Mfanyabiashara hatokueleza wapi anapata faida, kamwe usije kuomba ushauri ukadhani atafunguka 100%

Mfanyabiashara hatokueleza wapi anapata faida, kamwe usije kuomba ushauri ukadhani atafunguka 100%

Namrocommend hapa Isanga family , alishanilietea trekta, na gari moja hivi SUV, hivo naomba tumuamini , magari yake anayatoa SA na ni bei ya chini kuliko Japan, so tumuunge mkono
 
Wanaficha mkuu. Mfate tajiri yoyote uliye na access naye akupe codes uone kama ataziachia kwa 100%. Na wakati mwingine si kwasababu hawataki ufanikiwe ila wanakunyima sababu biashara zina mambo mengi ambayo yanaweza kuwaweka wazi kuwa wao ni watu wa aina gani.

Hapa upo sawa kabisa mkuu.
Ndio maana miaka nenda rudi tz maboss ni wale wale wakifa hakutakuwa na wengine hii ni hatari kwa taifa
 
Namrocommend hapa Isanga family , alishanilietea trekta, na gari moja hivi SUV, hivo naomba tumuamini , magari yake anayatoa SA na ni bei ya chini kuliko Japan, so tumuunge mkono
Mkuu hebu nifungulie code biashara inayokupa huo mtonyo wa kununulia ndinga unaonekana upo vizuri😀

Tufunguliane code wakuu hali ni tete kitaa
 
Hapa nawajibu wale wenzangu na Mimi, ukiona mtu anakueleza anapata faida fulani kwenye biashara fulani ujue hiyo biashara alishaacha kuifanya kitambo.

Biashara ni Siri kubwa na faida za biashara ni Siri kubwa pia. Wale tunaoulizia biashara ukumbuke biashara ni Siri na Siri ndio pesa yenyewe.

Hakuna atakaekupa code zote na njia anazopita hiyo sahau. So wale tunaofuatana DM kuulizana mjifunze hapa, pesa ina Siri na biashara ni Siri ya anayeifanya. Hivo msihangaike wewe andaa mfumo wako nawe utembee mbele kwa mbele hivo ndivo ilivo.
Kuna jambo moja yafaa tulijue hapa ni kwamba,kwanza yafaa tujue kwamba uyo mfanyabiashara kutokukuelezea anapataje faida katika biashara zake si kwamba anaroho mbaya dhidi yako,,anaweza tu kukwambia matokeo ila mchakato si rahisi,maana hauwezi elezeka kwa mwingine,, Kuna kumbukumbu inaitwa implicit memory,ambako kuna mambo kama utamu,radha nk,mfano radha kwa mkeo we ndo waijua ni ngumu sana kumwelezea mtu mwingine akakuelewa,maana yahusisha miili yetu wenyewe,,kwa hiyo ata akikuelezea yafaa uwe makini sana kuchambua,kwa kuwa ataongea vinavyoongeleka tu,details yafaa uzitafute we mwenyewe,ndivyo tulivyoumbwa tuko ivyo,kumbuka pia kuna wajanja wengi siku hizi,mwingine atakwambia kwa faida zake tu,anaweza kukupotosha kabisaa,take care!!!.
 
Kuna jambo moja yafaa tulijue hapa ni kwamba,kwanza yafaa tujue kwamba uyo mfanyabiashara kutokukuelezea anapataje faida katika biashara zake si kwamba anaroho mbaya dhidi yako,,anaweza tu kukwambia matokeo ila mchakato si rahisi,maana hauwezi elezeka kwa mwingine,, Kuna kumbukumbu inaitwa implicit memory,ambako kuna mambo kama utamu,radha nk,mfano radha kwa mkeo we ndo waijua ni ngumu sana kumwelezea mtu mwingine akakuelewa,maana yahusisha miili yetu wenyewe,,kwa hiyo ata akikuelezea yafaa uwe makini sana kuchambua,kwa kuwa ataongea vinavyoongeleka tu,details yafaa uzitafute we mwenyewe,ndivyo tulivyoumbwa tuko ivyo,kumbuka pia kuna wajanja wengi siku hizi,mwingine atakwambia kwa faida zake tu,anaweza kukupotosha kabisaa,take care!!!.
Sasa mkuu nikikwambia naingiza 30k kwa siku Sasa hapa utanishinda kivipi
 
Tuseme Nina guest house alafu nikwambie Nina vyumba 20 naingiza laki nne kwa siku Sasa hapo mshindani wangu atanipiku kivipi
Simple naona hapo Pana mzunguko nakuja namvua mtu kiwanja naweka chumba 15 wewe una 2ok biashara yako imefia hapo na mfanyakazi wako nachukua jumla , namuongezea dau , biashara ni vita ya akili Pana sana
 
Simple naona hapo Pana mzunguko nakuja namvua mtu kiwanja naweka chumba 15 wewe una 2ok biashara yako imefia hapo na mfanyakazi wako nachukua jumla , namuongezea dau , biashara ni vita ya akili Pana sana
Au tuashumu mimi nauza mshikaki kariakoo nauza stick 500 per it means ni 25k je? Hapo utaniibia wateja wakati mimi Nina mapishi yangu, Nina customer care nzuri na maintain Radha, kumbuka sijakutell hzi mbinu nimekwambia tu nafunga 25k per day unanipiku vipi
 
Au tuashumu mimi nauza mshikaki kariakoo nauza stick 500 per it means ni 25k je? Hapo utaniibia wateja wakati mimi Nina mapishi na yangu, Nina customer care nzuri na maintain Radha, kumbuka sijakutell hzi mbinu nimekwambia tu nafunga 25k per day unanipiku vipi
Simple naangalia unafanyaje naiba Siri nakupindua yaani wewe mishkaki yako sio laini then naongeza tangawizi na kitunguu saumu na nashusha na bei ili niibe wateja wako
 
Hapa nawajibu wale wenzangu na Mimi, ukiona mtu anakueleza anapata faida fulani kwenye biashara fulani ujue hiyo biashara alishaacha kuifanya kitambo.

Biashara ni Siri kubwa na faida za biashara ni Siri kubwa pia. Wale tunaoulizia biashara ukumbuke biashara ni Siri na Siri ndio pesa yenyewe.

Hakuna atakaekupa code zote na njia anazopita hiyo sahau. So wale tunaofuatana DM kuulizana mjifunze hapa, pesa ina Siri na biashara ni Siri ya anayeifanya. Hivo msihangaike wewe andaa mfumo wako nawe utembee mbele kwa mbele hivo ndivo ilivo.
Ni sawa.
 
Back
Top Bottom