TANZIA Mfanyabiashara Emilian Woiso afariki dunia

Ok
Sasa buyobe ni mdogo sana kwangu
Mm nimejiunga hapa 2009 may
Yeye je?
Mm ni bro kabisa kila upande..msinilinganishe na yoyote...kiustaarabu nina miaka 15 hapa JF bado wiki kadhaa and mnanifananisha na vijana wenzenu!
,Ila alichoandika kule twitter ni kile kile ulichoandika wewe hadi nukta.
 
Nikweli,nimeona sehemu mzee alifiwa na wanawe wote wa kiume,na mmoja ni teja yupo hongkong
 
Dini (masuala ya imani) i(ya)kikolea sana inakua kama kauchizi fulani hivi
 
Mkuu PAMOJA na yote nachojua Yesu akikupenda Mali yote ya dhuluma hutoweka.na kuanza na upya na huo ndio wokovu sasa.
 
Na kisukar Ni magonjwa ya Misri siyo ya Israel
 
Neno ni dhuluma siyo dhuruma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…