dalalitz
JF-Expert Member
- Sep 6, 2013
- 3,423
- 1,987
Eee?Wewe acha wivu. Am very handsome
Basi hongera.
Nachelea, ipo siku utatutajia na sehemu zako nyingine zinazovutia, nafikiria kwa sauti tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Eee?Wewe acha wivu. Am very handsome
Mwanaume Mzima Kujiita Handsome ni Kiashiria kibaya sana na dalili tosha kuwa hauko Rijali vile vile.Very handsome like me
Vipi umepitia kule nini?Hahaha daah umenikumbusha mbali, kamanda
Ametokea Moshi sehemu gani na jina lake la Ukoo ni lipi Mkuu?Marehemu Andrew George hakuwa Masai au Mwarusha kama jina lake la mwisho lilivyo.
Alipokuja Arusha kutoka Moshi kwao alikaa vizuri na waarusha wakampa ukoo kwa heshima, naye akaamua kulitumia hilo jina la ukoo alilopewa kuanzia miaka hiyo na wazee wa kiarusha wakambariki kuanzia wakati huo akafanikiwa sana kimaisha.
Watoto wake Kelvin na Happy walipozaliwa wakakua walijua wao ni waarusha pia.
Apumzike kwa amani mzee wetu AGM
Nadhani anaongelea Northern Electric manufacture,NEM nadhani hii marehemu alikuwa share holder na Adam Mollel.Hapana wa Elerai Constructions, Northern Engineering ni Lema.
Does this benefit us?Mbona hawasemi ukweli kuwa amejinyonga? Mzee Molel amejinyonga, binti yake Happy alikua mchepuko wangu
Huyu jamaa enzi za UNICTR walipiga sana hela za kodi za nyumba pale Njiro, maarufu kama PPF kupitia mradi wa AGM Holding japo kulikuwa na vimaneno kuwa alikuwa chawa wa ELView attachment 1714095
Mfanyabiashara maarufu mkoani Arusha, Andrew Mollel ambaye alikuwa mwanzilishi na Mkurugenzi wa kampuni mbalimbali mkoani Arusha amefariki dunia na kuibua simanzi kwa wakazi wengi wa jiji hilo.
Akizungumza na Mwananchi leo, Februari 28, Mbunge wa jimbo la Monduli , Fredrick Lowassa amesema kifo cha Mollel ni pigo kubwa katika jiji la Arusha kutokana na mchango wake.
Lowassa amesema taratibu za mazishi wa Mollel zinaendelea kufanywa na wanafamilia lakini, kubwa ambalo Arusha watamkumbuka ni kuandaa michoro ya mradi mkubwa wa nyumba za PPF zilizopo eneo la Kijenge jijini hapa ambalo lilikuwa ni eneo lake.
Mollel alikuwa pia ni mkurugenzi wa kampuni ya Happy Sausages ,Kijenge Animal Products Limited, Georges Center Ltd na AGM Holding na pia mjumbe wa bodi mbali mbali hapa nchini.
Mollel pia alikuwa ni rafiki wa karibu wa Waziri mkuu mstaafu Edward Lowassa.
Kifo cha mfanyabiashara huyu ni mfululizo wa vifo vya wafanyabiahara kadhaa katika jiji la Arusha katika siku za karibuni.
Alojinyonga sio huyu. Aliejinyinga ni yule papaa K, mwenye kampuni ya tours. Tena BADO polisi hawajathibitishaMbona hawasemi ukweli kuwa amejinyonga? Mzee Molel amejinyonga, binti yake Happy alikua mchepuko wangu
Wakikosekana wenye "muelekeo" watapatilana wa kwenye "mnada"Warithi kama wale mrema wa impala?
Ugly boys wanajijua walivyo , the same to the handsome boys.Mwanaume Mzima Kujiita Handsome ni Kiashiria kibaya sana na dalili tosha kuwa hauko Rijali vile vile. Free
Naye tunasikia ana matatizo ya upumuaji piaHapana wa Elerai Constructions, Northern Engineering ni Lema.
Dooh Matajiri sijui wanakwama wapi....Tatizo ukiwa tajiri kutulia home ni kama unakuwa gerezani.Naye tunasikia ana matatizo ya upumuaji pia
RIP mzee wetu, nina rafiki waliokuwa wamepata tenda wanasupply kwenye biashara yako.Hivi ni kweli besti sababu kuu na ya kipekee mwanamke kuchanganyikiwa ni pale anampata mwanamume anayejua kugegegeda vizuri sana halafu huyo mwanamume ni maskini balaa hana hela
Kabla ya hii northern engineering kulikuwa na nyingine ikiitwa NEM, northern electrica---- ilikuwa njiro mtaa wa viwandani,ilikuwa ni ya mmasai akiitwa Mollel pia,ila sijui kama ni huyu Andrew george.Hapana wa Elerai Constructions, Northern Engineering ni Lema.
Je ni kweli kuwa baba au mama yake alikuwa mzungu?Marehemu Andrew George hakuwa Masai au Mwarusha kama jina lake la mwisho lilivyo.
Alipokuja Arusha kutoka Moshi kwao alikaa vizuri na waarusha wakampa ukoo kwa heshima, naye akaamua kulitumia hilo jina la ukoo alilopewa kuanzia miaka hiyo na wazee wa kiarusha wakambariki kuanzia wakati huo akafanikiwa sana kimaisha.
Watoto wake Kelvin na Happy walipozaliwa wakakua walijua wao ni waarusha pia.
Apumzike kwa amani mzee wetu AGM
Yeah Tarimo alikua jirani yangu kabisaaVipi umepitia kule nini?