia moja.

Halafu kama huna mzazi au ndugu aliye na nyadhifa yoyote Serikalini, wewe takataka tu hapa nchini.

Wacha kuwapigia debe wasiokujua, kwa kufanya hivyo ni kuzitengenezea ulaji familia zao!

(wana macho 👀 lakini hawaoni, wana masikio👂 lakini hawasikii )
ukiweka KATIBA yenye kipengere cha kumshitaki raisi au kupigiwa vote of no confidence bungeni CHAMA chochote wacha kitawale na kitafanya mambo mazuri kwa maslahi ya taifa. ila kama katiba haimshitaki kiongozi mtawala ujue hakuna chama kitakacho nufaisha wananchi kamwe.
 
Umenena vyema ndg hata Nyerere mwanzo alijaribu Sana kuwatoa wachaga serikalini matokeo yake wakashika uchumi wa nchi Kwa kujikita kwenye biashara tatizo vijana wengi hawajui historia ya nchi hii wanafichwa mengi Sana Sanasana wanafundishwa kumsujudia beberu[emoji3]
hivi Urusi na China sio miongoni mwa mabebebru? acha chuki na nchi ambazo ni zimeeneza christianity!
 
Kwa utafiti upi ulofanya? Hii sio miaka ya 90 mzee! Wanafunzi wengi vyuoni wanatokea mikoa yote! Hakuna cha moshi wala bukoba mzee! Kuweni wapole! Kuna kamsemo kanasema ''Binadamu unaweza kumdanganya lakini huwezi kumdanganya Siku Zote" Hata nyinyi fursa za bure zilikiwa miaka hiyo! Saizi pambaneni na mambo yenu!
Na wewe kwa utafiti upi uliofanya kwamba walikua wanapewa fursa za bure
 
Back
Top Bottom