luambo makiadi
JF-Expert Member
- Nov 28, 2017
- 10,602
- 8,798
Duh watu mna taarifaNi kweli kabisa. Kuna binti yake mkubwa anafanya biashara ya chuma chakavu. Anakusanya toka Zambia na Malawi na ku export. Lakini anaweza kukaa miaka 3 hajakutana na baba yake na wote wako Dar
ExactlyHizo sasa ndiyo adhabu za kujilimbikizia mali kwa dhuluma. Si wewe si kizazi chako hamufaidi.
ishamaliza kifungoHivi Justin nyari bado yuko arusha
Ova
Huu ni uongo,babu Sambeke ni billionaire Msuyu aliuawa na mabillionaire wenzake na walihukumiwa kunyongwa hadi kufa.Aliyekufa kwa ajali ya ndege ni billionaire MawalaSambeke si alikuwa kama godfather wao
Ova
Mawala alifia nairobiHuu ni uongo,babu Sambeke ni billionaire Msuyu aliuawa na mabillionaire wenzake na walihukumiwa kunyongwa hadi kufa.Aliyekufa kwa ajali ya ndege ni billionaire Mawala
Kwanini bwana Billionaire Mawala ajikatili kiasi hichoMawala alifia nairobi
Na ilisemakana alijitusha ghorofani
Ova
Bwana ehhKw
Kwanini bwana Billionaire Mawala ajikatili kiasi hicho
Haya tuambie Bob Sambeke unayesema ni Billionaire yuko wapi kwa sasa?Huu ni uongo,babu Sambeke ni billionaire Msuyu aliuawa na mabillionaire wenzake na walihukumiwa kunyongwa hadi kufa.Aliyekufa kwa ajali ya ndege ni billionaire Mawala
Umesoma kweli na umeelewa?Haya tuambie Bob Sambeke unayesema ni Billionaire yuko wapi kwa sasa?
....alikufa kwa ajali ya helicopta Kisongo hukoU
Umesoma kweli na umeelewa?
Hata mitaa hiyo uwa wanaiitaga salasala mfano kabla ya kukata kona hile ya kwenda IPTL kuna njia ya vumbi inapanda juu panaitwa salasala pia.Buju hakuwa dhulmati umemsingizia.Shule za Lesheya ziko IPTL Tegeta.Tena Andrew Father ilikuwa pale darajan Tegeta .Green Acres ya Buju ndo iko Salasala
nomaaa. basi alale panapofaa. tujitahidi ili tuwe na mwisho mema.IPTL ipo Salasala na shule za Lesheya zipo Salasala pia na siyo Tegeta.
Sema Mzee alikuwa tapeli wa Viwanja sana pamoja Bujugo wa Green Acres schools!
Nimekujibu kwa namna ulivyoandika. Rudi mwenyewe kwenye post yako kasome kwanza.U
Umesoma kweli na umeelewa?
Sijui mwalimu wako alikufundisha nini,ulipoona ni billionare ukaishia hapo siyo ? Ningeongea mengi ila,ngoja nikuache.Nimekujibu kwa namna ulivyoandika. Rudi mwenyewe kwenye post yako kasome kwanza.
Nanukuu "Huu ni uongo,babu Sambeke ni billionaire,"
Ina maanisha Bob Sambeke bado yuko hai
Ila kama uliishia la 7 B, utaendelea kubisha.
Mwenyewe nilijua hivoNilijua ndio yule anayetengeneza na kuuza bidhaa za ngozi hapa nchini ama ni ubini
Darasa la 7 muishie Facebook bwana, huku siyo kwenuSijuu
Sijui mwalimu wako alikufundisha nini,ulipoona ni billionare ukaishia hapo siyo ? Ningeongea mengi ila,ngoja nikuache.