- Thread starter
- #41
Ukitarajia code utachelewa andaamfumo wako mwenyewe kwa jasho na damu kama wengineMkuu desa tunapiga wote na tunaingia wote chimbo kusaka gaka halafu wabana matokeo kuna haja gani ya kushirikiana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukitarajia code utachelewa andaamfumo wako mwenyewe kwa jasho na damu kama wengineMkuu desa tunapiga wote na tunaingia wote chimbo kusaka gaka halafu wabana matokeo kuna haja gani ya kushirikiana
Kuna wengine ukiwapa code hawawezi kukuathiri moja kwa moja mfano mtu anakuulizia biashara yupo katavi huko wewe upo dar unamsaidia tu in detailWala usilaumu kabisa mtu kaandaa mfumo wake wa pesa kwa maumivu wewe uje uokote bure haipo hiyo mfikie hatua mfahamu hili ni mtu kulinda empire yake na wanaonihusu na hapo kuna DM nzinamiminika huko unawacheck tu
Hapo ukizembea code inakuumiza binadamu asikujue 100% hua wanabadilika wala hutakiwi kuwaamini wewe Linda code zako ndio maslahi yakoKuna wengine ukiwapa code hawawezi kukuathiri moja kwa moja mfano mtu anakuulizia biashara yupo katavi huko wewe upo dar unamsaidia tu in detail
Ngoja nikupe kastory kidogo kanako nihusuUkitarajia code utachelewa andaamfumo wako mwenyewe kwa jasho na damu kama wengine
Kabisa mkuu hii platform hatujuani wala nini mpe mtu maujuzi akafie mbele ukoNakubaliana na wewe pesa ni siri ila sio kwa platform kama hizi ambazo hatufahamiani nani atajua
Wakuu wasibanie code hali ni teteKabisa mkuu hii platform hatujuani wala nini mpe mtu maujuzi akafie mbele uko
Sema nini ni uchoyo tu
Hii ya level ya familia si nzuri.Namimi ni mbongo mkuu nimerithi tabia hiyo japo sio kwa kiwango kikubwa
Kuna watu mpo karibu sana na hawafungui code mfano mke na mume au baba na mtoto
Siku hizi hauhangaiki unanunua gold unatupa ndani kimya haiozi milele , hiyo inakua hazinaNgoja nikupe kastory kidogo kanako nihusu
Mzee alificha code za biashara kwa wadogo zake walikuwa wanamsaidia kazi kipindi tupo wadogo akitarajia tukikuwa anaweza kuturithisha
Matokeo yake alikata moto bado tupo wadogo ilikuwa enzi za mwinyi bamdogo zetu wasielewe wafanye nini hadi pesa walishindwa kubadili na nyingine za bank wakashindwa kufuatilia wakafaidika watu wengine
Hadi leo naangalia zile note za mwinyi roho inaniuma sana
Sio wote wana uwezo huo wengi wao ndondondo si chururuSiku hizi hauhangaiki unanunua gold unatupa ndani kimya haiozi milele , hiyo inakua hazina
Wakuu wanatulisha matango pori sana humu huku code wamezikumbatiaKwa jamii forum kumnyima code mtu. Huo ni uzwazwa mkono "utoao ndio upekao sana"
Ukishazoea kuficha code kwa wengine hata kwenye familia hivyo hivyo utasema watakurogaHii ya level ya familia si nzuri.
Hahaha, umenichekesha boss. Nimewaza matokeo una 2/100 sasa unataka ujue mwenzio vipi?Mkuu desa tunapiga wote na tunaingia wote chimbo kusaka gaka halafu wabana matokeo kuna haja gani ya kushirikiana
Maisha yanahitaji uwe msiri ili ufanikiwe inabidi ujifunze kijanaKuna lijamaa nilikuwa nasoma nalo hata matokeo linaficha hii tabia wengi tumerithi kizazi na kizazi haiwezi koma
Kwenye biashara ndio kabisa code zinachimbiwa ukutani
Mimi naamini wanaoficha code uwezo wao mdogo wenye uwezo hawafichi codeHahaha, umenichekesha boss. Nimewaza matokeo una 2/100 sasa unataka ujue mwenzio vipi?
Yale yale, kabla ya ujio wa Luku nasikia ilikuwa umeme ukikatika uswahilini jirani anatoka kuchungulia nje kama ni kwake tu au kote na akikuta ni kote anapata amani. Ishu si nyama kuharibika kwenye Friji ishu ni zisiharibike zangu tu na za jirani ziharibike. Msiba wa wengi sherehe.
Ila pia ukifikiria sana kuna taarifa wala hazina maana kuzifahamu, kama unataka kujipima unafatilia perfomance kwa ujumla. Kuna A's ngapi, B's ngapi F's ngapi n.k
Nakubali mkuu ila sio kwa watu woteMaisha yanahitaji uwe msiri ili ufanikiwe inabidi ujifunze kijana
Karibu tena bhana njoo uchukue mazda CX-5 ya Petrol tupunguze uzito..Mwlafyale kwani uliemiuzia trekta akapeleka shinyanga sio mimi? Na tunduma tuliongea nini? Anyway nakushukuru vyote vilifika salama kwa uamifu mengine nitakupigia dhagha mwalafyale
Means sio kwa kila mtu unamfichia code tuwe tunaangalia wenye athari kwetu kuna wengine hawana athari za moja kwa moja na huenda wana faida kwetuNakubali mkuu ila sio kwa watu wote
Nitakuja Tu , mwakani sasa , na vile hauna janjajanja kibiashara na Una uaminifu mkubwa lazima Nije Tu , vipi Yule mnyarwanda ulifanya nae biashara au ulimzinguaKaribu tena bhana njoo uchukue mazda CX-5 ya Petrol tupunguze uzito..
Wanaficha mkuu. Mfate tajiri yoyote uliye na access naye akupe codes uone kama ataziachia kwa 100%. Na wakati mwingine si kwasababu hawataki ufanikiwe ila wanakunyima sababu biashara zina mambo mengi ambayo yanaweza kuwaweka wazi kuwa wao ni watu wa aina gani.Mimi naamini wanaoficha code uwezo wao mdogo wenye uwezo hawafichi code
Hapa upo sawa kabisa mkuu.Hata nikupe njia niliyopitia kufanikiwa haina maana nawewe ukiipita utafanikiwa hiyo ni big NO