Mfano siku ikibainika kula bila kumenya kunaongeza umri wa kuishi hadi miaka 200, tutajiona wajinga sana

Mfano siku ikibainika kula bila kumenya kunaongeza umri wa kuishi hadi miaka 200, tutajiona wajinga sana

dmkali

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2014
Posts
11,793
Reaction score
22,552
Hivi kwa mfano;

Ikabainika kwamba kula vyakula bila kumenya ndiyo chanzo cha umri mrefu duniani itakuwaje!

Ujue ukitafakari sayansi ya watu wa zamani kuishi miaka mia 600 au mia 400!

Unashindwa kabisa kuelewa siri imefichwa wapi hadi sahivi watu waitafte 100 kwa mbinde!

Mi nazani siri hii haiko mbali sana, lakini kwa vile imefichwa kwavile utafiti wake unahitaji miaka mingi sana thus hautafutwi.

Mimi Nina wazo! Taasisi ya utafiti zinaonaje kupeleka mswada wa sheria ya utafiti!

Ili iruhusu kizazi cha majaribio, wachukue mwanaume na mwanamke watiane mimba then mtoto akalelewe porini kama mnyama! (Watu wa kujitolea mbegu hawakosi!

Ili wachunguze mwenendo wa ukuaji wa huyu binadamu pori anaekula matunda bila kisu, na kula mizizi au mihogo pasipo kumenya like ganda la inje! Wachukue sampo kama mia waangalie wataishi miaka mingapi!

Kuna uwezekano mkubwa chanzo kikubwa cha kuishi miaka mingi ikawa ni kula bila kumenya! Na kusafiri kwa miguu pasipo kupoteza mda kusoma elimu dunia!

Nimewaza hivyo kwasababu watu wa zamani siyo kwamba walikuwa wema sana kuliko sisi! Kama umalaya walifanya, walioa wake wengi lakini bado waliishi miaka mingi!

Hivyo yamkini chanzo cha kufupisha umri ni hii sayansi tuliojinasibu kuwa ndo afya! Kupanda ndege,nagari, vyakula vya kukoboa,lost, tissue, miswaki yenye sawa, maji ya chupa n.k

Ni wazo tu lakini naomba nisishambuliwe!
 
images - 2021-06-10T183832.340.jpeg
images - 2021-06-10T183955.647.jpeg
 
Huyo mtu wa sample amevaa rozari sio wa zamani,nyuma yake kuna nyumba ya kisasa tu,walioishi miaka 600 ni biblical ambao maisha yao yalikuwa ya kistaarabu na kisasa pia,wale wa porini waliishi muda mfupi kwa sababu vyakula vyao vilikuwa na bacteria wengi lakini walisurvive kwa sababu walioa mapema na kuzaa sana bila majukumu ya kisasa.
.
 
Huyo mtu wa sample amevaa rozari sio wa zamani,nyuma yake kuna nyumba ya kisasa tu,walioishi miaka 600 ni biblical ambao maisha yao yalikuwa ya kistaarabu na kisasa pia,wale wa porini waliishi muda mfupi kwa sababu vyakula vyao vilikuwa na bacteria wengi lakini walisurvive kwa sababu walioa mapema na kuzaa sana bila majukumu ya kisasa.
.
Duh walioa mapema
 
Huyo mtu wa sample amevaa rozari sio wa zamani,nyuma yake kuna nyumba ya kisasa tu,walioishi miaka 600 ni biblical ambao maisha yao yalikuwa ya kistaarabu na kisasa pia,wale wa porini waliishi muda mfupi kwa sababu vyakula vyao vilikuwa na bacteria wengi lakini walisurvive kwa sababu walioa mapema na kuzaa sana bila majukumu ya kisasa.
.
Labda hawa
1623735111070.png
1623735206128.png
1623735284772.png
 
Kweli wakibalehe tu ndoa na mengineyo, na ustaarabu ulikuwa kuwinda na kuchimba mizizi na kuchuma matunda na majani.

Ila kula bila kumenya papai, chungwa, tikiti, parachichi daah wacha niishi miaka yangu 70. Inatosha

Everyday is Saturday............................... 😎
Noma sana
 
Kuna muethiopia mmoja nilikuwa nafanya nae kazi yeye alikuwa boss akawa ananiagiza nikamnunulie mpunga ambao haujakobolewa. Yule bwana akawa anausaga mpunga na maganda yake halafu unga anatengeneza chapati.
Hizo chapati ziliiva?
 
Hiv we jamaa ulishawai kula barungi bila kulimenya?
 
Hivi kwa mfano;
Ikabainika kwamba kula vyakula bila kumenya ndiyo chanzo cha umri mrefu duniani itakuwaje!

Ujue ukitafakari sayansi ya watu wa zamani kuishi miaka mia 600 au mia 400!
Unashindwa kabisa kuelewa siri imefichwa wapi hadi sahivi watu waitafte 100 kwa mbinde!

Mi nazani siri hii haiko mbali sana, lakini kwa vile imefichwa kwavile utafiti wake unahitaji miaka mingi sana thus hautafutwi.

Mimi Nina wazo! Taasisi ya utafiti zinaonaje kupeleka mswada wa sheria ya utafiti!
Ili iruhusu kizazi cha majaribio, wachukue mwanaume na mwanamke watiane mimba then mtoto akalelewe porini kama mnyama! (Watu wa kujitolea mbegu hawakosi!

Ili wachunguze mwenendo wa ukuaji wa huyu binadamu pori anaekula matunda bila kisu, na kula mizizi au mihogo pasipo kumenya like ganda la inje! Wachukue sampo kama mia waangalie wataishi miaka mingapi!

Kuna uwezekano mkubwa chanzo kikubwa cha kuishi miaka mingi ikawa ni kula bila kumenya! Na kusafiri kwa miguu pasipo kupoteza mda kusoma elimu dunia!

Nimewaza hivyo kwasababu watu wa zamani siyo kwamba walikuwa wema sana kuliko sisi! Kama umalaya walifanya, walioa wake wengi lakini bado waliishi miaka mingi!

Hivyo yamkini chanzo cha kufupisha umri ni hii sayansi tuliojinasibu kuwa ndo afya! Kupanda ndege,nagari, vyakula vya kukoboa,lost, tissue, miswaki yenye sawa, maji ya chupa n.k

Ni wazo tu lakini naomba nisishambuliwe!
Naomba kuchangia hii mada.

Binafsi ninakuwa nawaza sana mambo mbalimbali ikiwemo hili la matunda.

Akili yangu inaniambia avyakula vya kumenya kwi tumenye kwa sababu yale maganda ni kama nguo.

Ila vile vilivyokuwepo ndani ya tunda mfano mbegu ya kungwa kwa nini tuitupe ile mbegu wakati ipo ndani ya chungwa ?
Ni kweli mungu aweke sumu ama kitu kisicho na faida kwa afya ndani ya chungwa karibu karibu hivyo kweli ?

Mbegu ya chungwa ina faida zake ninavyodhani mimi kwa sababu haiwezekani iwekwe karibu na chungwa.


Mimi ninachowaza ni kuwa kila kinachopatikana kwenye tunda ama chakula chochote baada ya kumenya basi hiko ni salama na kina faida ambazo zimejificha katika mwili

Achilia mbali faida ya kuwa ukiipanda inazaa.

Maaana yake lile mbegu la chungwa ndio chungwa lenyewe ukila umekula chungwa la baadae.
 
B
Kuna muethiopia mmoja nilikuwa nafanya nae kazi yeye alikuwa boss akawa ananiagiza nikamnunulie mpunga ambao haujakobolewa. Yule bwana akawa anausaga mpunga na maganda yake halafu unga anatengeneza chapati.
Akili yangu inaniambia kwamba maganda ya matunda mengi tunayokula kama ambavyo yanalinda chungwa basi pengine na sisi tukiyala yatalinda mwili licha ya kuongeza vitamini tunda la ndani

Hivi mfano ganda la chungwa lile kweli halina faida labda liwe na kemikali za kuuwa wadudu wabaya.

Kwa nini liwe vile na litoe majimaji alafu lipo njee bwana.

Kinachofupisha maisha ya binadamu wa sasa ni ulaji wa nyama...
Mmmh.
 
Yani unamaanisha kama unatka kula nazi ni unachuma kwenye mti na kuanza kula kwa kumeza nzima nzima!!!!
Kwani nyani anakula nazi nzima nzima? Anataka tule kama nyani. Nyani nae anamenya ila sisi binadamu tunamenya kupitiliza.Mfano sisi tunakula nazi kwa kuikuna kwanza huku ukiacha ganda fulani ambalo linalika halafu machicha yake unatupa, lakini nyani atakula nazi yote ile inayolika bila kutema machicha.
 
Back
Top Bottom