Intelligence Justice
JF-Expert Member
- Oct 23, 2020
- 3,443
- 4,006
Kama mada inavyojitabaisha, upande wa kaskazini mwa stendi ya ya mabasi ya mikoani hapo Msamvu Morogoro kuna kituo cha mafuta kinajengwa humo ndani ya uzio eneo ambalo lilitakiwa iwe vizimba vya wajasiriamali wadogo na mama lishe lakini limegawiwa kwa mtu ambaye inasemekana ana nguvu za kiuchumi na kisiasa!!!!
Je, serikali siku hizi inaendesha biashara ya kununua na kuuza mafuta ya magari?
Je, kwa mtindo huu ni kweli kwamba kituo hicho cha mabasi cha umma kiko mbioni kubinafisishwa kwa watu binafsi?
Je, baraza la madiwani wa manispaa ya Morogoro wameridhia kisha wananchi wakapewa mrejesho?
Je, serikali kuu inatambua kuhusu hili?
Ufafanuzi tafadhali
Je, serikali siku hizi inaendesha biashara ya kununua na kuuza mafuta ya magari?
Je, kwa mtindo huu ni kweli kwamba kituo hicho cha mabasi cha umma kiko mbioni kubinafisishwa kwa watu binafsi?
Je, baraza la madiwani wa manispaa ya Morogoro wameridhia kisha wananchi wakapewa mrejesho?
Je, serikali kuu inatambua kuhusu hili?
Ufafanuzi tafadhali