Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio maana miaka nenda rudi tz maboss ni wale wale wakifa hakutakuwa na wengine hii ni hatari kwa taifaWanaficha mkuu. Mfate tajiri yoyote uliye na access naye akupe codes uone kama ataziachia kwa 100%. Na wakati mwingine si kwasababu hawataki ufanikiwe ila wanakunyima sababu biashara zina mambo mengi ambayo yanaweza kuwaweka wazi kuwa wao ni watu wa aina gani.
Hapa upo sawa kabisa mkuu.
Mkuu hebu nifungulie code biashara inayokupa huo mtonyo wa kununulia ndinga unaonekana upo vizuri😀Namrocommend hapa Isanga family , alishanilietea trekta, na gari moja hivi SUV, hivo naomba tumuamini , magari yake anayatoa SA na ni bei ya chini kuliko Japan, so tumuunge mkono
Naunganisha watu Tu Mimi sina pesaMkuu hebu nifungulie code biashara inayokupa huo mtonyo wa kununulia ndinga unaonekana upo vizuri😀
Tufunguliane code wakuu hali ni tete kitaa
Kuna ukweli hapa.Ndio maana miaka nenda rudi tz maboss ni wale wale wakifa hakutakuwa na wengine hii ni hatari kwa taifa
Hapa hadi uwe na D2 uweze kufungua hili furushiNaunganisha watu Tu Mimi sina pesa
Sure!Kuna ukweli hapa.
Kuna jambo moja yafaa tulijue hapa ni kwamba,kwanza yafaa tujue kwamba uyo mfanyabiashara kutokukuelezea anapataje faida katika biashara zake si kwamba anaroho mbaya dhidi yako,,anaweza tu kukwambia matokeo ila mchakato si rahisi,maana hauwezi elezeka kwa mwingine,, Kuna kumbukumbu inaitwa implicit memory,ambako kuna mambo kama utamu,radha nk,mfano radha kwa mkeo we ndo waijua ni ngumu sana kumwelezea mtu mwingine akakuelewa,maana yahusisha miili yetu wenyewe,,kwa hiyo ata akikuelezea yafaa uwe makini sana kuchambua,kwa kuwa ataongea vinavyoongeleka tu,details yafaa uzitafute we mwenyewe,ndivyo tulivyoumbwa tuko ivyo,kumbuka pia kuna wajanja wengi siku hizi,mwingine atakwambia kwa faida zake tu,anaweza kukupotosha kabisaa,take care!!!.Hapa nawajibu wale wenzangu na Mimi, ukiona mtu anakueleza anapata faida fulani kwenye biashara fulani ujue hiyo biashara alishaacha kuifanya kitambo.
Biashara ni Siri kubwa na faida za biashara ni Siri kubwa pia. Wale tunaoulizia biashara ukumbuke biashara ni Siri na Siri ndio pesa yenyewe.
Hakuna atakaekupa code zote na njia anazopita hiyo sahau. So wale tunaofuatana DM kuulizana mjifunze hapa, pesa ina Siri na biashara ni Siri ya anayeifanya. Hivo msihangaike wewe andaa mfumo wako nawe utembee mbele kwa mbele hivo ndivo ilivo.
Sasa mkuu nikikwambia naingiza 30k kwa siku Sasa hapa utanishinda kivipiKuna jambo moja yafaa tulijue hapa ni kwamba,kwanza yafaa tujue kwamba uyo mfanyabiashara kutokukuelezea anapataje faida katika biashara zake si kwamba anaroho mbaya dhidi yako,,anaweza tu kukwambia matokeo ila mchakato si rahisi,maana hauwezi elezeka kwa mwingine,, Kuna kumbukumbu inaitwa implicit memory,ambako kuna mambo kama utamu,radha nk,mfano radha kwa mkeo we ndo waijua ni ngumu sana kumwelezea mtu mwingine akakuelewa,maana yahusisha miili yetu wenyewe,,kwa hiyo ata akikuelezea yafaa uwe makini sana kuchambua,kwa kuwa ataongea vinavyoongeleka tu,details yafaa uzitafute we mwenyewe,ndivyo tulivyoumbwa tuko ivyo,kumbuka pia kuna wajanja wengi siku hizi,mwingine atakwambia kwa faida zake tu,anaweza kukupotosha kabisaa,take care!!!.
Kwani umeeleza mchakato wote hadi inapatikanaSasa mkuu nikikwambia naingiza 30k kwa siku Sasa hapa utanishinda kivipi
Tuseme Nina guest house alafu nikwambie Nina vyumba 20 naingiza laki nne kwa siku Sasa hapo mshindani wangu atanipiku kivipiKwani umeeleza mchakato wote hadi inapatikana
Simple naona hapo Pana mzunguko nakuja namvua mtu kiwanja naweka chumba 15 wewe una 2ok biashara yako imefia hapo na mfanyakazi wako nachukua jumla , namuongezea dau , biashara ni vita ya akili Pana sanaTuseme Nina guest house alafu nikwambie Nina vyumba 20 naingiza laki nne kwa siku Sasa hapo mshindani wangu atanipiku kivipi
Au tuashumu mimi nauza mshikaki kariakoo nauza stick 500 per it means ni 25k je? Hapo utaniibia wateja wakati mimi Nina mapishi yangu, Nina customer care nzuri na maintain Radha, kumbuka sijakutell hzi mbinu nimekwambia tu nafunga 25k per day unanipiku vipiSimple naona hapo Pana mzunguko nakuja namvua mtu kiwanja naweka chumba 15 wewe una 2ok biashara yako imefia hapo na mfanyakazi wako nachukua jumla , namuongezea dau , biashara ni vita ya akili Pana sana
Simple naangalia unafanyaje naiba Siri nakupindua yaani wewe mishkaki yako sio laini then naongeza tangawizi na kitunguu saumu na nashusha na bei ili niibe wateja wakoAu tuashumu mimi nauza mshikaki kariakoo nauza stick 500 per it means ni 25k je? Hapo utaniibia wateja wakati mimi Nina mapishi na yangu, Nina customer care nzuri na maintain Radha, kumbuka sijakutell hzi mbinu nimekwambia tu nafunga 25k per day unanipiku vipi
Ulishawahi kufanya biashara zinazofanana zimepangana Ata frame tano mtiti wake ulivyoSimple naangalia unafanyaje naiba Siri nakupindua yaani wewe mishkaki yako sio laini then naongeza tangawizi na kitunguu saumu na nashusha na bei ili niibe wateja wako
Mkuu ungejaribu kuonesha chai ipo wapiChai
Ni sawa.Hapa nawajibu wale wenzangu na Mimi, ukiona mtu anakueleza anapata faida fulani kwenye biashara fulani ujue hiyo biashara alishaacha kuifanya kitambo.
Biashara ni Siri kubwa na faida za biashara ni Siri kubwa pia. Wale tunaoulizia biashara ukumbuke biashara ni Siri na Siri ndio pesa yenyewe.
Hakuna atakaekupa code zote na njia anazopita hiyo sahau. So wale tunaofuatana DM kuulizana mjifunze hapa, pesa ina Siri na biashara ni Siri ya anayeifanya. Hivo msihangaike wewe andaa mfumo wako nawe utembee mbele kwa mbele hivo ndivo ilivo.