Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si unaona yale makovu usoni,alikuwa 'mpigajinaji' kabla ya kuokokaHivi kumbe mchungaji Munishi aliyeimba Malebo alikuwa sio haba?
Kwani hapa ni mahakamani jombaa?Humu sijaona ushahidi ngangari (concrete proof) wa hayo madhambi yanayosemwa zaidi ya blahblah tu au kuna comment mm sijaiona?
Mambo yasiwemengi, alijirusha baas fullstopBwana ehh
Ova
Alikudhulumu nini.
Wao wanajali fungu la kumi tuBahati mbaya au nzuri viongozi wetu wa kiroho wakisikia shuhuda hizo badala ya kumuongoza kondoo wa bwana mahali zilipo mali za mzulumaji ili kurudisha kwa wahusika ikiwezekana wao wanapiga kimyaaa
Mimi sidhulumiki kiboya .Alikudhulumu nini.
Bob sambeke ndio alikufa kwa ajali ya ndege aliyokuwa anaimiliki na kuendesha mwenyeweHuu ni uongo,babu Sambeke ni billionaire Msuyu aliuawa na mabillionaire wenzake na walihukumiwa kunyongwa hadi kufa.Aliyekufa kwa ajali ya ndege ni billionaire Mawala
Ndiyo mkuu pamoja na mikasa yake bado alikuwa mshikaji japokuwa sikuwahi kushiriki maovu yakeVitu vyote ni ubatili mtupu isipokuwa kumcha MUNGU.
Unajitaabisha kwa dhiki nyingi mwisho wa siku vyote ulivyovitafuta kwa hadaa na dhuluma vinakusaliti.
Tutafute pesa kwa bidii zote lakini ziwe pesa za haki na halali huku tukiishi maisha mema yenye upendo, kufarijiana na kusaidiana huku tukimtanguliza MUNGU kwa kila jambo.
Maisha ya mwanadamu ni kama ua, huchanua na kupendeza mwisho husinyaa na kunyauka.
CHIEF PRIEST na Stuxnet mlifanikiwa kuuga mwili wa marehemu?.
Hapo sawa, ila story yake inatufunza mengi.Ndiyo mkuu pamoja na mikasa yake bado alikuwa mshikaji japokuwa sikuwahi kushiriki maovu yake
Mimi sikufanikiwa, nilikuwa na msiba mwingine.Vitu vyote ni ubatili mtupu isipokuwa kumcha MUNGU.
Unajitaabisha kwa dhiki nyingi mwisho wa siku vyote ulivyovitafuta kwa hadaa na dhuluma vinakusaliti.
Tutafute pesa kwa bidii zote lakini ziwe pesa za haki na halali huku tukiishi maisha mema yenye upendo, kufarijiana na kusaidiana huku tukimtanguliza MUNGU kwa kila jambo.
Maisha ya mwanadamu ni kama ua, huchanua na kupendeza mwisho husinyaa na kunyauka.
CHIEF PRIEST na Stuxnet mlifanikiwa kuuga mwili wa marehemu?.
Hakika, ila pole sana kwa kuondokewa na mpendwa wako.Mimi sikufanikiwa, nilikuwa na msiba mwingine.
Ila maisha yake ni fundisho kwa tuliobaki
"Ni heri kula mhogo mbichi na ndimu kivulini kuliko nyama choma na kinywaji baridi vitani."Hapo sawa, ila story yake inatufunza mengi.
Pamoja na ukwasi aliojikusanyia kwa njia za kimafia na halali, bado maisha yake yaliandamwa na laana, maafa na fadhaa kuu kuliko furaha na amani.
Ni heri kula mhogo mbichi na ndimu kivulini kuliko nyama choma na kinyaji baridi vitani.
Umenena vema. Jamaa rekodi yake mbaya imemuandama hadi kaburini.Hapo sawa, ila story yake inatufunza mengi.
Pamoja na ukwasi aliojikusanyia kwa njia za kimafia na halali, bado maisha yake yaliandamwa na laana, maafa na fadhaa kuu kuliko furaha na amani.
Ni heri kula mhogo mbichi na ndimu kivulini kuliko nyama choma na kinyaji baridi vitani.
Hakika, tutafute pesa kwa bidii na nguvu zote lakini tusiwadhuru wengine."Ni heri kula mhogo mbichi na ndimu kivulini kuliko nyama choma na kinyaji baridi vitani."
Hiyo sentensi ya mwisho iwekewe lamination
Hata raha ya utajiri haipoUmenena vema. Jamaa rekodi yake mbaya imemuanda hadi kaburini.
Hakupata watoto na huyo house girl. Ila siku za mwisho alipoona hali yake mbaya alimjengea nyumba. Pia alimruhusu akaolewe akipata mume wa kumuoa.Hakika, tutafute pesa kwa bidii na nguvu zote lakini tusiwadhuru wengine.
Vipi alifanikiwa kupata watoto wengine aliozaa na huyo house girl aliyegeuzwa mke baada ya kuondokewa na mke wake?.