Mfano CHADEMA imeshinda na kimekuwa chama tawala hapa nchini, unadhani nini kitabadilika?

Mfano CHADEMA imeshinda na kimekuwa chama tawala hapa nchini, unadhani nini kitabadilika?

Kwani kuna mtu bado anaaminishwa CHADEMA ikichukua nchi ndio maisha yake binafsi yatakuwa bora. Hili nalo ni tatizo la afya ya akili. Kweli waafrika tunatumia asilimia 5 tu ya ubongo wetu.🤣🤣
 
..aisee hii nchi bado sana huyu nae ni msomi na hapa kafikiri kabisa kwenye kuanzisha huu Uzi.
 
Back
Top Bottom