Hajto
JF-Expert Member
- Sep 30, 2013
- 5,646
- 5,606
Kwa wenye pesa ndio inawafaa wakiishi miaka mingi,Kuishi duniani kazi ngumu sanaa... af unatak tuongeze miak 200 bro! u need to think [emoji125]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa wenye pesa ndio inawafaa wakiishi miaka mingi,Kuishi duniani kazi ngumu sanaa... af unatak tuongeze miak 200 bro! u need to think [emoji125]
Lakini mbona mifugo inakula bila kumenya na inaishi muda mfupi kuliko sisi?
Kuna ng'ombe anaweza kuishi miaka 50? Au mbuzi wa miaka 30?Mifugo haiishi muda mfupi ila binadamu tunaikatili kwasababu ya kitoweo.
Kuna ng'ombe anaweza kuishi miaka 50? Au mbuzi wa miaka 30?
Labda na wao waanze kumenyewa SasaLakini mbona mifugo inakula bila kumenya na inaishi muda mfupi kuliko sisi?
Wataliwa na simba ndani ya masaa24Hivi kwa mfano;
Ikabainika kwamba kula vyakula bila kumenya ndiyo chanzo cha umri mrefu duniani itakuwaje!
Ujue ukitafakari sayansi ya watu wa zamani kuishi miaka mia 600 au mia 400!
Unashindwa kabisa kuelewa siri imefichwa wapi hadi sahivi watu waitafte 100 kwa mbinde!
Mi nazani siri hii haiko mbali sana, lakini kwa vile imefichwa kwavile utafiti wake unahitaji miaka mingi sana thus hautafutwi.
Mimi Nina wazo! Taasisi ya utafiti zinaonaje kupeleka mswada wa sheria ya utafiti!
Ili iruhusu kizazi cha majaribio, wachukue mwanaume na mwanamke watiane mimba then mtoto akalelewe porini kama mnyama! (Watu wa kujitolea mbegu hawakosi!
Ili wachunguze mwenendo wa ukuaji wa huyu binadamu pori anaekula matunda bila kisu, na kula mizizi au mihogo pasipo kumenya like ganda la inje! Wachukue sampo kama mia waangalie wataishi miaka mingapi!
Kuna uwezekano mkubwa chanzo kikubwa cha kuishi miaka mingi ikawa ni kula bila kumenya! Na kusafiri kwa miguu pasipo kupoteza mda kusoma elimu dunia!
Nimewaza hivyo kwasababu watu wa zamani siyo kwamba walikuwa wema sana kuliko sisi! Kama umalaya walifanya, walioa wake wengi lakini bado waliishi miaka mingi!
Hivyo yamkini chanzo cha kufupisha umri ni hii sayansi tuliojinasibu kuwa ndo afya! Kupanda ndege,nagari, vyakula vya kukoboa,lost, tissue, miswaki yenye sawa, maji ya chupa n.k
Ni wazo tu lakini naomba nisishambuliwe!
Bora kuishi miaka michache ya raha kuliko kuishi miaka mingi ya Shida.Wataliwa na simba ndani ya masaa24
Nyani anaishi miaka mingapi?Kwani nyani anakula nazi nzima nzima? Anataka tule kama nyani. Nyani nae anamenya ila sisi binadamu tunamenya kupitiliza.Mfano sisi tunakula nazi kwa kuikuna kwanza huku ukiacha ganda fulani ambalo linalika halafu machicha yake unatupa, lakini nyani atakula nazi yote ile inayolika bila kutema machicha.
Hili swali aulizwe mleta maada yeye ndie anataka tule kama tumbili anavyokula.Nyani anaishi miaka mingapi?
Wataishije wakati wanachinjwa chrismass na Iddi?Kuna ng'ombe anaweza kuishi miaka 50? Au mbuzi wa miaka 30?
Aisee hii michache tu ni mateso Tosha hasa kwa binadamu ambao tunasindikiza wenzetu kimaisha hapa ulimwenguni😅Hivi kwa mfano;
Ikabainika kwamba kula vyakula bila kumenya ndiyo chanzo cha umri mrefu duniani itakuwaje!
Ujue ukitafakari sayansi ya watu wa zamani kuishi miaka mia 600 au mia 400!
Unashindwa kabisa kuelewa siri imefichwa wapi hadi sahivi watu waitafte 100 kwa mbinde!
Mi nazani siri hii haiko mbali sana, lakini kwa vile imefichwa kwavile utafiti wake unahitaji miaka mingi sana thus hautafutwi.
Mimi Nina wazo! Taasisi ya utafiti zinaonaje kupeleka mswada wa sheria ya utafiti!
Ili iruhusu kizazi cha majaribio, wachukue mwanaume na mwanamke watiane mimba then mtoto akalelewe porini kama mnyama! (Watu wa kujitolea mbegu hawakosi!
Ili wachunguze mwenendo wa ukuaji wa huyu binadamu pori anaekula matunda bila kisu, na kula mizizi au mihogo pasipo kumenya like ganda la inje! Wachukue sampo kama mia waangalie wataishi miaka mingapi!
Kuna uwezekano mkubwa chanzo kikubwa cha kuishi miaka mingi ikawa ni kula bila kumenya! Na kusafiri kwa miguu pasipo kupoteza mda kusoma elimu dunia!
Nimewaza hivyo kwasababu watu wa zamani siyo kwamba walikuwa wema sana kuliko sisi! Kama umalaya walifanya, walioa wake wengi lakini bado waliishi miaka mingi!
Hivyo yamkini chanzo cha kufupisha umri ni hii sayansi tuliojinasibu kuwa ndo afya! Kupanda ndege,nagari, vyakula vya kukoboa,lost, tissue, miswaki yenye sawa, maji ya chupa n.k
Ni wazo tu lakini naomba nisishambuliwe!
Tatizo tunajilinganisha na wengineAisee hii michache tu ni mateso Tosha hasa kwa binadamu ambao tunasindikiza wenzetu kimaisha hapa ulimwenguni😅
Usipojilinganisha utaji assess vipi?Tatizo tunajilinganisha na wengine
Hatuwez wrote kuwa kama bakhresaUsipojilinganisha utaji assess vipi?
Kwa nini tusiangalie nyani na tumbili wanaishi kwa muda gani? Wao sio kila kitu wanachokula wanamenya.Hivi kwa mfano;
Ikabainika kwamba kula vyakula bila kumenya ndiyo chanzo cha umri mrefu duniani itakuwaje!
Ujue ukitafakari sayansi ya watu wa zamani kuishi miaka mia 600 au mia 400!
Unashindwa kabisa kuelewa siri imefichwa wapi hadi sahivi watu waitafte 100 kwa mbinde!
Mi nazani siri hii haiko mbali sana, lakini kwa vile imefichwa kwavile utafiti wake unahitaji miaka mingi sana thus hautafutwi.
Mimi Nina wazo! Taasisi ya utafiti zinaonaje kupeleka mswada wa sheria ya utafiti!
Ili iruhusu kizazi cha majaribio, wachukue mwanaume na mwanamke watiane mimba then mtoto akalelewe porini kama mnyama! (Watu wa kujitolea mbegu hawakosi!
Ili wachunguze mwenendo wa ukuaji wa huyu binadamu pori anaekula matunda bila kisu, na kula mizizi au mihogo pasipo kumenya like ganda la inje! Wachukue sampo kama mia waangalie wataishi miaka mingapi!
Kuna uwezekano mkubwa chanzo kikubwa cha kuishi miaka mingi ikawa ni kula bila kumenya! Na kusafiri kwa miguu pasipo kupoteza mda kusoma elimu dunia!
Nimewaza hivyo kwasababu watu wa zamani siyo kwamba walikuwa wema sana kuliko sisi! Kama umalaya walifanya, walioa wake wengi lakini bado waliishi miaka mingi!
Hivyo yamkini chanzo cha kufupisha umri ni hii sayansi tuliojinasibu kuwa ndo afya! Kupanda ndege,nagari, vyakula vya kukoboa,lost, tissue, miswaki yenye sawa, maji ya chupa n.k
Ni wazo tu lakini naomba nisishambuliwe!
Salaam. Mimi ninaona kwanza tujiulize, je hao walioishi miaka 600, hiyo miaka ilikuwa na siku 365 kama ilivyo kwa miaka yetu? Maana inaweza kuwa siyo. Ikawa pungufu.Hivi kwa mfano;
Ikabainika kwamba kula vyakula bila kumenya ndiyo chanzo cha umri mrefu duniani itakuwaje!
Ujue ukitafakari sayansi ya watu wa zamani kuishi miaka mia 600 au mia 400!
Unashindwa kabisa kuelewa siri imefichwa wapi hadi sahivi watu waitafte 100 kwa mbinde!
Mi nazani siri hii haiko mbali sana, lakini kwa vile imefichwa kwavile utafiti wake unahitaji miaka mingi sana thus hautafutwi.
Mimi Nina wazo! Taasisi ya utafiti zinaonaje kupeleka mswada wa sheria ya utafiti!
Ili iruhusu kizazi cha majaribio, wachukue mwanaume na mwanamke watiane mimba then mtoto akalelewe porini kama mnyama! (Watu wa kujitolea mbegu hawakosi!
Ili wachunguze mwenendo wa ukuaji wa huyu binadamu pori anaekula matunda bila kisu, na kula mizizi au mihogo pasipo kumenya like ganda la inje! Wachukue sampo kama mia waangalie wataishi miaka mingapi!
Kuna uwezekano mkubwa chanzo kikubwa cha kuishi miaka mingi ikawa ni kula bila kumenya! Na kusafiri kwa miguu pasipo kupoteza mda kusoma elimu dunia!
Nimewaza hivyo kwasababu watu wa zamani siyo kwamba walikuwa wema sana kuliko sisi! Kama umalaya walifanya, walioa wake wengi lakini bado waliishi miaka mingi!
Hivyo yamkini chanzo cha kufupisha umri ni hii sayansi tuliojinasibu kuwa ndo afya! Kupanda ndege,nagari, vyakula vya kukoboa,lost, tissue, miswaki yenye sawa, maji ya chupa n.k
Ni wazo tu lakini naomba nisishambuliwe!