The Puncher Member Joined Mar 5, 2019 Posts 11 Reaction score 5 May 31, 2022 #61 Kwani kuna mtu bado anaaminishwa CHADEMA ikichukua nchi ndio maisha yake binafsi yatakuwa bora. Hili nalo ni tatizo la afya ya akili. Kweli waafrika tunatumia asilimia 5 tu ya ubongo wetu.🤣🤣
Kwani kuna mtu bado anaaminishwa CHADEMA ikichukua nchi ndio maisha yake binafsi yatakuwa bora. Hili nalo ni tatizo la afya ya akili. Kweli waafrika tunatumia asilimia 5 tu ya ubongo wetu.🤣🤣
Tindo JF-Expert Member Joined Sep 28, 2011 Posts 63,730 Reaction score 111,542 May 31, 2022 #62 WIGWA said: tutegemee nchi kuuzwa Click to expand... Mara 2?
Inside10 JF-Expert Member Joined May 20, 2011 Posts 29,909 Reaction score 32,414 May 31, 2022 #63 ..aisee hii nchi bado sana huyu nae ni msomi na hapa kafikiri kabisa kwenye kuanzisha huu Uzi.