Ben Zen Tarot
JF-Expert Member
- Dec 13, 2014
- 4,298
- 7,612
Atamrudiaje Mungu wakati anadaiwa na ShetaniAnakubali kufa kizembe hivyo?si amrudie Mungu wa kweli
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Atamrudiaje Mungu wakati anadaiwa na ShetaniAnakubali kufa kizembe hivyo?si amrudie Mungu wa kweli
Ili asife ?Anakubali kufa kizembe hivyo?si amrudie Mungu wa kweli
Hela ndogo sana hiyo.wakinga wa kariakoo wanaingiza hadi milioni 5 kwa siku na hawajulikani
kuabiri ndio kufanyeje?Mfanyabiashara Kijana wa Nakonde nchini Zambia mwenye umri wa miaka 29 ameanza kuandaa kaburi lake baada ya kuambiwa na Mganga wake wa Sumbawanga kuwa atakufa hivi karibuni kwa kukiuka masharti ya utajiri wake.
Grigory Siame ambaye alikuwa maskini sana hadi alipoenda kuonana na mganga miaka 8 iliyopita, anasemekana kukiuka masharti baada ya kuabiri moja ya magari yake 5 mapya aliyonunua.
Bw Siame anasemekana kumiliki saloon za kisasa za kiume 89 na vibanda vya simu za njiani BoothTelephone) 240 huko Nakonde na Tunduma ambapo hukusanya ZMK28,000 sawa na TSH 3,975,000 kwa siku.
Pamoja na kumsihi sangoma huyo amsamehe au kumbadilishia adhabu, Lakini juhudi zake hizo ziligonga mwamba.
Kwa sasa tajiri huyo mtoto anajiandaa kufa hata ukimwangalia anaonekana Kuwa ni mtu aliyekata tamaa.
Ukipenda hembu sema neno la faraja kwake.
View attachment 2296855
Neno la faraja kwake ni R I PMfanyabiashara Kijana wa Nakonde nchini Zambia mwenye umri wa miaka 29 ameanza kuandaa kaburi lake baada ya kuambiwa na Mganga wake wa Sumbawanga kuwa atakufa hivi karibuni kwa kukiuka masharti ya utajiri wake.
Grigory Siame ambaye alikuwa maskini sana hadi alipoenda kuonana na mganga miaka 8 iliyopita, anasemekana kukiuka masharti baada ya kuabiri moja ya magari yake 5 mapya aliyonunua.
Bw Siame anasemekana kumiliki saloon za kisasa za kiume 89 na vibanda vya simu za njiani BoothTelephone) 240 huko Nakonde na Tunduma ambapo hukusanya ZMK28,000 sawa na TSH 3,975,000 kwa siku.
Pamoja na kumsihi sangoma huyo amsamehe au kumbadilishia adhabu, Lakini juhudi zake hizo ziligonga mwamba.
Kwa sasa tajiri huyo mtoto anajiandaa kufa hata ukimwangalia anaonekana Kuwa ni mtu aliyekata tamaa.
Ukipenda hembu sema neno la faraja kwake.
View attachment 2296855
Labda amefranchise ye anaketewa hesabu tuUmesoma vizuri aina ya biashara anayoimiliki na wingi wake?
Yaani uwe mmliki wa saloon 89 na telephone booth 240, halafu usiwe mashuhuri?
Majina ya mpakani hayo, Walungu wako nakonde upande wa Zambia na mkoa wa rukwa wapo.Siame ni ukoo wa machifu wa wanyamwanga Sumbawanga
Au hilo jina alifoji? Ukoo wa Siame hawana tabia ya kudhulumu mtu au kwenda kutafuta utajiri wa kishirikina
Huyo sio ukoo wa Siame wacha yamkute kafoji Jina la watu ukoo wa kichifu halafu anaenda kishirikina wakati ukoo.huo wa Siame ushirikina kwao mwiko.Afe tu
ndy nindog san kwa wewe mwenye mtaj yeye hakuwa na mtaj ndy maana alienda kwa sangomàHela ndogo sana hiyo.wakinga wa kariakoo wanaingiza hadi milioni 5 kwa siku na hawajulikani
Ni sawa ila Siame wawe upande wowote Ni ukoo wa kichifu mipakaniMajina ya mpakani hayo, Walungu wako nakonde upande wa Zambia na mkoa wa rukwa wapo.
Mkuu ilipaswa username yako hapa jukwaani iwe LOGIC big up kwa maswali mazuriKwahio wasiokwenda kwa waganga hawatakufa ?
Logic, logic, logic....
Au angetimiza masharti angeishi milele ?
Connection ndio tatizo.Hela ndogo sana hiyo.wakinga wa kariakoo wanaingiza hadi milioni 5 kwa siku na hawajulikani
Ukitafutwa PM kwa ajili ya mawasiliano ya huyo mganga wa Sumbawanga, na watu wenye tamaa ya utajiri wa hara haraka, na wale waliokata tamaa ya kutoboa kimaisha kwa njia za kawaida, basi ujitahidi tu kutoa ushirikiano.Mfanyabiashara Kijana wa Nakonde nchini Zambia mwenye umri wa miaka 29 ameanza kuandaa kaburi lake baada ya kuambiwa na Mganga wake wa Sumbawanga kuwa atakufa hivi karibuni kwa kukiuka masharti ya utajiri wake.
Grigory Siame ambaye alikuwa maskini sana hadi alipoenda kuonana na mganga miaka 8 iliyopita, anasemekana kukiuka masharti baada ya kuabiri moja ya magari yake 5 mapya aliyonunua.
Bw Siame anasemekana kumiliki saloon za kisasa za kiume 89 na vibanda vya simu za njiani BoothTelephone) 240 huko Nakonde na Tunduma ambapo hukusanya ZMK28,000 sawa na TSH 3,975,000 kwa siku.
Pamoja na kumsihi sangoma huyo amsamehe au kumbadilishia adhabu, Lakini juhudi zake hizo ziligonga mwamba.
Kwa sasa tajiri huyo mtoto anajiandaa kufa hata ukimwangalia anaonekana Kuwa ni mtu aliyekata tamaa.
Ukipenda hembu sema neno la faraja kwake.
View attachment 2296855
Mwenyewe nimejiuliza mengi sana,siame wengi wapo jeshini nashangaa kumbe wazambia bwana[emoji23][emoji23],atakuwa kakosea siame ndio mganga mwenyeweSiame ni ukoo wa machifu wa wanyamwanga Sumbawanga
Au hilo jina alifoji? Ukoo wa Siame hawana tabia ya kudhulumu mtu au kwenda kutafuta utajiri wa kishirikina
Huyo sio ukoo wa Siame wacha yamkute kafoji Jina la watu ukoo wa kichifu halafu anaenda kishirikina wakati ukoo.huo wa Siame ushirikina kwao mwiko.Afe tu
Anakubali kufa kizembe hivyo?si amrudie Mungu wa kweli