Pamoja boss. Nimekuelewa sana mkuu.Mkuu heshima kwako. Ujumbe wako umenigusa kichiz inabid nijirekebishe. But my hands are tide there's nothing i can do stopping boosting my soul (cha Arusha)
Lord help me!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pamoja boss. Nimekuelewa sana mkuu.Mkuu heshima kwako. Ujumbe wako umenigusa kichiz inabid nijirekebishe. But my hands are tide there's nothing i can do stopping boosting my soul (cha Arusha)
Lord help me!
Mbona hapo juu Mkuu Arushaone kasema kuwa jamaa ni pure Mchagga ila Arusha alihamia na Wazee wa Arusha wakampa jina la Mollel?Swali zuri...!
Baba yake ni Mwarusha, mama yake ni mchaga wa Rombo.
King yani nimehuzunika kichiz Lema kanyooosha😭😭😭😭😭Hapana wa Elerai Constructions, Northern Engineering ni Lema.
'mawe' unayo mjomba au uchuro tu?Very handsome like me
hawa ni wengi wamefanywa hii kitu, hizi dhambi hizi sijui lkn Mola wetu ndie anajua siku ya kiyama.
Unamfahamu vizuri huyu bwana na Wazazi wake?Mkuu heshima kwako. Ujumbe wako umenigusa kichiz inabid nijirekebishe. But my hands are tide there's nothing i can do stopping boosting my soul (cha Arusha)
Lord help me!
Ni kama Lowassa ni Mmeru pure ila alihamia umasainiMbona hapo juu Mkuu Arushaone kasema kuwa jamaa ni pure Mchagga ila Arusha alihamia na Wazee wa Arusha wakampa jina la Mollel?
Duuh! billion 7 simchezoKing yani nimehuzunika kichiz Lema kanyooosha[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
View attachment 1714588
Bashite na Baba yake ndio wamemfilisi kwa kumchomoa mzigo kama 9b.Sio kweli, kuna Northern Electrical na kuna Elerai Constructions co.
-Wa Northern Electrical ni ADAM MOLLEL
-Wa Elerai Construction ni LEMA na ambaye sasahv serikali imemfilisi sana kupitia ile kampuni inayotoa matofali mazito ya kerai i.e
Kerai Construction Company
Daaaaah Inasikitisha sana,sina wasiwasi na taarifa za kigogo!
Lowasa ni ukoo wa Mungure.Ni kama Lowassa ni Mmeru pure ila alihamia umasaini
Sasa Mungure si MmeruLowasa ni ukoo wa Mungure.
Hakuna Masai anaitwa Lowasa.
Ndio Lowasa ni Mmeru sio Mmasai.Sasa Mungure si Mmeru
😢Walimzushia wiki ile ingine na haikua kweli, ikasemekana alipelekwa Dar kwa matibabu.King yani nimehuzunika kichiz Lema kanyooosha😭😭😭😭😭
Hivi office yao ndio.wako Kijenge chini pale kwenye mafremu mapya mbele kidogo kwa Athumani chips ?.. Na chini kidogo ya daraja?Wamama wanaouza vichwa na miguu ya kuku wanaujua vyema mchango wa andrew george kwenye maisha yao na familia zao! Rip george.
Wewe acha wivu. Am very handsome
NEM ilikuwa yake na jamaa mwingine Adam Mollel, baadaye bidhaa za wachina zilipokuja kwa wingi kampuni ikazorota kama sio kufa kila mtu akaendelea na mishe zake, Adam akaanzisha Mollel Electric ambayo bado nadhani ipo na inafanya vizuri tuu, huyu ndio akaendelea na KAP, AGM nk nkKabla ya hii northern engineering kulikuwa na nyingine ikiitwa NEM, northern electrica---- ilikuwa njiro mtaa wa viwandani,ilikuwa ni ya mmasai akiitwa Mollel pia,ila sijui kama ni huyu Andrew george.
Kione...😏sio kwa ubaya mnabore sana sometimes Uzi uko formal tena wa msiba hivi hamuoni aibu? Mnaubadilisha kuongelea vitu kipuuzi havina kichwa wala miguu