TANZIA Mfanyabiashara Andrew Mollel afariki dunia (mmiliki wa Happy Sausages)

TANZIA Mfanyabiashara Andrew Mollel afariki dunia (mmiliki wa Happy Sausages)

Marehemu Andrew George hakuwa Masai au Mwarusha kama jina lake la mwisho lilivyo.

Alipokuja Arusha kutoka Moshi kwao alikaa vizuri na waarusha wakampa ukoo kwa heshima, naye akaamua kulitumia hilo jina la ukoo alilopewa kuanzia miaka hiyo na wazee wa kiarusha wakambariki kuanzia wakati huo akafanikiwa sana kimaisha.

Watoto wake Kelvin na Happy walipozaliwa wakakua walijua wao ni waarusha pia.

Apumzike kwa amani mzee wetu AGM
 
Marehemu Andrew George hakuwa Masai au Mwarusha kama jina lake la mwisho lilivyo.

Alipokuja Arusha kutoka Moshi kwao alikaa vizuri na waarusha wakampa ukoo kwa heshima, naye akaamua kulitumia hilo jina la ukoo alilopewa kuanzia miaka hiyo na wazee wa kiarusha wakambariki kuanzia wakati huo akafanikiwa sana kimaisha.

Watoto wake Kelvin na Happy walipozaliwa wakakua walijua wao ni waarusha pia.

Apumzike kwa amani mzee wetu AGM
Ametokea Moshi sehemu gani na jina lake la Ukoo ni lipi Mkuu?
 
View attachment 1714095
Mfanyabiashara maarufu mkoani Arusha, Andrew Mollel ambaye alikuwa mwanzilishi na Mkurugenzi wa kampuni mbalimbali mkoani Arusha amefariki dunia na kuibua simanzi kwa wakazi wengi wa jiji hilo.

Akizungumza na Mwananchi leo, Februari 28, Mbunge wa jimbo la Monduli , Fredrick Lowassa amesema kifo cha Mollel ni pigo kubwa katika jiji la Arusha kutokana na mchango wake.

Lowassa amesema taratibu za mazishi wa Mollel zinaendelea kufanywa na wanafamilia lakini, kubwa ambalo Arusha watamkumbuka ni kuandaa michoro ya mradi mkubwa wa nyumba za PPF zilizopo eneo la Kijenge jijini hapa ambalo lilikuwa ni eneo lake.

Mollel alikuwa pia ni mkurugenzi wa kampuni ya Happy Sausages ,Kijenge Animal Products Limited, Georges Center Ltd na AGM Holding na pia mjumbe wa bodi mbali mbali hapa nchini.

Mollel pia alikuwa ni rafiki wa karibu wa Waziri mkuu mstaafu Edward Lowassa.

Kifo cha mfanyabiashara huyu ni mfululizo wa vifo vya wafanyabiahara kadhaa katika jiji la Arusha katika siku za karibuni.
Huyu jamaa enzi za UNICTR walipiga sana hela za kodi za nyumba pale Njiro, maarufu kama PPF kupitia mradi wa AGM Holding japo kulikuwa na vimaneno kuwa alikuwa chawa wa EL
 
Mwanaume Mzima Kujiita Handsome ni Kiashiria kibaya sana na dalili tosha kuwa hauko Rijali vile vile. Free
Ugly boys wanajijua walivyo , the same to the handsome boys.
Bahati mbaya umkute kidume sura kama kibabu na pesa hana inakuwa noma sana.
 
Hivi ni kweli besti sababu kuu na ya kipekee mwanamke kuchanganyikiwa ni pale anampata mwanamume anayejua kugegegeda vizuri sana halafu huyo mwanamume ni maskini balaa hana hela
RIP mzee wetu, nina rafiki waliokuwa wamepata tenda wanasupply kwenye biashara yako.

Mkuu Nguseroh kuna siku moja taarifa ya kifo itakuwa yako, watu wako wa karibu watakuwa wanapigiwa na kuambiwa tuna habari mbaya, "Nguseroh katutoka" kwasabu wote ni njia moja tuonyeshe heshima kidogo hata kwenye nyuzi zinazomuhusu marehemu maana watu wake wa karibu wanazisoma au watazisoma. Ujumbe unaoandika unakaa hapa kwa miaka mingi sana mbeleni. Inshort, humu ni moja ya eneo la msiba. Onyesha heshima kwa kuepuka kutoa maoni ya ngono au kejeli zisizo na umuhimu kwenye eneo hili la Tanzia.
 
Hapana wa Elerai Constructions, Northern Engineering ni Lema.
Kabla ya hii northern engineering kulikuwa na nyingine ikiitwa NEM, northern electrica---- ilikuwa njiro mtaa wa viwandani,ilikuwa ni ya mmasai akiitwa Mollel pia,ila sijui kama ni huyu Andrew george.
 
Marehemu Andrew George hakuwa Masai au Mwarusha kama jina lake la mwisho lilivyo.

Alipokuja Arusha kutoka Moshi kwao alikaa vizuri na waarusha wakampa ukoo kwa heshima, naye akaamua kulitumia hilo jina la ukoo alilopewa kuanzia miaka hiyo na wazee wa kiarusha wakambariki kuanzia wakati huo akafanikiwa sana kimaisha.

Watoto wake Kelvin na Happy walipozaliwa wakakua walijua wao ni waarusha pia.

Apumzike kwa amani mzee wetu AGM
Je ni kweli kuwa baba au mama yake alikuwa mzungu?
 
Back
Top Bottom