Mfanyabiashara gani amepewa kibali kujenga kituo cha mafuta ndani ya stendi ya Msamvu?

Mfanyabiashara gani amepewa kibali kujenga kituo cha mafuta ndani ya stendi ya Msamvu?

Intelligence Justice

JF-Expert Member
Joined
Oct 23, 2020
Posts
3,443
Reaction score
4,006
Kama mada inavyojitabaisha, upande wa kaskazini mwa stendi ya ya mabasi ya mikoani hapo Msamvu Morogoro kuna kituo cha mafuta kinajengwa humo ndani ya uzio eneo ambalo lilitakiwa iwe vizimba vya wajasiriamali wadogo na mama lishe lakini limegawiwa kwa mtu ambaye inasemekana ana nguvu za kiuchumi na kisiasa!!!!

Je, serikali siku hizi inaendesha biashara ya kununua na kuuza mafuta ya magari?

Je, kwa mtindo huu ni kweli kwamba kituo hicho cha mabasi cha umma kiko mbioni kubinafisishwa kwa watu binafsi?

Je, baraza la madiwani wa manispaa ya Morogoro wameridhia kisha wananchi wakapewa mrejesho?

Je, serikali kuu inatambua kuhusu hili?

Ufafanuzi tafadhali
 
I'm pro investors, lakini kwa hilo kama taarifa hizi ni za kweli kwangu ni BIG NO.
 
Asali team at work mkuu!
FB_IMG_1667143072487_remastered.jpg
 
Hahaha huyo mfanyabiashara ni mwamba na jabali kweli kweli.
Watu wa usalama walichokipuuzia ni kwamba hivi vituo vya mafuta maeneo yenye watu wengi ni timing bombs. Wakianza kutupopoa tutakaangwa kama popcorns
 
Embu tupia kapicha ka anga tupate uelewa vizuri.
Mkuu picha siwezi kuitupia ka maadili ya "whistle blowing" kipo upande wa kushoto wakati basi linapoingia ndani ya stendi hiyo ya Msamvu. Wajasiriamali walioahidiwa kupewa vizimba katika eneo hilo wanamasikitiko makubwa mno lakini pia ni hatari sana kuweka kituo cha mafuta eneo ambalo huwezi kudhibiti tabia za watu kama uvutaji sigara na kadhalika.
 
Mandari umelileta humu wahusika watalifanyia kazi. Utuwekee kapicha Uzi bila picha ni sawa nasupu isiyo na mifupa. Tunakuaminije Mr whistle blower. .
 
Hata mimi nimeiona hiyo sheli ikijengwa karibu na geti la kuingia msamvu.

#MaendeleoHayanaChama
 
Mkuu picha siwezi kuitupia ka maadili ya "whistle blowing" kipo upande wa kushoto wakati basi linapoingia ndani ya stendi hiyo ya Msamvu. Wajasiriamali walioahidiwa kupewa vizimba katika eneo hilo wanamasikitiko makubwa mno lakini pia ni hatari sana kuweka kituo cha mafuta eneo ambalo huwezi kudhibiti tabia za watu kama uvutaji sigara na kadhalika.

Nimekusoma kaka.
 
Kama mada inavyojitabaisha, upande wa kaskazini mwa stendi ya ya mabasi ya mikoani hapo Msamvu Morogoro kuna kituo cha mafuta kinajengwa humo ndani ya uzio eneo ambalo lilitakiwa iwe vizimba vya wajasiriamali wadogo na mama lishe lakini limegawiwa kwa mtu ambaye inasemekana ana nguvu za kiuchumi na kisiasa!!!!

Je, serikali siku hizi inaendesha biashara ya kununua na kuuza mafuta ya magari?

Je, kwa mtindo huu ni kweli kwamba kituo hicho cha mabasi cha umma kiko mbioni kubinafisishwa kwa watu binafsi?

Je, baraza la madiwani wa manispaa ya Morogoro wameridhia kisha wananchi wakapewa mrejesho?

Je, serikali kuu inatambua kuhusu hili?

Ufafanuzi tafadhali
Kuna Wananchi na wenye nji.
 
Kama mada inavyojitabaisha, upande wa kaskazini mwa stendi ya ya mabasi ya mikoani hapo Msamvu Morogoro kuna kituo cha mafuta kinajengwa humo ndani ya uzio eneo ambalo lilitakiwa iwe vizimba vya wajasiriamali wadogo na mama lishe lakini limegawiwa kwa mtu ambaye inasemekana ana nguvu za kiuchumi na kisiasa!!!!

Je, serikali siku hizi inaendesha biashara ya kununua na kuuza mafuta ya magari?

Je, kwa mtindo huu ni kweli kwamba kituo hicho cha mabasi cha umma kiko mbioni kubinafisishwa kwa watu binafsi?

Je, baraza la madiwani wa manispaa ya Morogoro wameridhia kisha wananchi wakapewa mrejesho?

Je, serikali kuu inatambua kuhusu hili?

Ufafanuzi tafadhali

Kuna yule anayejenga barabarani kabisa pale kimara stop over ni hatari kabisa ni mwamba juu ya mwamba.. pale stop over kwenye mataa
IMG_0199.jpg
 
I'm pro investors, lakini kwa hilo kama taarifa hizi ni za kweli kwangu ni BIG NO.
Wala siwezi kushangaa,kama pale stopover kwenye eneo la barabara,watu walipovunjiwa nyumba zao miaka hiyo leo kuna kituo cha mafuta kinajengwa tena hapo hapo kwenye mataa!!
 
Wala siwezi kushangaa,kama pale stopover kwenye eneo la barabara,watu walipovunjiwa nyumba zao miaka hiyo leo kuna kituo cha mafuta kinajengwa tena hapo hapo kwenye mataa!!
Naililia nchi yangu dah! Inapigwa na inapigika kisawa sawa.
 
Back
Top Bottom